Joseph
JF-Expert Member
- Aug 3, 2007
- 3,518
- 1,086
Leo niliamua kupitia blog ya Ikulu na kukutana na kukutana na mshangao,yaani hakuna updates zozote tangu tarehe 14 May 2013?Hivi hawa watu walioajiriwa na Ikulu kufanya kazi hii wanafanya kazi gani?Tunaposema Serikali haipo makini tunakuwa hatukosei na mifano ndio hii tunayoiona kila siku.Huu ni udhaifu wa hali ya juu.