Habari zenu.
Hii bank sikuwahi kuitumia Wala kuijua,Binafsi Kwa miaka mingi natumia CRDB na NMB.
Katika pirikapirika na mishe mishe za mjini nikajikuta nimeandikiwa cheque ya NBC. Nilipofika Kule nilihudumiwa chapchap Kwa weledi and customer care Bora kabisa.
nilifungua account moja ya saving...
350,000Tsh
1 year warranty
Full HD
Inasoma flash pamoja na external harddrives
Unaweza ukaifanya kama monitor ya computer
Unapewa na wall bracket ukinunua
Piga/Whatsapp 0753038470
Ukipata pancha katikati ya safari hii ndio mkombozi wako
Matumizi yake mara moja tu
Itaziba pancha na kukujazia upepo wako na kuendelea na safari yako
Kila mwenye gari,pikipiki hii sio ya kuikosa
Bei:7500/=
One time use
Call/whatsapp 0788622610
Video jinsi inavofanya kazi
Call/whatsapp 0788622610
Offer offer bei 195,000 tu
Oven mpya ya umeme ya kisasa
Ina plates 2 juu za kupikia chochote
Ina ujazo lita 48
Ina grill pamoja na kuchoma mikate, cake, nyama, kuku etc
Ina timer
Ina warranty mwaka mmoja
Location: DSM
Brand new double electricity deep fryer
Fryer ya kisasa kwa ajili ya biashara
Inatumia umeme
Ina matank mawili
Inaingia lita 12 za mafuta
Bei 240, 000Tsh tu
Ina warranty mwaka mmoja Stainless steel made
Free delivery in dar
Piga/whatsapp 0788622610
Machine mpya ya kisasa ya kukatia nyama samaki na mifupa
Ina uwezo mkubwa wa kufanya kazi
Ina sehemu ya kusagia nyama
Ni imara na ina warranty Ina motor yenye nguvu
Bei 1,350,000 tu Free delivery in Dar.
Piga/whatsapp 0788622610
Tunawaletea fryer nzuri na imara za gas pamoja na umeme
Fryer za gas zina kibiriti chake kwa ndani.
Zinapata moto haraka
Kila bakuli lina uwezo wa kuchukua lita 6
Bei: Double gas fryer 325,000Tsh
Double electric fryer:220,000Tsh
Single electric fryer: 130,000Tsh
Single gas fryer: 220,000tsh...
Habari.
Napenda kuwaletea na mashine ya kisasa ya juisi ya miwa iliyo mdogo (5Okg) na yenye ufanisi wa halo ya juu.
Ina roller tatu hivo kusaga miwa Mara moja tu bila kurudia.
Inatumia chain badala ya belt hivo kuifanya Iwe imara zaidi kuliko belt inayokatika Mara kwa Mara.
Ni portable.
Ina...
Habari kama kichwa cha habari kinavojieleza natafuta mwanamke mwenye sifa zifuatazo.
Awe muislam na umri usizidi 3O.
Awe mgumba au asiwe na mpango wa kuzaa.
Awe mwenye mapenzi ya dhati na mwenye kupendeka.
Atleast awe amemaliza hata form 4.
Awe mwenye kuvutia.
Awe mchapakazi
Sifa zangu.
Umri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.