NBC bank ni benki bora Tanzania Kwa sasa

Cordy bnei shirk

JF-Expert Member
Dec 13, 2017
305
186
Habari zenu.

Hii bank sikuwahi kuitumia Wala kuijua,Binafsi Kwa miaka mingi natumia CRDB na NMB.

Katika pirikapirika na mishe mishe za mjini nikajikuta nimeandikiwa cheque ya NBC. Nilipofika Kule nilihudumiwa chapchap Kwa weledi and customer care Bora kabisa.

nilifungua account moja ya saving na nyingine ya kawaida,nikapewa na CArd zao za visa za kisasa kabisa(kama card za absa) pamoja na kuingiziwa pesa haraka ya Ile cheque niliyoandikiwa.

Account zao hazina makato, account yao ya saving Ina 7%interest per month pia ni nzuri sana kusave maana huwezi toa pesa mpaka mda Fulani.

Pia kazi zao za ATM ni nzuri na za kisasa pia nazitumia kununua mtanadaoni bila longolongo. Hakika hii bank imejipanga sana.nimekua mteja wao rasmi na ndio itakua official bank yangu
 
Kisa wanadhamini Ligi au?
Check out there card
IMG_20220516_223514.jpg
 
Tanga mkoa mzima ipo moja tu mkoani.. Hakuna hata atm Mitaani.


Haina wateja afu saatusa sharp wanafunga wakat we zao wanaenda Mpka saa kumi
 
Haupo serious riba 7℅ kwa
Habari zenu.

Hii bank sikuwahi kuitumia Wala kuijua,Binafsi Kwa miaka mingi natumia CRDB na NMB.

Katika pirikapirika na mishe mishe za mjini nikajikuta nimeandikiwa cheque ya NBC. Nilipofika Kule nilihudumiwa chapchap Kwa weledi and customer care Bora kabisa.

nilifungua account moja ya saving na nyingine ya kawaida,nikapewa na CArd zao za visa za kisasa kabisa(kama card za absa) pamoja na kuingiziwa pesa haraka ya Ile cheque niliyoandikiwa.

Account zao hazina makato, account yao ya saving Ina 7%interest per month pia ni nzuri sana kusave maana huwezi toa pesa mpaka mda Fulani.

Pia kazi zao za ATM ni nzuri na za kisasa pia nazitumia kununua mtanadaoni bila longolongo. Hakika hii bank imejipanga sana.nimekua mteja wao rasmi na ndio itakua official bank yangu
mwezi? Yaani mtu akiweka 30,000,000 baada ya mwezi anapata zaidi ya 2,500,000? Wewe mtu wewe?
 
Haupo serious riba 7℅ kwa
Habari zenu.

Hii bank sikuwahi kuitumia Wala kuijua,Binafsi Kwa miaka mingi natumia CRDB na NMB.

Katika pirikapirika na mishe mishe za mjini nikajikuta nimeandikiwa cheque ya NBC. Nilipofika Kule nilihudumiwa chapchap Kwa weledi and customer care Bora kabisa.

nilifungua account moja ya saving na nyingine ya kawaida,nikapewa na CArd zao za visa za kisasa kabisa(kama card za absa) pamoja na kuingiziwa pesa haraka ya Ile cheque niliyoandikiwa.

Account zao hazina makato, account yao ya saving Ina 7%interest per month pia ni nzuri sana kusave maana huwezi toa pesa mpaka mda Fulani.

Pia kazi zao za ATM ni nzuri na za kisasa pia nazitumia kununua mtanadaoni bila longolongo. Hakika hii bank imejipanga sana.nimekua mteja wao rasmi na ndio itakua official bank yangu
mwezi? Yaani mtu akiweka 30,000,000 baada ya mwezi anapata zaidi ya 2,500,000? Wewe mtu wewe?
 
Habari zenu.

Hii bank sikuwahi kuitumia Wala kuijua,Binafsi Kwa miaka mingi natumia CRDB na NMB.

Katika pirikapirika na mishe mishe za mjini nikajikuta nimeandikiwa cheque ya NBC. Nilipofika Kule nilihudumiwa chapchap Kwa weledi and customer care Bora kabisa.

nilifungua account moja ya saving na nyingine ya kawaida,nikapewa na CArd zao za visa za kisasa kabisa(kama card za absa) pamoja na kuingiziwa pesa haraka ya Ile cheque niliyoandikiwa.

Account zao hazina makato, account yao ya saving Ina 7%interest per month pia ni nzuri sana kusave maana huwezi toa pesa mpaka mda Fulani.

Pia kazi zao za ATM ni nzuri na za kisasa pia nazitumia kununua mtanadaoni bila longolongo. Hakika hii bank imejipanga sana.nimekua mteja wao rasmi na ndio itakua official bank yangu
Hawana wateja wengi ndo maana umehudumiwa chapchap
 
Back
Top Bottom