Kwa mujibu wa aliyekuwa mwanasheria mkuu wa Zanzibar Mheshimiwa Hamad Masoud anasema kisheria Rais wa Zanzibar hana immunity wakati akishatakiwa katika Mahakama za Tanganyika na Rais wa Tanzania hana immunity atakaposhitakiwa kwenye Mahakama za Zanzibar.
kwa maana hio sasa ni wakati muafaka wa...
Mimi nahisi kuwe na sheria kama chama cha siasa hakikupata kiti hata kimoja ktk ngazi zote kwa vipindi 2 mfululizo vya uchaguzi basi viwe vimejifuta automatic ktk usajili wa vyama vya siasa.
CANNAVARO, CHOLLO, SELEMBE, AGGREY MORRIS NA MCHA VIALLI WAFUNGIWA KUCHEZA POPOTE DUNIANI
NAHODHA wa Yanga, Nadir Haroub Cannavaro ni miongoni mwa wachezaji 16, waliofungiwa kwa muda usiojulikana kucheza soka popote duniani na Chama cha Soka Zanzibar (ZFA), ambacho pia kimeivunja rasmi timu...
Waziri wa miundombinu na mawasiliano (Zanzibar) Hamad Masoud Hamad (CUF) amejiuzulu kufuatia ajali ya boti ya Mv Skagit.
Nafasi yake imerithiwa Mhe. Rashid Seif Suleiman (Ziwani, CUF)
Waziri wa Miundombinu na Mawasiliano wa Zanzibar, Hamad Masoud Hamad amejiuzulu wadhifa wake leo jioni...
Wakuu mambo yanazidi kunoga,
Umoja wa ZARFA unawaarifu wazanzibari wote tunaoipenda Zanzibar yetu adhimu, kwamba baada ya kuwasilisha barua kwa katibu mkuu Umoja wa Mataifa kupitia ofisi ya UN Zanzibar tarehe 10/11/2011 . Kwamba kwa nia inayoendelea kudhihiri kwa wazanzibari dhidi ya suala...
Wakuu nimekutana na hili tamko ktk bbc website, naona JK kimya au yeye mambo poa tu muhimu kidogodogo kiingie
Ghana's President John Atta Mills has rejected the UK's threat to cut aid if he refuses to legalise homosexuality.
Mr Atta Mills said the UK could not impose its values on Ghana...
Wateule wa Rais wathibitishwe na Bunge
Baraza lisiwe na mawaziri zaidi ya 15
Vyama viungane siku 21 kabla kampeni kwisha
Rais aunde tume huru kwa ushauri wa wadau
Chama cha Wananchi (CUF), kimeweka hadharani mambo yaliyomo kwenye rasimu ya mapendekezo yake ya Katiba mpya; mojawapo likiwa ni...
Kama ungelikua ni mwenyekiti wa chama chochote cha upinzani na unadai kama una wawakilisha au unapigania haki za wanyonge (walalahoi) walio wengi tanzania, na chama chako kikafanikiwa kupata asilimia kubwa 40% katika kambi ya upinzani, na ccm kama kawaida ikaongoza kwa kama 55%. na wakakutaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.