Sasa ni wakati wa kuwaburuza marais mahakamani

norbit

JF-Expert Member
Jul 30, 2007
839
702
Kwa mujibu wa aliyekuwa mwanasheria mkuu wa Zanzibar Mheshimiwa Hamad Masoud anasema kisheria Rais wa Zanzibar hana immunity wakati akishatakiwa katika Mahakama za Tanganyika na Rais wa Tanzania hana immunity atakaposhitakiwa kwenye Mahakama za Zanzibar.

kwa maana hio sasa ni wakati muafaka wa kuwashataki Mkapa.

Kikwete na Magufuli.
 
Kwa mujibu wa aliyekuwa mwanasheria mkuu wa Zanzibar Mheshimiwa Hamad Masoud anasema kisheria Rais wa Zanzibar hana immunity wakati akishatakiwa katika Mahakama za Tanganyika na Rais wa Tanzania hana immunity atakaposhitakiwa kwenye Mahakama za Zanzibar. kwa maana hio sasa ni wakati muafaka wa kuwashataki Mkapa, Kikwete na Magufuli.
Makosa yapi? Weka nondo
 
Kwa mujibu wa aliyekuwa mwanasheria mkuu wa Zanzibar Mheshimiwa Hamad Masoud anasema kisheria Rais wa Zanzibar hana immunity wakati akishatakiwa katika Mahakama za Tanganyika na Rais wa Tanzania hana immunity atakaposhitakiwa kwenye Mahakama za Zanzibar. kwa maana hio sasa ni wakati muafaka wa kuwashataki Mkapa, Kikwete na Magufuli.

Kesi ikienda mpaka mahakama ya rufani bado mazingira yanakuwa yaleyale?
 
Back
Top Bottom