VIDEO: JM Kikwete ndani ya BBC Swahili Tv

Sijui hata walimchagua vipi awe mgombea wa urais..ndo maana anakwepa midahalo kweli
 
Wakuu nahisi kwa hili tusaidiane mawazo


Huyu ni Kiwete kweli ndiyo maana watanzania wanauawa na kuonewa hovyo na polisi kwani walishaona jamaa hakuna kitu kichani. Hadi anatia huruma kwani anataka hata kukimbia. Eti tunajifunza kwa mataifa ya wenzetu? Wao walipokuwa wanasomesha watoto wao yeye alijenga shule za kata bila mwalimu wala kifaa. Yeye awe anaenda tu kubembea watanzania wateseke kwa miaka hii miwili then tutamwonyesha ni nini mtanzania anaweza kukifanya katika maisha.
Shame on you and your DHAIFU govenment!
 
Last edited by a moderator:
Mimi naomba kuuliza swali labda mnaweza kunitoa ushamba

Kwa nini TV za nje zinakuwa ni clear kuliko za Tanzania?

Mmeona hapo wakati anahojiwa JK picture quality ya STAR TV ilikuwa terrible itafkiri TVZ ya 1980's lakini once walipounganika na BBC London picha ikawa clear zaidi.

Najua mtakuja na hoja ohhh HD na kadhalika lakini ukitazama TV Channels za Kenya utaona quality ni kama za nchi zilizoendelea

Mbaya zaidi ni kuwa TV STATIONS ZOTE ZA TANZANIA PICTURE QUALITY ni mbaya sana...yaani unaona moshi moshi vivi

Swali langu la pili:

Kwa nini TV Stations za Tanzania hazina youtube channels? Hivi inamaana hakuna aliyejua kuwa kuna market ya kutisha ya matangazo online?

Natumai bwana Pasco na wengine mtanipa majibu
 
Mimi naomba kuuliza swali labda mnaweza kunitoa ushamba

Kwa nini TV za nje zinakuwa ni clear kuliko za Tanzania?

Mmeona hapo wakati anahojiwa JK picture quality ya STAR TV ilikuwa terrible itafkiri TVZ ya 1980's lakini once walipounganika na BBC London picha ikawa clear zaidi.

Najua mtakuja na hoja ohhh HD na kadhalika lakini ukitazama TV Channels za Kenya utaona quality ni kama za nchi zilizoendelea

Mbaya zaidi ni kuwa TV STATIONS ZOTE ZA TANZANIA PICTURE QUALITY ni mbaya sana...yaani unaona moshi moshi vivi

Swali langu la pili:

Kwa nini TV Stations za Tanzania hazina youtube channels? Hivi inamaana hakuna aliyejua kuwa kuna market ya kutisha ya matangazo online?

Natumai bwana Pasco na wengine mtanipa majibu

Sasa mkuu, itakuwa ni jambo la manufaa kama utaanzisha thread inayohusu swali lako maana hapa tunataka kumjadili kiongozi wetu na mahojiano mafupi aliyofanya na BBC swahili.

Samahani kama ntakuwa nimekukwaza maana hii ya mheshimiwa raisi wetu hapa naona hakujiandaa kwa maswali.
 
  • Thanks
Reactions: Paw
Inaelekea degree yake ni ya GAMBO(mkuu wa wilaya ya korogwe) anashindwa kujieleza kabisa Kama wenzake wakina Mbowe ndio maana anaogopa midahalo vibaya mno
 
Sasa mkuu, itakuwa ni jambo la manufaa kama utaanzisha thread inayohusu swali lako maana hapa tunataka kumjadili kiongozi wetu na mahojiano mafupi aliyofanya na BBC swahili.

Samahani kama ntakuwa nimekukwaza maana hii ya mheshimiwa raisi wetu hapa naona hakujiandaa kwa maswali.

Interview ilikua nzuri tu kwa sababu raisi alijibu naswali aliyoulizwa kahiyo kama kuna tatizo basi ni kwa muulizaji. Kuna mambo mingine sio lazima yeye ayajue kama plastic kutengenezwa kutokana na gas sio lazima ajue kwani yeye sio mtaalam wa mambo hayo. Kumchukia mtu kutusifanye tukachukia kila kitu chake. Hakuna mtu ambae atakua anakosea sana kama yule atakaedhania kua rais anajua kila kitu, huo ndio uzembe mkubwa kuliko hiyo interview yote
 
Mkuu Norbit heshima mbele.

Unafahamu mimi niliiona kule kwa Michuzi lakini nikadharau kidogo lakini kwa sababu umeleta hapa na nafikiri kuna sababu video hii imeanikwa mtandaoni.

Mimi nimegundua mambo kadhaa kuhusu huyu kiongozi wetu na huyu bwana Kikeke.

1. Hakujiandaa kujibu maswali maana anataja wenzetu walioendelea ambao inabidi awataje na sio kusema tu wenzetu ni nani hawa?

2. Inawezekana alijiandaa lakini maswali yakawa yanamchanganya hivyo kukosa muelekeo wa namna ya kujibu kwa ufasaha na ndio maana akapatwa na kigugumizi katika kujibu.

3. Halafu kwanini mheshimiwa raisi anakataa kujadili kuhusu nchi nyingine za Afrika anasema hataki kuzungumzia kwanini hatuwezi kusafisha mafuta yetu wenyewe?

3. Salim Kikeke nnamheshimu sana, ila hap[ameleta mzaha kwa kufupisha muda wa maswali na nafikiri siku ingine inabidi aandae maswali mengi yanayohusu uchumi na siasa na jamii hivyo kupata mwanga kiongozi wetu anafahamu vipi mwenendo wa taifa kwa sasa.

Kwahio ukiangalia sana utaona kwamba mheshimiwa raisi wetu amechoshwa na hali inayoendelea na anaona ni bora tu liende na amalize muda wake.

Akistaafu si atanufaika na kilimo cha mananasi na mahindi huko Msoga?
 
Huyu kilaza sijui anaongelea nini? Analaumu nchi nyingine za kiafrika kuuza mafuta ghafi na kununua mafuta yaliyosafishwa. Mbona Tanzania inanunua hadi matunda tena artificial toka uarabuni wakati matunda yanaoza kila sehemu nchini? Kweli jamaa ni mbabaishaji na msanii mwenye kuota ndoto za mchana. Angalia alivyo hovyo anasema anashabikia New Castle ya Uingereza wakati ameua kila kitu hapa nchini. Kweli wanaohoji mantiki ya kumchagua hawajakosea. Jamaa ni mtupu mno hajui hata anachosema. Kweli Tanzania inaelekea kuzimu chini ya bongolala kama hii.
 
Interview ilikua nzuri tu kwa sababu raisi alijibu naswali aliyoulizwa kahiyo kama kuna tatizo basi ni kwa muulizaji. Kuna mambo mingine sio lazima yeye ayajue kama plastic kutengenezwa kutokana na gas sio lazima ajue kwani yeye sio mtaalam wa mambo hayo. Kumchukia mtu kutusifanye tukachukia kila kitu chake. Hakuna mtu ambae atakua anakosea sana kama yule atakaedhania kua rais anajua kila kitu, huo ndio uzembe mkubwa kuliko hiyo interview yote

Kwahio unataka kuniambia kwamba ukiwa kiongozi wa nchi utawaambia waandishi wanapokuhoji kwamba baadhi ya mambo ya kitaalam huyajui kwakuwa wewe sio mtaalam?

Sasa hapo ndipo kunakuja suala la ziara nchini mwako kwanini zipo pale, si ni kujifunza?

Utaniambia mawaziri na washauri wako watakupa brief ukirudi kutoka nje ya nchi?
 
Yaani huyu jamaa hata kemia ya mwanzo haipandi, eti plastiki ni gesi au alimaanisha kusema plastiki ni hydrocarbon,

...mliyataka wenyenye. Silichagua sura?.. Na cha moto bado, akimaliza tu ungwe yake, swahiba anapanda magogoni! Ufisadi kama kawa, kanyaga tende tu, hawa si bongolala au?!.. Ubwabwa, kanga, kofia plus TB Joshua haruki mtu mzee..
 
Huyu kilaza sijui anaongelea nini? Analaumu nchi nyingine za kiafrika kuuza mafuta ghafi na kununua mafuta yaliyosafishwa. Mbona Tanzania inanunua hadi matunda tena artificial toka uarabuni wakati matunda yanaoza kila sehemu nchini? Kweli jamaa ni mbabaishaji na msanii mwenye kuota ndoto za mchana. Angalia alivyo hovyo anasema anashabikia New Castle ya Uingereza wakati ameua kila kitu hapa nchini. Kweli wanaohoji mantiki ya kumchagua hawajakosea. Jamaa ni mtupu mno hajui hata anachosema. Kweli Tanzania inaelekea kuzimu chini ya bongolala kama hii.

Matunda gani kutoka arabuni tunayonunua .. naomba uyataje ..mtaani sijakutana nayo bado
 
Back
Top Bottom