Hizi alama za vidole na mikono kila mtua anatumia kwa jinsi anavyotaka yeye!! Aliyekuambia alama ya vidole kwa CDM ina hati miliki ni nani? Na kuwa eti ni marufuku kutumika kwa mtu ambaye si mwanachama wa CDM? Akili za hawa dhaifu ni dhaifu kweli kweli!!! They never think twice!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.