We ni miongoni kwa wale mliokuwa mmezoea kukaa kijiweni na ofisi zenu za mfukoni, mkiulizwa mnasema eti mjini nipango. Zilipendwa hizo!!.. Hizi ni za Magufuli si za Jakaya.
Kazi ya vilaza ni uzushi, majungu na kulalamika! Wenzenu Ccm wanauza sera nyie mepangwa kueneza chuki zisizokuwa za msingi wala tija kwa taifa. Ila mwisho wa ubaya ni aibu
Dah! Namkumbuka sana huyu mh. Gama pindi alipokuwa mkuu wa wilayani kwangu Nachingwea, kwake maendeleo ilikuwa ndiyo kipaombele chake. Kweli wema hawadumu!
R.I.P
Wewe unayesubiri kuajiriwa na serikali endelea kusubiri kijiweni hivyo hivyo!
Nakuambia utaomba hadi sabuni ya kuogea kwa wazazi wako.
Pia inaonyesha kaelimu kako ulikokapata hakatakusaidia, kwasababu wewe ni mbinafsi. Unangoja vya kunyongwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.