Sophia Simba aomba Msamaha, asamehewa na kurejeshwa CCM

FB_IMG_15112588978214999.jpg
Mama alikuwa na maneno ya shombo Huyu, alisema 'Hakuna mwanaume kama Lowasa'. Yaliwakera wengi maneno haya.

NA UWAZIRI ALIPEWA KWA KUCHAMBA NA VIGELEGELE KWA BWANA JK
 
Wadau
Mhesh Sophia Simba leo amerejeshwa RASMI CCM baada ya kuomba radhi mbele Wajumbe wa kikao cha Halmashauri Kuu Ya CCM mapema leo. Mtakumbuka aliwahi fukuzwa kwa tuhuma za kukihujumu Cham hicho.
Karibuni
Wana uhakika hata kihujumu chama chao tena? sababu zilizofanya akihujumu zimeshaisha?
 
Naweza kukiita moja ya kikao chenye afya kwa ccm toka awamu imeanza ambacho kimeleta chama pamoja kwa sehemu kubwa japo mengine yatakayojadiliwa siyajui what i know Sophia Simba alikua na kundi kubwa lililo ndani na nje ya vikao vya chama ambao walkua wanaumia ndani kwa ndani kwa ajili yake kwa jinsi alivyopgania ccm...naiona ccm yenye nguvu inakuja..
 
Afu hofu sophia simba alikuwa na ushawishi sana kanda yao na hata baada ya kufukuzwa aliendelea kutumia busara kukaa kimya

mkuu upo sahihi kibisa,wali jaribu kumreplace na mama salma kikwete wakagundua hana mvuto,the only way ni kurudisha mwanamke wa shoka,mtoto wa mjini
 
Hatimaye,Mama Sophia Simba amerejeshwa ndani ya CCM. Amerejeshewa uanachama wake aliovuliwa mapema na kurejeshwa kundini. Anajiunga na ndugu,marafiki na jamaa zake kufanya tena siasa za vyama akiwa na CCM.

Kabla ya kuvuliwa uanachama wake,Mama Sophia Simba alikuwa ni Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa CCM-UWT na Mbunge wa Viti Maalum. Tangu kuondolewa kwake,UWT ni kama haipo. Imepoa kwelikweli. Sasa Mama Sophia Simba anarudi.

Anarudi na uchangamfu,ukomavu,ukakamavu na ubunifu wake kuijenga upya UWT na CCM kwa ujumla. Mama Sophia Simba anakuja kuwashika wanawake tena. Kwake,CCM imechanga vyema karata zake kumrejesha.
 
Lazima aombe arudi maana maisha aliyezoea kuishi hakuishi vile....
Maisha ya marupurupu,kuwekewa mafuta ktk gari,maisha mterezooo etc alishazoeaaa
Ligi ngumu haiwezi Lazima arudi kwenye system

Ova
 
Hatimaye,Mama Sophia Simba amerejeshwa ndani ya CCM. Amerejeshewa uanachama wake aliovuliwa mapema na kurejeshwa kundini. Anajiunga na ndugu,marafiki na jamaa zake kufanya tena siasa za vyama akiwa na CCM.

Kabla ya kuvuliwa uanachama wake,Mama Sophia Simba alikuwa ni Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa CCM-UWT na Mbunge wa Viti Maalum. Tangu kuondolewa kwake,UWT ni kama haipo. Imepoa kwelikweli. Sasa Mama Sophia Simba anarudi.

Anarudi na uchangamfu,ukomavu,ukakamavu na ubunifu wake kuijenga upya UWT na CCM kwa ujumla. Mama Sophia Simba anakuja kuwashika wanawake tena. Kwake,CCM imechanga vyema karata zake kumrejesha.
Irresistible mapenzi ya CCM
 
Si ndio huyu aliesema kila alichonacho amekipata ndani ya chama cha mapinduzi na tanu?

Hawa binadamu si wa kawaida, hivi inawezekana vipi uhai, furaha, uzima au watoto uwe upewe na chama?

Hawa wanasisiemu sio wazima hawa 'mark my words'!!!
 
Back
Top Bottom