likandambwasada
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,402
- 6,073
Mkuu nihakikishie usalama wangu kwanza
Alafu nikutajie hilo lijibwa likaa bure
SINA BUNDUKI MKUU, MTAJE IN YOUR OWN RISK
Mkuu nihakikishie usalama wangu kwanza
Alafu nikutajie hilo lijibwa likaa bure
Mind set za kitumwa hizi.. Unawazia kuokota fupa wakati unaweza kuwinda upate nyama! Ukiitwa fisi utakasirika?Naona umeamua kumsemea yule "Mbwa mkaa bure" Kamwe hatoweza hata kuokota fupa!
Kama wewe vile!Nasubiria jibu kutoka kwa Ngosha, uyu mzee anapenda mipasho sana.
Kaa ndani kwako tu bila kutoka uone kama hujauza masofa na vitanda vyako mpaka sahani na vijiko. Wenzenu wanatoka kutafuta pesa, nyie mmejifungia ndani mnaishia kukamua watu visenti vyao mitaani. Kila siku tunataka wawekezaji, sasa hao wawekezaji bila kwenda kuwaonyesha hivyo vya kuwekeza watakujaje?...... Mgaagaaa na upwa hali wali mkavu!kutembea kwingi nako huwa kelo
Hao vibaka serikali ya HAPA KAZI TU inawagwaya?Ngoja vibaka wa CDM waje kumtetea 'mtembea bure'
Kama wewe vile!
Ninakustahi kwa kukuhurumia kwa kuwa hujui nilivyo na kebehi. Ukirudia huu ujinga utaniomba po!Mimi mme wako.
Ninakustahi kwa kukuhurumia kwa kuwa hujui nilivyo na kebehi. Ukirudia huu ujinga utaniomba po!
Usinizingue mtoto uliyekuja duniani kupitia tigo.Wewe binti kuwa na heshima.
Usinizingue mtoto uliyekuja duniani kupitia tigo.
Muulize aliyekuleta duniani kwa maumbile haramu, yeye ndo anaweza ulitolea uafafanuzi hilo.Kwahiyo unauza tigo? Subiri wateja wanakuja.
Sawa team 'Mange Kasema'Uzuri unawajua VIBAKA wanatokea wapi,ndiyo sababu tuko busy kukwapua RASLIMALI za TAIFA kupitia "Mayanga Construction Company"
Siku hizi washamba wamepungua, enzi ya kutembea tu ili ukaone mji imepitwa nawakati. Siku hizi tembea kwa malengo upate maisha.JK bana utajikuta umempenda tu hata kama hutaki...leo alitembea Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine(SUA) na kuwaomba menejimenti ya chuo hicho wasisite kumtuma kwingineko duniani kama wana jambo wanahitaji msaada kwani yeye huwa anatembea sana, haha:
"Jamani kama mnalo jambo linawatatiza niambieni tu, mimi natumia ile kanuni ya mbwa ile, naamini heri kutembea bure kuliko kukaa bure...maana ukimwona mbwa anakimbia kimbia tu hivi bure anaweza akaokota FUPA, lakini ukikaa tu nyumbani hupati kitu"....hapo kikafatia kicheko cha kutosha (Dr.Kikwete akiwa Chuo Kikuu Sokoine leo tarh 20/11/2017)
Source: ITV Habari
Aisee ila hii italeta shida mahali ngoja tuone.JK mtata sana yaani kaamua kabisa kumfananisha mtetezi wa wanyonge na mbwa mkaa bure.
Sawa team 'Mange Kasema'
Mkuu 2020 utamlaumu nani?Hata hivyo sina hamu naye kabisa, ndio katusababishia madhila yote haya
UwwwiMzee mpige dongo jingine huyo mbwa mkaa bure
Hata akae kwa ras Simba miaka 20 hakuna chochote kitakachobadilika. Kuna vichwa vingine vilisha goma we kuanzia s/msingi, O level, A level, Degree, Masters mpaka PhD kichwa kimegoma, nyie mnataka kumbebesha mzigo Ras SimbaYupo kwa rasi simba?