Polisi zanzibar ni waongo sana, hakuna sheria yoyote Zanzibar inamkataza mtu kula wakati wa ramadhani.
Miaka ya nyuma kesi zote zilizopelekwa mahakamani mashitaka yalisomeka tofauti, badala ya shitaka la kula mchana wakati wa ramadhani, mashitaka yote yaliletwa mahakamani kwa kosa la uzururaji...
Badala ya kulalamika na kutukana na vilevile waandishi wetu kuogopa na kukaa chini sisi...Tumefanya utafiti mdogo kwanini ghafla Bunge na mfumo mzima wa uongozi wa serkali ya Tanzania ghafla wanawahitaji hao wabunge wa CHADEMA.
MASHARTI YA PESA TOKA NJE (DONORS)
Kama mnaelewa bunge letu hakuna...
1.Kingereza ni lugha ya Taifa ,chagua rais anaeongea kingereza
2.Mrema hajui kingereza atakuja kutuletea aibu umoja wa mataifa au akisafiri nje
3.Mrema Hawezi kuongea kingereza na Kiswahili
4.Mikataba ya kimataifa ni kwa kingereza
5.Miswada yetu ni kwa kingereza
@@@@@Miaka 20 baadae walewale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.