Naomba ufafanuzi kama ukiwa mtumishi wa Serikali zaidi ya miaka 20 je kama ukifukuzwa kazi kuna mafao yoyote utapata?
Au ukiamua kuacha kazi, Je kuna mafao yoyote unaweza kupata? Na je kama una mkopo benki hilo deni linalipwaje na wewe uko nje ya utumishi.
Kuna dada mmoja hapa mtaani kuna grocery jirani uwa naenda kupata kinywaji mara nitokapo katika miangaiko yangu sasa kuna siku alikuja pale kumtembelea rafiki yake nilipomuona nikatokea kumkubali kwa jinsi alivyo nikamuita nikaongea nae akanipa namba tukaendelea kuwasiliana
Shida ndio zikaanzia...
Wanazengo ebu toeni ufafanuzi kuhusu matumizi sahihi ya kidole kirefu cha Kari mkononi maana ikitokea mtu akionyeshea kidole cha kati kuelekea juu basi anaona ametukanwa na inakuwa ni ugomvi mkubwa, sasa tupate elimu kidogo matumizi yake
Habari wana JF,
Nipo kwenye gari na abiria wenzangu tunasafiri gari ipo kwenye mwendo wa kasi na dereva anajitahidi kulicontrol na abiria wanafurahia uwezo wa dereva anavyoendesha ila kwa uzoefu wangu mchache wa kuendesha magari nahisi breki zimekatika tunaweza kupata ajali mbaya huko mbele...
Tunakupenda ww na mzazi mwenzio Chibu mnajitahidi sana kujitoa kwenye social media najua ndo sehemu ya maisha yenu mana bila hivyo nafikiri mngepotea ,
Una watoto 5 uliowazaa mwenyewe basi na hao wengine jaribu kuwaposti tujue maendeleo yao birthday zao wafanyie sherehe ili wajisikie kama...
Naomba kujuzwa wakali wa hip hop wa zamani kama xplastaz, weusi ten ngangali na wakali wa sasa kama Niki mbishi n.k wako wapi hatusikii wakitoa nyimbo Kali za kuchana au ndo kusema hip hop imekufa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.