Tangazo halina bei weka. Mambo ya PM ya bei tofautitofauti hayatakiwi. Ndipo mtu aamue kupiga simu akiona bei ni rafiki.Ipo mkuranga mjini km moja toka barabara kuu ina vyumba vitatu kimoja master bedroom ina umeme maji mawasiliano 0655204110 na 0699492380.
View attachment 1667555View attachment 1667557View attachment 1667558View attachment 1667559
Kama hauna uhitaji sio lazima kupost endelea na mishe zakoKwa hiyo wakiitwa wenye nyumba na wewe utatoka.
Kwani ungeandika PAGALA linauzwa ungepungukiwa na nini
Mkuranga mjiniMkuranga sehemu gani
MjiniMkuranga sehemu gani
Inauzwa kama ilivyo bei maelewanoUtapaka rangi kwanza au utampunguzia bei mnunuzi ili anunue rangi?
We unakaa wap nduguKumbe mkuranga napo kuna mjini
Sijaweka bei mkuuduh, 60m parefu sana mkuu
100MBei?
Banda linauzwaIpo mkuranga mjini km moja toka barabara kuu ina vyumba vitatu kimoja master bedroom ina umeme maji mawasiliano 0655204110 na 0699492380.
View attachment 1667555View attachment 1667557View attachment 1667558View attachment 1667559
cheki figa vizuri, umeongeza sifuri moja bahati mbaya mkuu100M
Duh aya ni maisha tu mkuuKwa hiyo wakiitwa wenye nyumba na wewe utatoka.
Kwani ungeandika PAGALA linauzwa ungepungukiwa na nini