Hizi majuzi nimesikia watu watatu ninao wafahamu wameibiwa magari Dodoma. Na jhuu wizi unafanyika kibabe sana, wanakuja nyumbani wanafunga grill zenu kwa kufuli hata mkiamka wakato wanawasha gari msiweze kutoka.
Tena naskia kama una geti la ku slide wanaruka ukuta wanaingia ndani kisha...
Dell vostro 1400
HD 120 GB
RAM 1GB
Procesor dual cpu @1.6
dvd rom,
wifi,
bluetoth
card slot
OS widow 7 premium
ms office 2007
BEI LAKI 8
ni pm kama unaitaka nitakujibu kwa haraka
samito
afu unataka mchango mwez january au feb mwanzon, unataka unieleweje? kodi sijalipa ada za watoto na wadogo zet, kod za viwanja, nk nk sogeza sherehe yako march au april ntakupa ushirikiano murua
MKENYA: Eti naskia nyie mwatanzania mkiulizwa swali mnajibu kwa kwa kuuliza swali
MTANZANIA: We nani kakuambia?
MKENYA: duh!
Mi naomba niulize wabongo wenzangu, hii kasumba ya kujibu kwa kuuliza swali tumeitoa wap?
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais – Mazingira, Dk. Terezya Huvisa ameiasa jamii ya watanzania kujenga tabia ya kupanda na kutunza miti ili kufaidika na biashara ya hewa ukaa.
Dk. Huvisa ameyasema hayo mwishoni mwa wiki katika Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa alipofanya ziara ya kikazi...
Hello pipo,
leo nimepigiwa simu toka number hii +25515600 kwenye simu yangu ya voda afu ni sauti iliyorekodiwa kwenye mashine ikiwa inaongea upesi upesi(sikumbuki) ila mwisho wakasema kukubali bonyeza 1 ..... mimi sikubonyeza baada ya kimya cha sekunde kama tatu wakasema sijakuelewa nikaamua...
Bar moja mtaa mmoja karibu na makazi ya watu siku moja mwanamke mmoja alikua anakimbizwa na mumewe. Ishu ilikua ugomvi wao, mwelekeo ulikua karibu kbs na meza ya wanywaji fulani.
Yule mama huku akikimbia "nisaidie nisaidie ataniua..." Wale walevi wao walichowahi ni kushika chupa na glass za...
Wakuu habarini za muda huu, naamini mkon njema kabisa, Ashukuriwe Mungu.
Eti, kati ya gari ipi hapa ninunue ipi kwa ajili ya matumizi ya kawaida?? TOYOTA GAIA, CARIB na CISTA ARDEO sw??
naombeni ushauri interms of spea and durability, natanguliza shukran
habari za leo ndugu wana JF.
Mwenzenu nimeanzisha biashara ya kukopesha wafanyakazi mkopo wa chap! chap! yaani kuanzia 100,000 mpaka 500,000 na mdeni ni lazima anilipe ndani ya mwezi mmoja na riba ya 20,000 kwa kila laki moja na akishindwa kulipa basi analeta riba alafu deni linakuwa carried...
wenyewe mpoo,
Helo pipoo... first of all congs sana kwa michango yenu humu jamvini inayosaidia jamiii..
nami nimeamua kujiunga leo...
naamini mtanikaribisha kwa bashasha, nderemo na vifijo..:grouphug:
pamoja sana lv u all
:dance:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.