samito
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 631
- 176
habari za leo ndugu wana JF.
Mwenzenu nimeanzisha biashara ya kukopesha wafanyakazi mkopo wa chap! chap! yaani kuanzia 100,000 mpaka 500,000 na mdeni ni lazima anilipe ndani ya mwezi mmoja na riba ya 20,000 kwa kila laki moja na akishindwa kulipa basi analeta riba alafu deni linakuwa carried forward pamoja na riba yake.
Kwa kifupi wateja wangu wengi ni walimu na wafanyakazi wa serikali na mashirika mbali mbali wenye kipato cha chini.
sasa sijaisajili hii biashara na sijui kama ni halali kisheria, na je ikitokea siku mtu kanirusha afu nikaenda kumshtaki kwa kutumia hivi vikaratasi tunavyoandikishiana haita nitokea puani??
msaada plzzzzzzzzz.... natanguliza shukran
Mwenzenu nimeanzisha biashara ya kukopesha wafanyakazi mkopo wa chap! chap! yaani kuanzia 100,000 mpaka 500,000 na mdeni ni lazima anilipe ndani ya mwezi mmoja na riba ya 20,000 kwa kila laki moja na akishindwa kulipa basi analeta riba alafu deni linakuwa carried forward pamoja na riba yake.
Kwa kifupi wateja wangu wengi ni walimu na wafanyakazi wa serikali na mashirika mbali mbali wenye kipato cha chini.
sasa sijaisajili hii biashara na sijui kama ni halali kisheria, na je ikitokea siku mtu kanirusha afu nikaenda kumshtaki kwa kutumia hivi vikaratasi tunavyoandikishiana haita nitokea puani??
msaada plzzzzzzzzz.... natanguliza shukran