samito
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 631
- 176
Hello pipo,
leo nimepigiwa simu toka number hii +25515600 kwenye simu yangu ya voda afu ni sauti iliyorekodiwa kwenye mashine ikiwa inaongea upesi upesi(sikumbuki) ila mwisho wakasema kukubali bonyeza 1 ..... mimi sikubonyeza baada ya kimya cha sekunde kama tatu wakasema sijakuelewa nikaamua kukata simu.
kuna mtu keshapata simu ya namna hii? je ndo wizi moya huo ukishabonyeza 1 uanze ku2miwa ujumbe kila siku na kukatwa hela? ivi sheria inasemaje? TCRA wanatulindaje mobile users?
leo nimepigiwa simu toka number hii +25515600 kwenye simu yangu ya voda afu ni sauti iliyorekodiwa kwenye mashine ikiwa inaongea upesi upesi(sikumbuki) ila mwisho wakasema kukubali bonyeza 1 ..... mimi sikubonyeza baada ya kimya cha sekunde kama tatu wakasema sijakuelewa nikaamua kukata simu.
kuna mtu keshapata simu ya namna hii? je ndo wizi moya huo ukishabonyeza 1 uanze ku2miwa ujumbe kila siku na kukatwa hela? ivi sheria inasemaje? TCRA wanatulindaje mobile users?