Wanajamvi na imani mpo salama usalmini,bila ya kupoteza muda wacha nirejee katka mada yetu ya leo.Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza kuwa
MWANAMKE AKIWA NA SIFA 5 KATI YA HIZI[emoji1427]BASI ANASTAHILI KUPEWA TALAKA KWA ASILIMIA MIA MOJA
1)Mwenye kuisaliti Ndoa yake
2)Mshirikina
3)Asiye...
Inasikitisha saaana kila kukikucha anatokea mtu na kujiita mimi ni nabii flani.
Je hao wanafahamu maana halisi ya nabii?Au wanakurupuka tu?
Wengine wanahubiri na kuihalalisha pombe kanisani huku akijiita nabii.
Hivi hawa wanalijua tafsiri halisi ya maana la neno la Nabii au wana Copy na ku...
Habari za siku wanajamvi naona weekend ndio tumeianza,nirejee katika mada yetu ya leo.
Ni kitu gani unachokimiss kutoka kwa Mkeo/Mmeo mliokwisha tengana nae kwenye ndoa yenu?Wanajamvi Naomba tukutane huku ili tuichangie hii hoja yetu.
Mimi binafsi huwa nakimiss saana chakula alichokuwa akipika...
Natumaini wanajamvi wenzangu wote ni wazima wa afya.Bila ya kupoteza muda turejee katika mada yetu iliopo hapo juu.
Leo nlikutana na rafiki yangu nliepotezana nae kwa miaka mingi kutokana na kuhamishwa kikazi.Tulifurahi saana baada ya kuonana na kukutana kwa mara nyingine tena.baada ya mawili...
Bila ya kupoteza muda, wanajamvi wenzangu nimekuwa nikiteseka saana juu ya shemeji yenu.
Ninampenda saana lakini mwenzangu haoneshi dalili zozote za mapenzi kama navyomwonesha mimi. Ukimuuliza kitu utajibiwa kimkato tu,ukimzuia kwenda sehem ndio kwanza kama umemwambia aende ni kiburi muda...
*KUANZIA KESHO 15/01/2018 Ni marufuku kutupa takataka za aina yoyote ile barabarani na sehemu yoyote ile isiyo maalumu. Ukikamatwa fine ya sh 100,000/= inakuhusu na wale abiria wanaorusha takataka nnje ya basi wakiwa safarini fine yake ni 300,000/= kuwa makini kuna watu zaidi ya elfu moja...
Wanajamvi natumai nyote ni wazima wa Afya.
Ningependa tujumuike katika Uzi huu, kutaja ni Sinema ipi ambayo umeshaiona zaidi ya mara 5 lakini bado hujaichoka.
Mimi binafsi movie ambayo huwa hainichoshi kuiangalia ni BLOOD DIAMOND Solomon Vandy
Mwaandishi mmoja wa habari alimuuliza dai mmoja wakijerumani Salah El dyn mahusiano yaliopo kati ya Uislamu na Ugaidi,
akamjibu:
Hapana hawakuwa ni waislamu !!!
Kisha akamwambia: kabla ya yote unatakiwa uitafute maana ya Ugaidi vizuri, kwani asie muislamu akifanya kosa huitwa ni kosa la...
Tuache SIASA tueke pembeni ushabiki wa VYAMA.
Nimeifatilia kwa makini saana hii HOTUBA ya Mh,rais John Pombe MAGUFULI ktk MKUTANO wa 33 wa ALAT.
Hio hotuba imetugusa saana na Mh alikua akiongea kwa machungu na kwa UZALENDO mkubwa sana wa nchi
Imenigusa saana ile ya BANK YA KIMAREKANI kua head...
Kuna zoezi litafanyika hivi karibuni la watu wa idara ya kazi kupita nyumba kwa nyumba juu mikataba ya kazi kwa wafanyakazi wote ikijumuisha wafanyakazi wa majumbani pia. Wanakagua vitu vifuatavyo: -
1. Mikataba ya Ajira
2. Masaa ya kazi
3. Mazingira ya kazi
4. Malipo ya WCF :- (Hii fine yake...
Kweli kila jambo lina mwanzo na mwisho wake. Kwasasa abiria kabla hajapanda bodaboda cha kwanza anakuuliza kama una kofia ngumu (helmet) ili umpe aivae kama hauna huyo abiria atatafuta bodaboda ingine. Jambo la kupakia mishkaki kama zama zile kwa sasa akibainika hatua ya kwanza atachukuliwa na...
Habari zenu wanajamvi wa JF,
Kwa mtazamo wangu mimi, Dunia ya leo ndoa nyingi zinavunjika mapema tofauti na ndoa za zama zile walizo funga wazee wetu na hii inaonekana wazi kusababishwa na mume kua juu na mke pia kua juu zaidi, hadi kusababisha ndoa kuvunjika. Kwa mwenye mtazamo tofauti naomba...
Tangia kufungwa kwa kituo cha Star Tv wiki mbili sasa naona kimya tu kila niki search hio channel kwenye TV siioni.
Nasikia kuna malalamiko juu ya ulipwaji wa mishahara ya wafanyakazi wa kituo hicho.Je hio kodi italipwa au ndio kituo imetoka hio?
Nimeimiss saana taarifa ya habari ya dira ya...
Ukistaajabu ya Firauni ona ya Musa sasa watu wa TRA wakiwa na trafiki wanakupiga mkono ukisimama cha kwanza wanaangalia gej ya mafuta kifuatacho unaombwa risiti ulipowekea hayo mafuta.
Kama uliitupa au ulipuuza kuichukua utatamani uzaliwe upya hayo yalimtokea rafiki yangu Surrender Bridge.
Kinanishangaza sana watu kulalamika juu ya rais wetu kua hatendi haki kuwasimamisha kazi wafanyakazi wa uma waliofoji vyeti. Chakusikitisha zaidi unakuta mtu anasema kua "Ohh huyu alifoji miaka ya 80 sasa amesha qualified na hio kazi "inamaana mwizi alioiba mwaka 1995 akakamatwa 2017 asifikishwe...
Hivi inakuwaje lakini nikiangalia taarifa za habari kuanzia channel10, Star TV, ITV, Azam TV na TBC zinakua hazina mvuto kama taarifa au matukio, au habari kama za mitandaoni? Hususani MITANDAO ya SIMU kupitia JF, FB, Twiiter, Insta na mengineyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.