Haaa umefanya nikomenti japo huwa napita tuu kwahiyo wewe kipimo chako ni magari vipi kama hawatanunua magari watajenga na kuinvest kwenye kilimo. Umenifanya nicheke sana
Najua umeumia ila pole sana mtu kukuita tapeli ili hali hakujui inauma ila pole twende tuendelee na mambo yetu haya usiache kututumia vitu ili na sisi tunaoanza tusikate tamaa, inatuhamasisha mimi napenda nikiona coz wako ambao wanaamini hakuna kufanikiwa kwenye forex ila tukiona unavyotuma then...
Wapi kamkana YESU jamani acheni kumhukumu kijana wa watu looh mnajifanya miungu watu. Wewe ukoje na Mungu wako hilo ndio la msingi kwako. Mimi wakati wote huwa najitafakari kuwa mimi nikoje na Mungu na mimi ni nani hata nimhukumu mtu. Ajizaniae amesimama aangalie asianguke. JICHUNGUZE na kama...
Achana na mume wa mtu maana utaishia kuwa kimada wake tu. Heshima iko kwa mke wa ndoa ukija kushtuka tayari hakuna hata wa kukusalimia umeshazeeka na ujue wakati huo atakuwa kwa mke wake
:D:DWaacha bwana Embu tupe evidence sio tu unasema scam then unasepa toa ufafanuzi zaidi tujue sisi tulinunua mpaka vitabu tunasoma tusiendelee kupoteza muda.
\Mkuu huo ndio ukweli wenyewe watu wako tofauti sana katika uelewa mfano mimi nimesome weee sielewi sasa imebidi nisubiri wanaoelewa wanieleweshe taratibu ila naamini tutafika
Mungu awe faraja kwa wote walioondokewa na watoto wao. Tunachoweza kusema ni Jina la Bwana libarikiwe maana ukitafakari sana unaweza kumkosea Mungu katika hili. Inauma mnoo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.