Nimejaa hofu kwa nilichokishuhudia kwa mpenzi wangu

Haya mambo yanatia hasira sana,hasa unapokutana na jambo kama hili kwa mtu unayemwamini na kumpenda,inakatisha tamaa kwa kweli!!
Mkuu
Binti asiye na hofu ya Mungu wa kazi gani sasa.
Tafuta binti mcha Mungu.
Mwanamke anatakiwa awe nuru ya kuisogeza familia usoni kwa Mungu.
Sasa huyo atapeleka nyumba kuzimu.
 
Mkuu
Binti asiye na hofu ya Mungu wa kazi gani sasa.
Tafuta binti mcha Mungu.
Mwanamke anatakiwa awe nuru ya kuisogeza familia usoni kwa Mungu.
Sasa huyo atapeleka nyumba kuzimu.
Ahsante kwa ushauri wako,japo kwa jinsi alivyokuwa mhudhuriaji mzuri wa ibada na muimbaji mahiri,sikufikiria kama anaweza kujihusisha na haya mambo,na kitendawili kikubwa kwa sasa ni je,ni njia gani sasa naweza kuitumia kum-judge binti kabla sijamfanya kuwa mchumba?
Maana huyu pamoja na kufanya naye kazi ofisi moja!bado ni mtu wa kanisani sana!!!
 
Uoga wako ndio kifo chako. . Hakuna kiarabu hapo hayo ni maandishi ya kitapeli tu. Acha Uoga! Ila kama mpenz wako ameanza kwenda kwa waganga temana nae.
 
Ahsante kwa ushauri wako,japo kwa jinsi alivyokuwa mhudhuriaji mzuri wa ibada na muimbaji mahiri,sikufikiria kama anaweza kujihusisha na haya mambo,na kitendawili kikubwa kwa sasa ni je,ni njia gani sasa naweza kuitumia kum-judge binti kabla sijamfanya kuwa mchumba?
Maana huyu pamoja na kufanya naye kazi ofisi moja!bado ni mtu wa kanisani sana!!!
Unahitaji nguvu ya roho mtakatifu kumtambua. ( samahani sijajui imani yako ni ipi)
Mimi naamini maji na mafuta siku zote havichangamani.
Mtu mwenye hofu ya Mungu haumgungui kwa idadi za ibada anazofanya tuu ila matendo je yanalandana?
Hata katika kupiga story na mtu unaweza ukamsoma mind yake ukajua yeye ni mtu wa namna gani.
Pia sali sana
 
Unahitaji nguvu ya roho mtakatifu kumtambua. ( samahani sijajui imani yako ni ipi)
Mimi naamini maji na mafuta siku zote havichangamani.
Mtu mwenye hofu ya Mungu haumgungui kwa idadi za ibada anazofanya tuu ila matendo je yanalandana?
Hata katika kupiga story na mtu unaweza ukamsoma mind yake ukajua yeye ni mtu wa namna gani.
Pia sali sana
Nimejaribu kukutext Pm imegoma,naomba nitext kama unaweza!
 
Nafikiri mahusiano naye yanatosha sasa huu ni ushirikina mkubwa ,viharibu hivyo vitu,na umuombe MUNGU sana,kisha mwambie nilikupenda hivyo hivyo bila haya mauchawi ,muache tu aende akaishi na wachawi wengine,fungus hizo vitu kemea tia moto
 
Kiarabu hiki kwakweli nimeshindwa kukisoma,ila kwakua umeshajua kua mwenzi wako amefanya uchafu huu tena pemben kuna kahiriz kama uhusiano wenu ni wa halali kwa mana ya mke na mume mlie funga ndoa basi si la kukaa kimya lazima ufahamishe ndg kwani mkeo ni mshirikina na nikatika dhambi kubwa sana lazima ujue nn alitaka kukufanyia wapelekee wazazi wake lakini uwe na mmoja kati ya ndg zako ww
 
Samahani bro
Hapo hakuna neno lolote la maana au niseme demu wako ameingizwa mjini na huyo mganga wake. Na hizo ni herufi tu na tena ni za lugha zaidi ya moja. Kama kiarabu na kipersia(kiirani). Soo ondoa hofu hakuna kitu hapo.
 
Back
Top Bottom