Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Mkuu thanks kwa uzi huu, NGOJA NIANDIKE KWA CAPITAL LETTERS~UKIANZA TU ANZA NA MIMI, baada ya kumaliza elimu ya chuo nilipata kufwatilia sana hii kitu pamoja na kudownload videos za huyu youngest millionaire SANDILE SHEZI kwa wakat huo cjui kwa sasa, na kusoma sana baadh ya APPS zilizopo play store kwa kujifunza, ilinibid nipractice sana kwny demo account kwa kutumia BINARY OPTION~IQ option things was running smoothly but kutokana na research zang nikakutana na baadh ya comments zikisema BINARY its a SCUM nkasita kudeposite ili nideal na real account.

Ni kitu ambayo bado ipo kwny damu and good enough nilikuw nakutana na platform zngne lakin walikuw wanadai THERE IS NO CURRENT BROKER IN UR COUNTRY. Also nilijaribu kucontact na ''ETORO" via email nikijua as the among of the best brokers but nikaona kuna umuhimu wa Elimu zaid juu ya kuijua hii kitu.

As you said hili swala linafanyika kwa kificho sana I was so surprised wakat IQ option wananiambia wana 12,000 Customers from Tz huku nikiwa sijawah kusikia hii kitu ikiwa promoted in either way hapa nchn,
Thnks 4 coming bro I will be in touch with this thread ili Twende sawa.

LET ME ADD SOMETHING ON MY COMMENT HERE.
Baada ya kucomment hapo juu I got several in box texts watu wakitaka kuijua hii business, it shows watu wameipokea kwa mikono miwil let me welcome yu nitakusaidia pale nlipo na experience napo kwa muda mrefu so you may ask here or in box whatever nitakujbu.
MKUU ULIJIBIWA HUU UJUMBE???...maana hata mimi binary option ktk kusearch nikasikia ni scum tena jamaaa aliuliza swali nzuri sana JE UMEWASIKIA BILIONEA YEYOTE KATAJIRIKA KUTOKANA NA BINARY OPTION?? ukitazama video nyingi Utube waweza kurupuka nilimaster BILINGER BAND lkn nlivyo sikia ni scum nikasita......mbaya zaid nipo mkoa huyuu jamaa nitamkosaa huko twn
 
Tupe tovuti kaka sio kutufanyia biashara kwa link we upige mawe.... Hii link ni redirect/affiliate programe mtu akijiunga kupitia hii we unakula commission yako..... Kila la kheri.
Tovuti hii hapa bro
Nilisoma hapo juu kwa aliyetoa hiyo link nikafuatilia nikakuta nikweli nika open acc na nikapewa free 30$ nimetrade nayo sasa nimepata 184$ nimesha wekewa kwenye my real account..

Huu ni msahada kwa wanafunzi ambao wako tayari ila hawana. mtaji

https://secure.tickmill.com/redirect/index.php?cii=10083&cis=1&lp=https://tickmill.com/

They are for real

Post sent using JamiiForums mobile app
 
CRDB, NBC ni duo threat kwa internet banking. Never try using them katika issues za online purchase.
Mi nili-deposit kama dola 25 kwenye benki ya NBC kilichonitokea najuta,hela imegoma kuhamishika nilivyowapigia sikupata majibu ya kuridhisha maana hawa jamaa customer care ni zero,nikaenda ofisini kwao napo majibu hayaeleweki wanadai hela yote imekatwa kama service charge na nabado nadaiwa japo kwenye balance yangu nikiangalia hela naiona,hapa nilipo nimetupilia mbali kadi yao naona hawana msaada kabisa yani.
 
Mi nili-deposit kama dola 25 kwenye benki ya NBC kilichonitokea najuta,hela imegoma kuhamishika nilivyowapigia sikupata majibu ya kuridhisha maana hawa jamaa customer care ni zero,nikaenda ofisini kwao napo majibu hayaeleweki wanadai hela yote imekatwa kama service charge na nabado nadaiwa japo kwenye balance yangu nikiangalia hela naiona,hapa nilipo nimetupilia mbali kadi yao naona hawana msaada kabisa yani.

Siku nyingine usijaribu kuwatumia hao NBC. Mimi huu mwaka wa tano sasa sijawahigi pata activation pin yangu ya paypal. Ilinibidi mpaka nisajili bank nyingine nikachukua cash card ndo ninayoitumia mpaka sasa katika online transactions.

Wapo hovyo sana katika internet banking
 
Tupe tovuti kaka sio kutufanyia biashara kwa link we upige mawe.... Hii link ni redirect/affiliate programe mtu akijiunga kupitia hii we unakula commission yako..... Kila la kheri.
Hiyo ni direct link ya tickmill na huo ni msaada tu...hakuna commission kwenye Forex .. Tafadhali rudi darasani

love thé love or hâte thé love.....
 
Hey guys There is the best broker i found few days ago.. Compare to all ECN brokers this one has got very litle commission, very faster in executing order, zero spread, Regulated, and among others if want to withdraw its withing 30mins your money is out to your bank .

There is the offer of free acc 30$ then once you reach 130$ you take your 100$ they take their 30$ , what i was suprised is that if you loss that 30$ they dont hold you accoubtable.
I started with their 30$ up to 184$ then they added it to my live acc..
I thought i should share this for those who do not have capital its a starting point.

https://secure.tickmill.com/redirec...ps://tickmill.com/promotions/welcome-account/



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hey guys There is the best broker i found few days ago.. Compare to all ECN brokers this one has got very litle commission, very faster in executing order, zero spread, Regulated, and among others if want to withdraw its withing 30mins your money is out to your bank .

There is the offer of free acc 30$ then once you reach 130$ you take your 100$ they take their 30$ , what i was suprised is that if you loss that 30$ they dont hold you accoubtable.
I started with their 30$ up to 184$ then they added it to my live acc..
I thought i should share this for those who do not have capital its a starting point.

https://secure.tickmill.com/redirec...ps://tickmill.com/promotions/welcome-account/



Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu tufafanulie kidogo hapo

Sent from my iPhone6 using JamiiForums mobile app
 
Tovuti hii hapa bro
Nilisoma hapo juu kwa aliyetoa hiyo link nikafuatilia nikakuta nikweli nika open acc na nikapewa free 30$ nimetrade nayo sasa nimepata 184$ nimesha wekewa kwenye my real account..

Huu ni msahada kwa wanafunzi ambao wako tayari ila hawana. mtaji

https://secure.tickmill.com/redirect/index.php?cii=10083&cis=1&lp=https://tickmill.com/

They are for real

Post sent using JamiiForums mobile app
Uliopen real au demo??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu kwa mwenye tutorial about this list msaada tafadhali maana youtube baadh zimeyumba kidg..

1.big shadow
2.kangaroo tail
3.big belt
4.last kiss
5.shark
6.cypher
7.Moolah

cc
Bavaria, Ontario
 
Kitambulisho chako either cha uraia au kupiga kura!

Alafu uwe na buku kumi ya card.

Hapo umemaliza.

Baada nusu saa unapata acc yako na kadi yako ya visa.

Waambie wai activate ili iwe na uwezo wa kufanya online transactions (hii ni muhimu na ni free)!
sure mkuu
 
Swali zuri,....wadau ni kweli inabidi tuwe makini na hizi bank kwani ukifanya mambo kwa pupa na ku-take easy itakuja kula kwako....Hapa namaanisha nini? Kwa wale ambao wanafungua akaunti za live hakikisha kuwa huyo broker wako atakuwa na njia nzuri ya kukulipa, hapa nina maana kuwa ni lazima ujue kuwa ni njia ipi anatumia broker kukulipa pesa zako pindi pale unakapohitaji ku-withdraw.......nina hakika kila broker ana njia zake za kulipa......najua kuna wengine wanalipa through paypal......wengine wanalipa through kadi yako ya bank ambayo itakuwa Prepaid credit viza card.....na kuna broker wengine wanalipa kupitia Bank tranfer au bank wire system.....Kwahiyo cha msingi hapa ni kuwa makini na broker wako analipa kwa mfumo upi! ambao kwako itakuwa rahisi kupata hizo pesa zako iwapo ukiamua ku-withdraw. Kwani kama nilivyotaadharisha kuwa inawezekana ukashindwa ku-withdraw dola zako kutokana na mfumo ambao broker anatumia kulipa trader.....kivipi? ......Kwa Mfano kuna broker ambao wao wanalipa kupitia PAYPAL MERCHANT TU!.....Na hana njia nyingine ya kulipa zaidi ya hiyo ya kupitisha pesa zako through paypal account yako!.....Je broker anayetumia paypal account unaweza pata pesa zako???.....Jibu ni hapana! huwezi pata pesa zako, kwa sababu Paypal merchant au paypal money processor hawana mkataba wa makubaliano wa kufanya online transaction through kadi zetu za viza au bank za hapa tanzania, kwa sababu hiyo hakuna huwezo wa pesa kuingia kwenye account yako ya paypal na kisha uka-withdraw au ku-transfer pesa kwenye account yako hapa bongo......Kwa wale ambao wanafahamu maswala ya online transaction wanajua ni nini anaongelea hapa.....Ebu naomba mnielewe vizuri hapa....ninaposema kuwa Paypal money processor hawana mkataba au makubaliano.....jua kuwa ni lazima serikali inahusika hapa...kwahiyo hayo makubaliano au mkataba ni lazima waingie na serikali ambayo ndio BOT. Lakini kumbuka kuwa hii paypal kwa Tanzania inafanya kazi lakini ni kwa kufanya malipo ya online tu na si kupokea pesa!.....kwa kutumia paypal account yako ambayo utaifungua basi inayo feature ya kukuwezesha ku-link kadi ya either ya debit viza card au Pre-credit viza au mastercard viza......ambayo sina hakika kama inatolewa hapa tanzania.....kwahiyo kwa ku-link hiyo kadi yako kupitia paypal basi unaweza kufanya mihamala ya online popote paypal account inapohitajika...lakini huwezi kulipwa kupitia paypal kwani hakuna features za ku-transfer au ku-withdraw pesa zako mpaka kwenye account yako ya bank.
Kwahiyo wadau wa Forex Tanzania.....nilitaka kutoa hilo angalizo na muwe makini sana bila hivyo unaweza pata usumbufu mkubwa mno wakati wa ku-withdraw pesa zako..............Sasa je ni mfumo upi ambao unafaha kupokea pesa hapa tanzania??...Hili ndio swali lamsingi....kwani kuhusu kupata viza kadi toka bank ni rahisi sana...na kufanya malipo ni rahisi sana ....lakini kutokana na upeo wangu mdogo ....kupokea pesa au ku-withdraw au cash out kuna matatizo sana......ndio maana nimetoa angalizo la wadau kuwa makini sana wakati unafanya registration kwa broker, hakikisha kuwa inapofikia kuvuna pesa zako basi kusiwe na shida ya kutoa pesa kwa broker na kuingiza kwenye account yako............na hapa sisemei kuhusu kutoa pesa kwenye account yako bank.....nazungumzia jinsi ya kutoa pesa kwa broker wako na kuituma kwenye account yako ya bank,.........ni lazima ujue je broker wako iwapo uki-withdraw ni siku ngapi inachukua mpaka pesa kuingia kwenye account yako ya bank?..........na njia ipi anatumia katika malipo?...je anatumia bank Transfer? au bank wire?....au anatumia money processor kama paypal, payza, perfectmoney, au skrill...na nyinginezo nyingi!.....hapa ndicho kitu cha msingi!...........Mimi ninanavyofahamu kuwa nchi yangu hii Tanzania si rafiki sana katika maswala ya online transaction!...ndio maana ukienda katika local bank zetu unaweza usipate ushirikiano wa kutosha kwa sabau ya kutofahamu haya maswala au ndio sheria zilivyo!.....Mfano.....wenzetu wa kenya wao paypal inafanya kazi hawana kizuizi....wanauwezo wa kulipia na kupokea pesa throuth paypal money procesor..........na hata bank zao...mfano bank ya KCB bank wao hawana shida na paypal,,,,ila shida ipo kwenye taratibu za nchi ambazo haziruhusu kupokea pesa throuth paypal!............wao kama wao bank KCB wanakwambia kuwa kadi zetu za visa zinapkea pesa toka paypal........lakini ikiwepo hapa tanzania haziwezi kupokea kutokana na utaratibu wa nchi....lakini kwa kenya wao hakuna shida !
Je ni njia ipi nzuri ...au njia ipi inatumika kupokea pesa?!!........Kwa mimi na upeo wangu mdogo....nimeona kuna njia mbili tu au tatu za kupokea pesa kwenye account zetu.....moja ni kwa Bank transfer!.............pili kwa viza kadi za bank zenye uwezo wa kupokea pesa nje.....
Kuna aina mbili za hizi viza kadi....kuna masterviza card..............na credit viza card.
Pia kuna aina mbili ya credit viza kadi........kuna pre-paid viza kard..........na debit viza kadi
(A) Ukifungua account ya Foreign exchange au wanaita Forex account....au kibongobongo tunaita account ya dola.......ni lazima utapewa kadi ya debit credit viza card,ambayo hii kadi itakuwa na namba mbili za account.......namba moja ni hiyo ya account ya dola na namba nyingine ni kwa ajili ya kufanya mihamala ya online ...account lakini ni moja tu....sasa account hii faida yake ni kuwa na uhakika wa kupokea pesa kwa hali yoyote ile either kwa bank transfer au kwa kulipwa kupitia viza card yako..........

(B) Ufunguaji wa account ya pre-paid credit viza card ni rahisi sana hapa ni kitambuklisho chako tu either cha taifa au kupigia kura........na ni kwa sh 10,000/= au 15,000/= hivi......

Kwahiyo hapa point yangu ya msingi ni jinsi utakavyolipwa na broker......je kadi yako ya bank je atakubaliana nayo?...na je malipo yatachukua muda gani kufika kwenye account yako?....hivi ni vitu muhimu ku-note!
Kitu kingine cha ku-note ni hiki...........Ni lazima broker atahitaji taarifa zako sahihi ujaze....mfano street address! majina yako kamili..........na kikubwa ni uhakika wa umiliki wako ya hiyo account ambayo anatakiwa kukulipa.......ni lazima umtumie kitambulisho....na kitambulisho wanachohitaji ni lazima kiwe kitambulisho cha taifa........iwapo kitambulisho cha taifa hakiitaji basi ni lazima utumie copy ya paasport yako ikionyesha majina kamili na anwani yako...ili kuthibitisha umiliki wako wa account ambayo yeye anapashwa kupitisha pesa ambazo wewe uta-withdraw...Angalizo...kwa wale wanaotumia kitambulisho cha taifa.... ni majanga...kwani kitambulisho chetu cha taifa hakitambuliki kimataifa.....kina kasoro kubwa mno...kwahiyo hivi vinatumika humu ndani tu.
Mimi naishia hapa!...na huo ndio mtazamo wangu kuhusu maswala ya bank na malipo yoyote mwenye kuongeza au kukosoa taarifa hii ni vyema tu ili sote tuweze kupata mafanikio!.............ila taarifa ilishatolewa kuwa bank nzuri kwa maswala ya online ni FNB....basi ni vyema kufungua huko...kuliko kutegemea bank zetu hizi local ambazo znaweza kukukatalia hata kufanya malipo nje!.......
Shukran mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku nyingine usijaribu kuwatumia hao NBC. Mimi huu mwaka wa tano sasa sijawahigi pata activation pin yangu ya paypal. Ilinibidi mpaka nisajili bank nyingine nikachukua cash card ndo ninayoitumia mpaka sasa katika online transactions.

Wapo hovyo sana katika internet banking
Poa poa mkuu.
 
wadau vipi?..nimekaa nikajiuliza, hivi ukifanya analysis yako ukapata opportunity ya uhakika inakuwaje ukiamua kupiga na lotsize kubwa?..

ukiwa na pair ukaifanyia kazi kisha analysis yako ikaendana na mambo mengine ya msingi kama vile news updates,indicators na mengineyo,yani kifupi kuna uhakika 99% kwamba mambo yataenda kama ulivyotegemea,inakaaje ukiamua kupiga lotsize kubwa?..naelewa umuhimu wa risk management ila hapa ifahamike kwamba aspects zote zinafavor position yako hivyo ukaamua kufungua position kwa volume kubwa..cheki hii screenshot hapa


acbce9e9ddf96ec6c36f4cb2fec643f0.jpg


utagundua ni pips kidogo ila impact katika profit ni kubwa mno....

kilicho nipelekea kutaka kujaribu hili ni baada ya kugundua traders wengi ambao ni professionals hawatumii 0.01 au 0.1..utapata wanapiga 2.00,3.00 n.k..yupo huyu msauzia Andile nimeona anapiga na 5.00.

ila sijapendekeza kwa namna yoyote ufwate hili.ni maoni tu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom