Linapokuja swala la usaliti wadada wengi huweza kuwasamehe wenzi wao wa kiume kiurahisi tu huku wakiamini kwamba na wao kuna uwezekano mkubwa wa wa kusamehewa na wapenzi wao wa kiume endapo swala hilo litakapotokea, lakini mshangao mkubwa huja pale mambo yanapokuwa tofauti na yalivyokusudiwa...
Jamani habari za muda huu, nimeona ni wahusishe katika hili hasa baada ya humu jukwaani kuwepo na stori mbili tatu za wadada wakilalamika kuhusu wapenzi wao wa kiume kubadilika hasa kipindi cha mwanzo cha mahusiano.
Sio wote, lakini wanaume wengi haswa vijana huwa wapo hivi kulingana na hizi...
House for Rent Mbagala, Dar Es Salaam, Tanzania
Ipo Mitaa ya Kokoto karibu na shule ya St. Mary,s barabara ya kilwa Road
Kodi ni Laki 3 miezi 6 mpaka 12
Nyumba pia inauzwa Millioni 90 kwanaehitaji Nyumba ya Ukweli
Sifa zake
-Ina fence na ukubwa wa kupaki gari 4
-Ina vyumba vi 4 na...
Ni nyumba ambayo bado haijaesha kujengwa, imefkia katika hatua ya Linta
Inauzwa
Bei: 22 milioni (Maongezi)
Mahali: Chamazi kwa Mkongo
Ukubwa wa kiwanja ni Mita 206
Kiwanja kilichotumika kwa ujenzi ni mita 151
Ukubwa wa Parking: ni gari ndogo 2
Kwa mawasiliano na maelezo zaidi ni PM
Toyota Fun cargo for Sell
Price 7.5 Million but negotiable ( Bei mazungumzo )
Car-Automatic
Engine VVTI 1299
Manf. 1999
For more info. Call or Whatsapp
0712800858 / 0767820878
Price 7.5
Car-Automatic
Engine VVTI-1299
Manf. Year 1999
Mahali ilipo Arusha
Ina miezi 6 tangu imeingia TZ na imesafiri safari moja tu ya kuitoa Dar kwenda Arusha
Mawsiliano ni PM au piga 0767820878
Ahsante na munisamehe kwa kuchelewesha picha umeme ulitatika wakat najaribu kuposti hili...
Watu wengi wangetamani kuona hawazeeki, wanabakia na nguvu za ujana na kwa sababu hiyo wanasayansi wanatafiti kupata ufumbuzi.
Vyuo vikuu vitatu maarufu duniani vimekuja na matokeo ya utafiti ambao unaweza kukata kiu ya wengi ambao hawatamani kamwe kuzeeka...
Watu wengi wangetamani kuona hawazeeki, wanabakia na nguvu za ujana na kwa sababu hiyo wanasayansi wanatafiti kupata ufumbuzi.
Vyuo vikuu vitatu maarufu duniani vimekuja na matokeo ya utafiti ambao unaweza kukata kiu ya wengi ambao hawatamani kamwe kuzeeka...
Utangulizi
Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii inapenda kutoa taarifa kwa Umma juu ya mwenendo wa ugonjwa wa homa ya dengue yaani dengue fever hapa nchini.Ugonjwa huu umethibitishwa baada ya sampuli zilizochukuliwa kutoka kwa watu waliohisiwa kuwa na ugonjwa huu jijini Dar es Salaam...
Jamaani anae fahamu na anijuze wapi wanapatikana hao jamaa wanaohusika na usajili wa kazi ya mtu na kutoa hatimiliki yaani
( Copyright ) au hata kusajili Brand, logo ya kampuni na vyenginevyo pamoja na gharama zake
AHSANTENI
-Romeo & Julieth ndio brand ya hizi Cigar ambayo ilianzishwa miaka 130 iliopita yani 1875 huko Dominican Republic, kabla ya makao makuu yake kuhamishiwa nchini CUBA
-Ni sigara ambayo inatengenezwa na tumbaku ambayo imesindikwa vizuri ambayo hulimwa katika nchi za Carribean kama vile Haiti na...
Wakati wa safari
yake kuelekea Lagos Nigeria kwenye mkutano wa viongozi wa mataifa huru ya Afrika kupitia Sudan, Msuko suko ulianza pale
abiria
walipopanga
foleni
kupita kwa watu wa
forodha. Mandela hakuwa
na passport.
Mfukoni alibeba
nyaraka
alizoandaliwa
na Serikali ya Tanganyika...
Utafiti uliofanywa na taasisi moja nchini Kenya inayojihusisha na maswala ya kijamii nchini humo imebaini kuwa wawanawake wanafonya biashara ya kuuza miili yao maarufu kama (wadada poa) hutumia dawa za kujikinga na maambukizi ya Ukimwi maarfu PEPS ambazo ni maalumu kwa wahanga wa matukio ya...
Big result(kwa maana ya matokeo makubwa) ama taifa linataka Elimu bora kwa maana ya kwamba ya mwanafunzi anaepata matokeo makubwa (big result ya kwenye cheti) anaupeo wa kiasi gani wa kufanya jambo katika hali ya kawaida ya maisha??..
Kama tunataka taifa la watu ambao watakuwa na vyeti...
tunamaanisha anasimamia show muhimu kama vile
Kumtoa out mwenzake, hela za lace wig, mavazi, vizawadi vya hapa na pale, perfume na mambo kibwena
-Sasa wew mwenzetu kujali unadhani ni kujiunga na extreme ya kutwa nzima na kuanza kumimina mesej kuanzia asubuhi mpaka usiku eti mara bebi...
ALAMA ZITAKUWA KAMA
IFUATAVYO
A ni 75 hadi 100; huu ni
ufaulu uliojipambanua
B+ ni 60 hadi 74; huu ni
ufaulu bora sana
B ni 50 hadi 59; huu ni
ufaulu mzuri sana
C ni 40 hadi 49; huu ni
ufaulu mzuri
D ni 30 hadi 39; huu ni
ufaulu hafifu
E ni 20 hadi 29; huu ni
ufaulu hafifu sana
F...
Hivi kuna uwezekano wa kuwepo urafiki wa kawaidi tu wakushibana tena wa muda mrefu kati ya Mwanamume na Mwanamke tofauti na wakimapenzi??, Au ndio wizi mtupu..
-Na kama upo, hivi unakuwaje??
-Unakuwa kama urafiki mwingine au vp??
-Na wewe ambae mwenza wako anakuambia yule ni rafki yangu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.