Daud omar
JF-Expert Member
- Apr 4, 2011
- 2,458
- 977
Wakati wa safari
yake kuelekea Lagos Nigeria kwenye mkutano wa viongozi wa mataifa huru ya Afrika kupitia Sudan, Msuko suko ulianza pale
abiria
walipopanga
foleni
kupita kwa watu wa
forodha. Mandela hakuwa
na passport.
Mfukoni alibeba
nyaraka
alizoandaliwa
na Serikali ya Tanganyika
kwa msaada wa
Nyerere.
Nyaraka hizo
zilikuwa ni
kama za kumtambulisha
Mandela tu.
Ziliandikwa; This is
Nelson
Mandela, a
citizen of
the Republic
of South Africa. He has
permission
to leave
Tanganyika
and return
here. ( Nelson Mandela, Long
Walk To
Freedom)" Nyaraka hii
iliandikwa
kiufundi
sana ili
kumlinda
Mandela. Tafsiri yake
ni kuwa, kama
Mandela
angepatwa na
matatizo
njiani, basi, inazitaka
mamlaka
nyingine
zifanye
taratibu za
kumrudisha Tanganyika, na
sio Afrika
Kusini
anakosakwa na
makaburu. Hata hivyo,
nyaraka inaacha
maswali kwa
afisa yeyote
wa uhamiaji, hata
kwa wakati huo. Mathalan,
kama Mandela
ni raia wa
Afrika Kusini
au Tanganyika??
yake kuelekea Lagos Nigeria kwenye mkutano wa viongozi wa mataifa huru ya Afrika kupitia Sudan, Msuko suko ulianza pale
abiria
walipopanga
foleni
kupita kwa watu wa
forodha. Mandela hakuwa
na passport.
Mfukoni alibeba
nyaraka
alizoandaliwa
na Serikali ya Tanganyika
kwa msaada wa
Nyerere.
Nyaraka hizo
zilikuwa ni
kama za kumtambulisha
Mandela tu.
Ziliandikwa; This is
Nelson
Mandela, a
citizen of
the Republic
of South Africa. He has
permission
to leave
Tanganyika
and return
here. ( Nelson Mandela, Long
Walk To
Freedom)" Nyaraka hii
iliandikwa
kiufundi
sana ili
kumlinda
Mandela. Tafsiri yake
ni kuwa, kama
Mandela
angepatwa na
matatizo
njiani, basi, inazitaka
mamlaka
nyingine
zifanye
taratibu za
kumrudisha Tanganyika, na
sio Afrika
Kusini
anakosakwa na
makaburu. Hata hivyo,
nyaraka inaacha
maswali kwa
afisa yeyote
wa uhamiaji, hata
kwa wakati huo. Mathalan,
kama Mandela
ni raia wa
Afrika Kusini
au Tanganyika??