Ni mwaka wa tatu sasa nipo kwenye biashara ila katika changamoto nilizopitia mojawapo ni kufanya biashara na watu wanaoitwa maaskari aisee baadhi waliwahi kunizingua
Mmoja nilimtumia mzigo mkoa kama mkopo akasema anamchukulia na rafiki yake siku ya kulipa ilipoklfika akamtupia mzigo tafiki yake...
Katika ajira zilizotangazwa juzi na TPA waliita watu wengi hadi ambao hawajasoma course maalu ya mambo ya Bandari ambayo inatolewa na chuo chao cha Bandari, na kwa bahati mbaya wakaita kwenye interview watu ambao hawakusoma mambo ya Bandari kwenda kwenye interview, na kwa bahati mbaya zaidi...
Moda msiunganishe huu uzi.
Kwa kweli hawa watu nadhani wana nguvu ya ziada na nnaamini kuna vigogo wengi wanadeal na hii biashara maana ni kama Serikali inawabeba sana.
Fikiria akiba ya mafuta ni ya miezi miwili nyuma ila bei imepata matuta yamepandishwa hapo hapo ndani ya muda huo huo, mafuta...
Naskiliza hapa kazi Ya Diamond Platnumz Wonder naona kijana anajua sana ana mziki mzuri kwa kweli, sijui wanaosema hajui kuimba wao wanaimba nini
Mcheki hapo akiimba live
maana naona kijana kwa sasa ni Tajiri ana kila kitu ambacho hata sasa akisataafu mziki ataendeea kuishi maisha ya...
yaani nimejiunga na benki yao ila kuna vitu nimekuja kugundua kuwa hawa wana makato makali kuliko benki nyingine, kutoa pesa atm wana makato makubwa kuliko wengine, na nimekatwa 1500 wanasema hela ya saving yaani kumbe pesa zangu kuweka tu kuna pesa ya kuwalipa kunihifadhia
Bank kama DTB kwa...
Pesa mnayotumia Asas kujibrand kwenye mitandao na kuwapa wasanii ni heri muitumie kuwekeza kwenye kuboresha maziwa yenu yawe na viwango vya juu kama Brand yenu mnavyoitangaza, ubora wa bidhaa zenu utachangia pia kuwatangaza
kusema ukweli maziwa yenu hasa yale ya mtindi ni mepesi na hayana mvuto...
Moja ya sifa kuu ya Kiongozi ni kupambana hali za wananchi wako waliokuchagua ziwe na unafuu na sio kuzidisha makali, Wakati Mhe Mwinyi akikemea watu kupandisha bei za vitu hovyo Zanzibar, Rais Samia yeye anakoleza moto kwenye kuni kuwashinikiza wafanya Biashara wapandishe vitu bei ule haukuwa...
Jamani mmeamkaje
Shoga yangu mmoja hakuwa hewani kwa siku saba hivi tukashtuka ikabidi twende kwao kumuulizia kama kwema maana si kawaida kupotea hewani vile, kufika tukamkuta mzima ila tukamuuliza kulikoni hapatikani hewani mda mrefu hivyo akadai kuwa wameingia ugomvi mkubwa na bwanaake baada...
Eeh, Kuna anayebisha?
Baada ya kuaona matukio mengi ya mauwaji, wanawake tunachinjwa kila siku nimeona niuseme ukweli huu..
wanawake wengi tunaingia kwenye mapenzi na tusiowapenda sababu ya kutafuta maisha mazuri tu na ndio maana ndoa tunaichoka mapema na mwanaume ukishamwingia moyoni hakuachi...
Kuna biashara nataka kufanya naombeni mnielekeze njia za malipo kwa watu walio nje katika nchi nilizotaja, nawezaje pokea malipo kutoka kwao, njia zipi nitumie, kuuliza si ujinga.
Tarehe 23 Mwezi wa nne ndio tatizo lilianza nikiwa kazini, yalianza kama mafua then jioni ikaja homa kali sana, ikabidi asubuhi niende kituo cha afya kupima wakaniambia nna Malaria na UTI pia so nikapewa mseto na Azuma nitumie, baada ya siku tatu sikuona nafuu yoyote mafua ndio yalikata tu ila...
Ifike mahali Serikali yetu iwe kitu kimoja linapokuja suala la msimamo halisi wa Nchi. Nchi nzima iegemee kwenye ukweli ili kama haya mateso tunayapata tujue tunayapata kwa usalama wetu au kwa ajili ya siasa
Nimetoka Ubungo leo kuelekea mbagala hadi sasa Serikali haijaruhusu magari kusimamisha...
Nimeona mda wa wiki kadhaa kumetokea sintofaham baada ya Kenya na Tanzania kuanza kutunishiana misuli huko mipakani kutokana na janga la korona.
Sasa solution pekee ni hii [emoji116]
Eneo la mpakani kuwe na kituo kimoja ambacho kitakuwa na wataalam wa nchi mbili ambao watachukua vipimo vya...
Nimeicopy kwa Hshem Humud from facebook
Ukioa owa for your own Risk
Wengi tunakimbia kuwaoa hawa sababu huwa na mawasiliano na wanaume waliowazalisha, ni ngumu kumtenganisha Single Mother na Mwanaume aliyemzalisha na mara nyingi kujikumbushia huwa hawaoni tabu
Ukiuliza unaambiwa mtoto tu ndio...
Leo nimenunua sukari kilo moja 4000, wakati siku kumi zilizopita nilinunua 2600, wauzaji wanasema sukari ya nje imehadimika na ya ndani ni chache nayo ni adimu, maana yake nchi zilizokuwa zinatupiga tafu kutuuzia sukari kubalance soko la ndani zipo kwenye lockdown au zimeathirika vibaya na...
Tokea awamu hii ianze ameweka mbele sana na kuyapa thamani maendeleo ya vitu kuliko watu wake, Rejea matetemeko na majanga ya maafuriko hajawahi kukanyaga hata mara moja sana sana ni kuwapa waathirika maneno ya vijembe na kuwaambia hamna chakula cha bure.
Rejea Daraja lilipokatika juzi hapa...
Mimi nafanya kazi kwenye kampuni kubwa tu, Kuanzia wiki iliyopita kumekuwa na vikao vya wakurugenzi na mmiliki wa kampuni hali imekuwa mbaya, raw materials zote za uzalishaji wa material ya kutengeneza matrailer mali nyingine hamna, nchi zilizokuwa zinategemewa kuingiza material kutoka Ulaya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.