mtotomtamuu
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 602
- 1,454
yaani nimejiunga na benki yao ila kuna vitu nimekuja kugundua kuwa hawa wana makato makali kuliko benki nyingine, kutoa pesa atm wana makato makubwa kuliko wengine, na nimekatwa 1500 wanasema hela ya saving yaani kumbe pesa zangu kuweka tu kuna pesa ya kuwalipa kunihifadhia
Bank kama DTB kwa kweli naona makato ya ajabu ajabu hamna , DTB niliwahi acha pesa mwaka 1 bila kutoa wakanipa na zawadi kama ya sh 34,000 kama faida ila hawa NMB Ukiweka hela ndio kwanza wanaitafuna
Bank kama DTB kwa kweli naona makato ya ajabu ajabu hamna , DTB niliwahi acha pesa mwaka 1 bila kutoa wakanipa na zawadi kama ya sh 34,000 kama faida ila hawa NMB Ukiweka hela ndio kwanza wanaitafuna