Habari,
Kwa sie tuliotokea familia duni, baada ya kupata ajira ya kuniingizia kipato kidogo natakiwa nijenge kwanza kwetu au kwangu?
Maon pliz!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kichwa cha habari kimejitosheleza,, nishajaribu mara kadhaa hasa kwa wanawake wanaopenda ngono kulko chakula,, sikuwafukuza kwa shoo kali bali niliwaongezea petrol kwenye mioto yao
Matokeo yake walizidi kunitaka mda wote tofaut na nilivofkiria
Karibuni tushee experience zenu wadau
Stress ni pale unapokomaa kumridhisha demu wako uliemtoa bikra kwa nguvu zote, ujuzi na ufundi wa ziada, kisha anakutizama tu wala huskii akitoa miguno ya raha, vilio vya kuashiria kuwa dushe limepenya kunako na kazi unayofanya anaiskilizia hadi visiginoni
Ametulia tu huku we unahangaika mpaka...
Habari ndugu
Tunaomba msamaha kama tulimkosea huyu mzee, tumenyooka hata mia tano hatuiti tena jero,,
tumejaa madeni kila kona,, kipato kimepungua na hatujui lini tumaini litarudi
Unatwambia tuzae tu elimu ni bure ila matibabu ni hela baba, nguo na chakula ni vya kununua
Umeme na maji...
Habari za mda huu!
Naombeni ufafanuzi wa kitaalamu, mtu anapokonda zile nyama na uzito aliokuwa nao awali huwa vinakwenda wapi??
Kwa maana mtu akikonda akiamka kitandani hakuti nyama wala fupa lililobaki kitandani, wala akioga haoni nyama wala chochote katika mwili wake kikiondoka na maji...
Habari wadau
Hawa viumbe kwa muonekano wako smart sana na wanavutia,, ila ndani ni wachafu hizo papuchi zao zinanuka
Sijui hawaogi na kujikosha vizuri hizo papa? Unakuta bonge la sistaduu shepu hilo, tako la haja ila papuchi imevunda ina harufu kali! nmemuacha mmoja wiki iliyoisha hakuamini...
Habari za mda huu wadau!
Baada ya salamu niende direct kwenye mada,, Kumekua na changamoto kubwa mahospitalini siku za hivi karibuni haswa katika kipimo cha malaria na upatkanaji wa ugonjwa wenyewe
Nikiwa kama mhanga wa hili jambo niliamua kufanya utafiti wa kwanini malaria imekua ishu...
Ni uwezo mdogo wa kukata vipande stahiki vya kuonesha, ni ushamba au ni nini?
Highlight ya mpira wa miguu u-tube haiwezi kuwa dk 30, 20 au hata 15, labda ka ni ya mieleka
Hivi unakaa nusu saa unatizama muhtasari wa mechi ya ligi ya bongo kwa lipi? mnatupotezea mda
Kama mmeshindwa muache tu...
Hii ni tabia iliyozoeleka sasa hivi japo sidhani kama iko sawa,, mwanamke unamuomba namba anakupa in good faith tena bila kuvutana, sijui anakua anafikiri utakuja umpigie kumwambia maswala ya kazi, kufanya biashara pamoja au kwenda kumfanyia shoping wit no reason,,, mwishoni unakuja kumfungukia...
Kupitia ziara ya rais magufuli kanda ya ziwa, nimebaini kuwa rais anakubalika kwa wananchi kuliko chama chake kinavokubalika
Watu wameweka itikadi zao kando na wanajitokeza kwa wingi kuja kumsikiliza na huoni wala kuskia mtu yoyote akimpinga katika yale anayohutubia taifa
Watazomewa wenyeviti...
Habari wadau! naombeni ushauri juu ya kilevi kisichokua na madhara kwa watoto chini ya mwaka mmoja!
Niko na watoto twins wamezaliwa january ila ni wakorofi kweli kweli, hawapendi kulala, hawapendi kukaa kimya mda mwingi ni kulia tu bil sababu
Nalala sa 6 usiku kila siku na kuamka ni sa11...
Hawa jamaa wanazidi kuushangaza ulimwengu na kutuangusha wanaume
Hata neno robo tatu hawawezi kusema wanaita nusu na robo
Dume zima linaenda dukani kununua unga linasema"naomba unga nusu na robo"
What a shame u guys??
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui ndo mambo ya kileo, sijui ni over-confidence, sijui ndo mmetuzoea sana wanaume
Sijui ndo zama zimebadilika na haya ndo mabadliko yenyewe
Sijui wazazi wenu nao ni .com na hayo ndo malezi wanayowapa
Unampigia dem wako simu hapokei, anakaa mda anaotaka na akija kuona missed call anakutext...
Habari za wakati huu! naombeni kujulishwa namna ya kuapply chuo kupitia online application
Na msaada wa facult ya kusoma
Nmesoma HGL pass zangu ni nzuri
Tangu sa 6 niko hospital mpaka sasa na vichanga vya miezi 4, daktari hana habari hata na mimi despite ya kumchimba mkwara
Yuko bize na kutibu wazee na watu umri wa kati
Natamani kummeza kila mtumishi wa hospital nnaemuona kwa sumu nilizonazo
Kila kitu hii nchi ni ungese ungese tu
Nianze taarifa hii nikiwa na matumaini kuwa mko poa kiafya ya mwili na akili
Naitwa ambrose gilbert kikono, naishi musoma. Yapata mwezi sasa tunakunywa na kutumia maji machafu yatokayo bombani. Tumeshashindwa kujua sababu haswa ni nini!,,, awali tulijua labda matank ya kuhifadhia maji yamejaa...
Hili nimekuja kuligundua baada ya kuwapata wanangu mapacha, hakuna siku nalala chini ya sa6 usiku, hao wezi au vibaka wanapitia wapi nauku mbaba niko macho mpaka mida mibovu
Naandika uzi huu hivi sasa ni sa 03:07am sijathubutu kusinzia hata kidogo niko nacheza na wanangu wakilia mama...
Rejea heading, mimi nimejaaliwa mapacha wawili wa kiume na kike, na leo wanatimiza miez mitatu kamili kwa maana kwamba walizaliwa mwaka mpya
Baada ya kuwapata nimekuwa nikichunguza mambo mbalimbali yahusuyo watoto wachanga, nimebaini mpka sasa pacha wa kike ndo anaona na kutambua kilichopo...
Habari!…
wazungu husema love is blind na huota popote hata majini,, nimetokea kumpenda huyu dada anaeigiza vichekesho vya mizengwe kiukweli kabisa
yani kila kunapokucha anazidi kupendeza na kishundu nacho kinakua tu!…
Kiukweli she makes me say halleluyah, nisaidieni namna ya kumpata she'z...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.