Mugare
JF-Expert Member
- Oct 24, 2016
- 665
- 842
Kupitia ziara ya rais magufuli kanda ya ziwa, nimebaini kuwa rais anakubalika kwa wananchi kuliko chama chake kinavokubalika
Watu wameweka itikadi zao kando na wanajitokeza kwa wingi kuja kumsikiliza na huoni wala kuskia mtu yoyote akimpinga katika yale anayohutubia taifa
Watazomewa wenyeviti wa mkoa wa ccm ila rais magufuli huwezi kuskia akizomewa
Tarime, serengeti ni ngome za upinzani chini ya mwavuli wa chadema, na kabla ya ujio wa rais yalisemwa mengi sana huku watu wakiwa na hofu kuwa kutatokea kitu katika ziara hio,,, lakini lah! atmosphere was very cool ever
Kwa ishara hizo chache, nimebaini kuwa rais anakubalika kuliko chama chake
Watu wameweka itikadi zao kando na wanajitokeza kwa wingi kuja kumsikiliza na huoni wala kuskia mtu yoyote akimpinga katika yale anayohutubia taifa
Watazomewa wenyeviti wa mkoa wa ccm ila rais magufuli huwezi kuskia akizomewa
Tarime, serengeti ni ngome za upinzani chini ya mwavuli wa chadema, na kabla ya ujio wa rais yalisemwa mengi sana huku watu wakiwa na hofu kuwa kutatokea kitu katika ziara hio,,, lakini lah! atmosphere was very cool ever
Kwa ishara hizo chache, nimebaini kuwa rais anakubalika kuliko chama chake