Serikali na ugonjwa wa malaria

Serikali na ugonjwa wa malaria

Mugare

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2016
Posts
678
Reaction score
853
Habari za mda huu wadau!

Baada ya salamu niende direct kwenye mada,, Kumekua na changamoto kubwa mahospitalini siku za hivi karibuni haswa katika kipimo cha malaria na upatkanaji wa ugonjwa wenyewe

Nikiwa kama mhanga wa hili jambo niliamua kufanya utafiti wa kwanini malaria imekua ishu kupatikana

Nilichukua jukumu la kupima malaria mara tatu katika hospitali tofauti ila majibu yalikuja NEGATIVE katika hospital zote

Nilimpima mwanangu pia mara mbili kwa nyakati tofauti ila bado hakupatikana na malaria ila dalili zote zilionesha ana malaria. Hapo ndipo nilipoanza kutilia shaka kipimo cha malaria kwani mwanzoni nilkua nalia na vituo vya afya vilivoko mkoani kwetu

Mara ya mwisho kupima malaria mi mwenyewe ilkua wiki iloisha na bado sikupatwa nayo,, nikaamua kumhoji maswali daktari aloniattend

Nilimuuliza kwanini malaria imekua tatizo kupatkana?, yule dokta aliniangalia kwa aibu kisha nae akaniuliza we unahisi kwanini haipatkani, je imeisha??

Nikamjibu sidhani coz hakuna kilchobadilika katika mazingira tunayoishi

Ndipo alipotoa povu lake kwenye vipimo vya MRDT kwa kusema serikali imelazimisha kipimo cha MRDT kitumike badala ya microscope, MRDT haitoi majibu sahihi ya malaria na haina uwezo wa kuona malaria kidogo mpaka malaria nyingi, na serikali inafanya hivo ili kuhadaa wafadhili watoa vyandarua kuwa malaria imepungua kama sio kuisha nchini ili misaada izidi kumiminika

Jamani! kwaiyo serikali ya wanyonge imeamua raia wake tufe ili kuwafurahisha mabwana wakubwa??

Kuna manufaa gani kwenye hio mrdt nauku haitoi matokeo chanya?? tuhurumieni wanyonge, nyie mkiugua mnakimbilia nje sie ni wa hapa hapa, tendeni haki na mseme ukweli mrdt ni sanaa
 
Habari za mda huu wadau!

Baada ya salamu niende direct kwenye mada,, Kumekua na changamoto kubwa mahospitalini siku za hivi karibuni haswa katika kipimo cha malaria na upatkanaji wa ugonjwa wenyewe

Nikiwa kama mhanga wa hili jambo niliamua kufanya utafiti wa kwanini malaria imekua ishu kupatikana

Nilichukua jukumu la kupima malaria mara tatu katika hospitali tofauti ila majibu yalikuja NEGATIVE katika hospital zote

Nilimpima mwanangu pia mara mbili kwa nyakati tofauti ila bado hakupatikana na malaria ila dalili zote zilionesha ana malaria. Hapo ndipo nilipoanza kutilia shaka kipimo cha malaria kwani mwanzoni nilkua nalia na vituo vya afya vilivoko mkoani kwetu

Mara ya mwisho kupima malaria mi mwenyewe ilkua wiki iloisha na bado sikupatwa nayo,, nikaamua kumhoji maswali daktari aloniattend

Nilimuuliza kwanini malaria imekua tatizo kupatkana?, yule dokta aliniangalia kwa aibu kisha nae akaniuliza we unahisi kwanini haipatkani, je imeisha??

Nikamjibu sidhani coz hakuna kilchobadilika katika mazingira tunayoishi

Ndipo alipotoa povu lake kwenye vipimo vya MRDT kwa kusema serikali imelazimisha kipimo cha MRDT kitumike badala ya microscope, MRDT haitoi majibu sahihi ya malaria na haina uwezo wa kuona malaria kidogo mpaka malaria nyingi, na serikali inafanya hivo ili kuhadaa wafadhili watoa vyandarua kuwa malaria imepungua kama sio kuisha nchini ili misaada izidi kumiminika

Jamani! kwaiyo serikali ya wanyonge imeamua raia wake tufe ili kuwafurahisha mabwana wakubwa??

Kuna manufaa gani kwenye hio mrdt nauku haitoi matokeo chanya?? tuhurumieni wanyonge, nyie mkiugua mnakimbilia nje sie ni wa hapa hapa, tendeni haki na mseme ukweli mrdt ni sanaa
Wewe na huyo unayemwita daktari wako acheni siasa kwenye sayansi. The sensitivity and specificity of the Malaria Rapid Diagnostic test for malaria parasite infection ia 99%, far better than the microscpic examination of blood slides done by most of our laboratory personel in most health care institutions. They easily confuse platelets for MPs. Moreover the mere presence of a few MPs in the blood does not necessarily imply malaria disease ( infection). It is the malaria parasite (antigen) body immunological defense response that signifies malaria disease. MRDT (an elisa immune assey test) is a test for this immunological body defense response for malaria disease. When negative it means that the fever (which is also produced by the body immunological defense response) is not due to malaria but due to other microorganisms such as bacteria and viruses. The common causes of fever are viruses and not malaria. Zanzibar eliminated malaria many years ago. Tanzania mainland is also near to eliminate this disease. The mosquitoes will continue to exist but the malaria parasites will not be present. MRDT is the number one WHO recommended malaria diagnostic and community survellance test.
 
ukiangalia gharama ya malaria kama taifa i.e afya za watu,vifaa tiba nk..unajiuliza kwa nini hatuelekezi nguvu huko,bil 80 za kurudia uchaguzi na posho za vikao vya bunge vingewezesha kupulizia dawa mazalia ya mbu
 
ukiangalia gharama ya malaria kama taifa i.e afya za watu,vifaa tiba nk..unajiuliza kwa nini hatuelekezi nguvu huko,bil 80 za kurudia uchaguzi na posho za vikao vya bunge vingewezesha kupulizia dawa mazalia ya mbu
Mbu huwezi kuwamaliza katika dunia hii. Hata huko ulaya wapo. Unaoweza kuwamaliza duniani hapa ni hao parasites wa malaria, virusi vya ukimwi nk. Tulishafanikiwa virusi vya surua, virusi vya polio, ndui, kifaduro, ukoma, kaswende na kadhalika. Tuko karibu kufanikiwa kutokomeza virusi vya ukimwi na malaria. Tuko kwenye right track! Hata Ebola siku si nyingi itakuwa historia ila nyani wataendelea kuwapo na mbu wataendelea kuwapo.

Asilimia 90% ya gharama za chaguzi ndogo zinagharimiwa na vyama venyewe vya siasa vinavyoshindana kupata viti hivo vya udiwani na ubunge. Chadema gharama imewashinda, hivyo wamejitoa na hivyo sasa viti hivyo vitachukuliwa na ccm bila gharama yo yote!
 
Mbu huwezi kuwamaliza katika dunia hii. Hata huko ulaya wapo. Unaoweza kuwamaliza duniani hapa ni hao parasites wa malaria, virusi vya ukimwi nk. Tulishafanikiwa virusi vya surua, virusi vya polio, ndui, kifaduro, ukoma, kaswende na kadhalika. Tuko karibu kufanikiwa kutokomeza virusi vya ukimwi na malaria. Tuko kwenye right track! Hata Ebola siku si nyingi itakuwa historia ila nyani wataendelea kuwapo na mbu wataendelea kuwapo.
malaria yana umri gani ndani tanganyika huru!?..gharama yake halisi ni ipi?..tuendelee kungoja chanjo huku tukiangamia au tupulize dawa!?..kwa nini tulijenga kiwanda cha dawa ya kudhibiti mbu pale kibaha!?
 
Wewe na huyo unayemwita daktari wako acheni siasa kwenye sayansi. The sensitivity and specificity of the Malaria Rapid Diagnostic test for malaria parasite infection ia 99%, far better than the microscpic examination of blood slides done by most of our laboratory personel in most health care institutions. They easily confuse platelets for MPs. Moreover the mere presence of a few MPs in the blood does not necessarily imply malaria disease ( infection). It is the malaria parasite (antigen) body immunological defense response that signifies malaria disease. MRDT (an elisa immune assey test) is a test for this immunological body defense response for malaria disease. When negative it means that the fever (which is also produced by the body immunological defense response) is not due to malaria but due to other microorganisms such as bacteria and viruses. The common causes of fever are viruses and not malaria. Zanzibar eliminated malaria many years ago. Tanzania mainland is also near to eliminate this disease. The mosquitoes will continue to exist but the malaria parasites will not be present. MRDT is the number one WHO recommended malaria diagnostic and community survellance test.
Jambo hili lipo serious sio siasa. Mimi nina ushahidi kupitia mwanangu wiki hii nzima alikuwa amelazwa madaktari wakisingizia ni ugonjwa wa Pneumonia. Ni kweli alikiwa na Pneumonia lakini + Malaria. Jana katoka hospital nikitumaini amepona, usiku homa ilikuwa kali sana ilibidi tumpe Panadol na juisi kushusha homa. Leo asubuhi tumempima kwa Medical lab za mtaani kwa kutumia Microscopic blood slide alikutwa na Malaria +5. Lakini hospitali walimpima kwa kutumia MRDT. Hapo kwenye Medical lab pia walilalamikia MRDT kuwa hazipimi Malaria ndogo bali Malaria kubwa tu. Tumempata dawa mchana sasa dogo yupo fit. Hivyo ndugu alichoandika wenzetu sio siasa ni kitu halisi na baadhi ya Madaktari wanafahamu kasoro za MRDT. Sio tu MRDT, je umesikia vipimo feki vya HIV vilivyotolewa na USA?Baadhi ya clinic wanalazimisha kupima watoto HIV kwa nini?
 
Yaani umekutana na daktari kilaza...kwanza mrdt is better and easily affordable na ukizingatia wataalam wengi huwa wanadanganya wakifanya vipimo vya microscope.Serikali haijawahi toa hilo katazo tena sasa hivi wanahimiza matumizi ya microscope sambamba na mrdt.imefundisha na inaendelea kufundisha wataalam wengi juu ya malaria microscope na imetengeneza tools za supervision za kuwakagua.pia inawatumia mpaka slides kwaajili ya qualitiy assuarance
 
Habari za mda huu wadau!

Baada ya salamu niende direct kwenye mada,, Kumekua na changamoto kubwa mahospitalini siku za hivi karibuni haswa katika kipimo cha malaria na upatkanaji wa ugonjwa wenyewe

Nikiwa kama mhanga wa hili jambo niliamua kufanya utafiti wa kwanini malaria imekua ishu kupatikana

Nilichukua jukumu la kupima malaria mara tatu katika hospitali tofauti ila majibu yalikuja NEGATIVE katika hospital zote

Nilimpima mwanangu pia mara mbili kwa nyakati tofauti ila bado hakupatikana na malaria ila dalili zote zilionesha ana malaria. Hapo ndipo nilipoanza kutilia shaka kipimo cha malaria kwani mwanzoni nilkua nalia na vituo vya afya vilivoko mkoani kwetu

Mara ya mwisho kupima malaria mi mwenyewe ilkua wiki iloisha na bado sikupatwa nayo,, nikaamua kumhoji maswali daktari aloniattend

Nilimuuliza kwanini malaria imekua tatizo kupatkana?, yule dokta aliniangalia kwa aibu kisha nae akaniuliza we unahisi kwanini haipatkani, je imeisha??

Nikamjibu sidhani coz hakuna kilchobadilika katika mazingira tunayoishi

Ndipo alipotoa povu lake kwenye vipimo vya MRDT kwa kusema serikali imelazimisha kipimo cha MRDT kitumike badala ya microscope, MRDT haitoi majibu sahihi ya malaria na haina uwezo wa kuona malaria kidogo mpaka malaria nyingi, na serikali inafanya hivo ili kuhadaa wafadhili watoa vyandarua kuwa malaria imepungua kama sio kuisha nchini ili misaada izidi kumiminika

Jamani! kwaiyo serikali ya wanyonge imeamua raia wake tufe ili kuwafurahisha mabwana wakubwa??

Kuna manufaa gani kwenye hio mrdt nauku haitoi matokeo chanya?? tuhurumieni wanyonge, nyie mkiugua mnakimbilia nje sie ni wa hapa hapa, tendeni haki na mseme ukweli mrdt ni sanaa
Kwahiyo huyo doctor ndio msemaji wa Serikali...?
 
Yaani umekutana na daktari kilaza...kwanza mrdt is better and easily affordable na ukizingatia wataalam wengi huwa wanadanganya wakifanya vipimo vya microscope.Serikali haijawahi toa hilo katazo tena sasa hivi wanahimiza matumizi ya microscope sambamba na mrdt.imefundisha na inaendelea kufundisha wataalam wengi juu ya malaria microscope na imetengeneza tools za supervision za kuwakagua.pia inawatumia mpaka slides kwaajili ya qualitiy assuarance
Haya vipi kuhusu Drip za Uchungu ambazo ilizokuwa na kasoro? Ambazo akinamama wengi waliozitumia mwaka 2016 - 2017 wariathirika mpaka kufikia kuoshwa mfuko ya uzazi.
 
Ni kweli MRDT hazitoi majibu sahihi kwa asilimia kubwa ila MRDT ikisoma -ve angalia kwenye kipimo kingine ila pale itakaposoma +ve jua ni kweli kabisa malaria unayo, japo kuwa mara nyingi kipimo hiki kinatia shaka unaweza ukapima MRDT box zima usipate positive hata moja? Lazima ilete wasiwasi
 
Yaani umekutana na daktari kilaza...kwanza mrdt is better and easily affordable na ukizingatia wataalam wengi huwa wanadanganya wakifanya vipimo vya microscope.Serikali haijawahi toa hilo katazo tena sasa hivi wanahimiza matumizi ya microscope sambamba na mrdt.imefundisha na inaendelea kufundisha wataalam wengi juu ya malaria microscope na imetengeneza tools za supervision za kuwakagua.pia inawatumia mpaka slides kwaajili ya qualitiy assuarance
Uko mbali sana na uhalisia, utakua unaishi zama za ujima

Ukibainika na serikali unatumia microscope utajuta kuzaliwa tz

Sa we hizo sera za kutumia microscope na mrdt kwa pamoja sijui umetoa wapi
 
Ni kweli MRDT hazitoi majibu sahihi kwa asilimia kubwa ila MRDT ikisoma -ve angalia kwenye kipimo kingine ila pale itakaposoma +ve jua ni kweli kabisa malaria unayo, japo kuwa mara nyingi kipimo hiki kinatia shaka unaweza ukapima MRDT box zima usipate positive hata moja? Lazima ilete wasiwasi
Kati ya watu 50 wanaopimwa malaria na mrdt ni mmoja tu ndo anaweza kutwa nayo, na hapo itakua ni malaria nyingi ambayo huwezi kutembea nayo

Kipimo hiki ni sanaa
 
Jambo hili lipo serious sio siasa. Mimi nina ushahidi kupitia mwanangu wiki hii nzima alikuwa amelazwa madaktari wakisingizia ni ugonjwa wa Pneumonia. Ni kweli alikiwa na Pneumonia lakini + Malaria. Jana katoka hospital nikitumaini amepona, usiku homa ilikuwa kali sana ilibidi tumpe Panadol na juisi kushusha homa. Leo asubuhi tumempima kwa Medical lab za mtaani kwa kutumia Microscopic blood slide alikutwa na Malaria +5. Lakini hospitali walimpima kwa kutumia MRDT. Hapo kwenye Medical lab pia walilalamikia MRDT kuwa hazipimi Malaria ndogo bali Malaria kubwa tu. Tumempata dawa mchana sasa dogo yupo fit. Hivyo ndugu alichoandika wenzetu sio siasa ni kitu halisi na baadhi ya Madaktari wanafahamu kasoro za MRDT. Sio tu MRDT, je umesikia vipimo feki vya HIV vilivyotolewa na USA?Baadhi ya clinic wanalazimisha kupima watoto HIV kwa nini?
Mkuu lab za kitaa ndo zinatoa matokeo chanya ya malaria saiv, na ni kwa sababu bado zinatumia microscope

Hospitalini ni mrdt tu! Tena ni lazima

Sa hawa wataalam uchwara waliokaririshwa na kushurutishwa kutumia mrdt sijui wanatueleza nini hapa
 
Wewe na huyo unayemwita daktari wako acheni siasa kwenye sayansi. The sensitivity and specificity of the Malaria Rapid Diagnostic test for malaria parasite infection ia 99%, far better than the microscpic examination of blood slides done by most of our laboratory personel in most health care institutions. They easily confuse platelets for MPs. Moreover the mere presence of a few MPs in the blood does not necessarily imply malaria disease ( infection). It is the malaria parasite (antigen) body immunological defense response that signifies malaria disease. MRDT (an elisa immune assey test) is a test for this immunological body defense response for malaria disease. When negative it means that the fever (which is also produced by the body immunological defense response) is not due to malaria but due to other microorganisms such as bacteria and viruses. The common causes of fever are viruses and not malaria. Zanzibar eliminated malaria many years ago. Tanzania mainland is also near to eliminate this disease. The mosquitoes will continue to exist but the malaria parasites will not be present. MRDT is the number one WHO recommended malaria diagnostic and community survellance test.
Nikusaidie pamoja na kumwaga maneno mengi hii Rapid test bado sana kwa microscope kama itafanyika vizuri epuka kuchotwa akili.
Mtoa mada ana hoja nzuri take it or leave it your choice.......
 
Sio kila homa ni malaria...umejaribu kupima na magonjwa mengine mkuu?
 
Habari za mda huu wadau!

Baada ya salamu niende direct kwenye mada,, Kumekua na changamoto kubwa mahospitalini siku za hivi karibuni haswa katika kipimo cha malaria na upatkanaji wa ugonjwa wenyewe

Nikiwa kama mhanga wa hili jambo niliamua kufanya utafiti wa kwanini malaria imekua ishu kupatikana

Nilichukua jukumu la kupima malaria mara tatu katika hospitali tofauti ila majibu yalikuja NEGATIVE katika hospital zote

Nilimpima mwanangu pia mara mbili kwa nyakati tofauti ila bado hakupatikana na malaria ila dalili zote zilionesha ana malaria. Hapo ndipo nilipoanza kutilia shaka kipimo cha malaria kwani mwanzoni nilkua nalia na vituo vya afya vilivoko mkoani kwetu

Mara ya mwisho kupima malaria mi mwenyewe ilkua wiki iloisha na bado sikupatwa nayo,, nikaamua kumhoji maswali daktari aloniattend

Nilimuuliza kwanini malaria imekua tatizo kupatkana?, yule dokta aliniangalia kwa aibu kisha nae akaniuliza we unahisi kwanini haipatkani, je imeisha??

Nikamjibu sidhani coz hakuna kilchobadilika katika mazingira tunayoishi

Ndipo alipotoa povu lake kwenye vipimo vya MRDT kwa kusema serikali imelazimisha kipimo cha MRDT kitumike badala ya microscope, MRDT haitoi majibu sahihi ya malaria na haina uwezo wa kuona malaria kidogo mpaka malaria nyingi, na serikali inafanya hivo ili kuhadaa wafadhili watoa vyandarua kuwa malaria imepungua kama sio kuisha nchini ili misaada izidi kumiminika

Jamani! kwaiyo serikali ya wanyonge imeamua raia wake tufe ili kuwafurahisha mabwana wakubwa??

Kuna manufaa gani kwenye hio mrdt nauku haitoi matokeo chanya?? tuhurumieni wanyonge, nyie mkiugua mnakimbilia nje sie ni wa hapa hapa, tendeni haki na mseme ukweli mrdt ni sanaa
Ungekuwa nje ya jamii Forum wewe na daktari wako mngekuwa na mashtaka ya kuongopea jamii na huyu daktari leseni ifutwe kabisa. Kwa nini ulazimishe malaria? Kwanini usilazimishe hiv kwamba ikija negative useme noo itakuwa positive. Kwa kifupi hakuna dalili ambazo ukiwa nazo tu kuwa hii ni malaria Positive
 
Yani wapo sana tena kama summer mbu kama bongo tuu na winter wote wanakufa najiuliza wapi sijui wanatokea hawa kenge
Mbu huwezi kuwamaliza katika dunia hii. Hata huko ulaya wapo. Unaoweza kuwamaliza duniani hapa ni hao parasites wa malaria, virusi vya ukimwi nk. Tulishafanikiwa virusi vya surua, virusi vya polio, ndui, kifaduro, ukoma, kaswende na kadhalika. Tuko karibu kufanikiwa kutokomeza virusi vya ukimwi na malaria. Tuko kwenye right track! Hata Ebola siku si nyingi itakuwa historia ila nyani wataendelea kuwapo na mbu wataendelea kuwapo.

Asilimia 90% ya gharama za chaguzi ndogo zinagharimiwa na vyama venyewe vya siasa vinavyoshindana kupata viti hivo vya udiwani na ubunge. Chadema gharama imewashinda, hivyo wamejitoa na hivyo sasa viti hivyo vitachukuliwa na ccm bila gharama yo yote!
 
Uko mbali sana na uhalisia, utakua unaishi zama za ujima

Ukibainika na serikali unatumia microscope utajuta kuzaliwa tz

Sa we hizo sera za kutumia microscope na mrdt kwa pamoja sijui umetoa wapi
Ndugu siongei kwa kubahatisha..hapa karibuni walisitisha kidogo tu kwajili ya kubadilisha kutoka kutumia reagent za field stain na kuanza kutumia gemsa stain ambayo iko more sensitive.sasa hivi MSD anayo na vituoni wamepelekewa na wanatumia.serikali imesambaza mpaka microscope kupitia nmcp.serikali ipo vizuri tatizo mnataka kila homa muiite malaria,na wengi wanaangamia kwa kulazimisha diagnosis ya malaria wakati anaumwe vingine
 
Back
Top Bottom