Mugare
JF-Expert Member
- Oct 24, 2016
- 678
- 853
Habari za mda huu wadau!
Baada ya salamu niende direct kwenye mada,, Kumekua na changamoto kubwa mahospitalini siku za hivi karibuni haswa katika kipimo cha malaria na upatkanaji wa ugonjwa wenyewe
Nikiwa kama mhanga wa hili jambo niliamua kufanya utafiti wa kwanini malaria imekua ishu kupatikana
Nilichukua jukumu la kupima malaria mara tatu katika hospitali tofauti ila majibu yalikuja NEGATIVE katika hospital zote
Nilimpima mwanangu pia mara mbili kwa nyakati tofauti ila bado hakupatikana na malaria ila dalili zote zilionesha ana malaria. Hapo ndipo nilipoanza kutilia shaka kipimo cha malaria kwani mwanzoni nilkua nalia na vituo vya afya vilivoko mkoani kwetu
Mara ya mwisho kupima malaria mi mwenyewe ilkua wiki iloisha na bado sikupatwa nayo,, nikaamua kumhoji maswali daktari aloniattend
Nilimuuliza kwanini malaria imekua tatizo kupatkana?, yule dokta aliniangalia kwa aibu kisha nae akaniuliza we unahisi kwanini haipatkani, je imeisha??
Nikamjibu sidhani coz hakuna kilchobadilika katika mazingira tunayoishi
Ndipo alipotoa povu lake kwenye vipimo vya MRDT kwa kusema serikali imelazimisha kipimo cha MRDT kitumike badala ya microscope, MRDT haitoi majibu sahihi ya malaria na haina uwezo wa kuona malaria kidogo mpaka malaria nyingi, na serikali inafanya hivo ili kuhadaa wafadhili watoa vyandarua kuwa malaria imepungua kama sio kuisha nchini ili misaada izidi kumiminika
Jamani! kwaiyo serikali ya wanyonge imeamua raia wake tufe ili kuwafurahisha mabwana wakubwa??
Kuna manufaa gani kwenye hio mrdt nauku haitoi matokeo chanya?? tuhurumieni wanyonge, nyie mkiugua mnakimbilia nje sie ni wa hapa hapa, tendeni haki na mseme ukweli mrdt ni sanaa
Baada ya salamu niende direct kwenye mada,, Kumekua na changamoto kubwa mahospitalini siku za hivi karibuni haswa katika kipimo cha malaria na upatkanaji wa ugonjwa wenyewe
Nikiwa kama mhanga wa hili jambo niliamua kufanya utafiti wa kwanini malaria imekua ishu kupatikana
Nilichukua jukumu la kupima malaria mara tatu katika hospitali tofauti ila majibu yalikuja NEGATIVE katika hospital zote
Nilimpima mwanangu pia mara mbili kwa nyakati tofauti ila bado hakupatikana na malaria ila dalili zote zilionesha ana malaria. Hapo ndipo nilipoanza kutilia shaka kipimo cha malaria kwani mwanzoni nilkua nalia na vituo vya afya vilivoko mkoani kwetu
Mara ya mwisho kupima malaria mi mwenyewe ilkua wiki iloisha na bado sikupatwa nayo,, nikaamua kumhoji maswali daktari aloniattend
Nilimuuliza kwanini malaria imekua tatizo kupatkana?, yule dokta aliniangalia kwa aibu kisha nae akaniuliza we unahisi kwanini haipatkani, je imeisha??
Nikamjibu sidhani coz hakuna kilchobadilika katika mazingira tunayoishi
Ndipo alipotoa povu lake kwenye vipimo vya MRDT kwa kusema serikali imelazimisha kipimo cha MRDT kitumike badala ya microscope, MRDT haitoi majibu sahihi ya malaria na haina uwezo wa kuona malaria kidogo mpaka malaria nyingi, na serikali inafanya hivo ili kuhadaa wafadhili watoa vyandarua kuwa malaria imepungua kama sio kuisha nchini ili misaada izidi kumiminika
Jamani! kwaiyo serikali ya wanyonge imeamua raia wake tufe ili kuwafurahisha mabwana wakubwa??
Kuna manufaa gani kwenye hio mrdt nauku haitoi matokeo chanya?? tuhurumieni wanyonge, nyie mkiugua mnakimbilia nje sie ni wa hapa hapa, tendeni haki na mseme ukweli mrdt ni sanaa