Sikuwasema hata vibaya, kasome uzi wangu wa mwanzo tena
Nilikuwa naelezea mtiririko wa nilivyokuwa naenda ofisi zao na nilichokuwa naambiwa na Vodacom
Sikusema kuwa wanataka kuiba hela au ni makusudi japo kuna wachangiaji wengi walisema hivyo
Kuleta mrejesho ni kuwaondoa Vodacom kwenye tuhuma...
Wakuu habari, juzi nilileta uzi kuhusu line yangu kufungiwa
Kabla ya yote kwanza niwajibu waliokuwa wakilaumu au kushangaa mtu kuweka milioni 10 kwenye M pesa wakisema benki ndio salama
Benki unaweza kuweka na hela zako zikipotea vilevile, kama mnakumbuka kuna benki kama 3 zilifungwa kipindi...
Wakuu kwema?
Line yangu ya Vodacom inasoma mtandao vizuri lakini haifai kupiga namba yoyote, iwe ya kawaida au Mpesa au kununua vifurushi
Nilipoenda kwenye Vodashop nikidhani kuwa nilifungiwa sababu sikuhakiki namba vizuri
Lakini Vodashop walipoicheki wakasema niliihakiki vizuri na imetokea...
Kwa mujibu wa tangazo lililotoka Jumanne ya wiki iliyopita kwenye moja ya magazeti ya wiki, nyumba hizo zitapigwa mnada kwa awamu tofauti kuanzia mwezi huu hadi Julai baada ya wahusika kushindwa kurejesha mikopo waliyochukua kwenye benki ya NMB.
Tangazo hilo ambalo lilitolewa na kampuni ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.