Kubwalijalo
JF-Expert Member
- Oct 5, 2018
- 364
- 290
Haji Manara huyo.
Haji Manara huyo.
Sasa nani asiyemjua huyo nyangumi,uliza maswali ya maana mzee
Inasikitisha hadi sasa hakuna aliyepata
Ukimuuliza Lipumba atakwambia huyo ni Maalim Seif!Ndugai kaniambia huyo ni CAG!
Na mbio nyingi!Ukimuuliza Lipumba atakwambia huyo ni Maalim Seif!
Mbona umemficha macho, hivi yule wa p..k wa limumba ataacha lini kuvaa miwani
Nimemficha uso ili wengi wakoseMbona umemficha macho, hivi yule wa p..k wa limumba ataacha lini kuvaa miwani