Search results

  1. Dksalas

    Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

    [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] Unaona ni muonezi eeh!!
  2. Dksalas

    Daah! Anavaa sponji(kigodoro) makalioni...

    Pia kinamsaidia mneso anapokaa sehemu rough!
  3. Dksalas

    Nimempa mimba adui mkubwa wa mke wangu

    Sasa mbona unababaika? hapo tu umejikomoa mwenyewe!
  4. Dksalas

    Sina amani wala furaha kwenye ndoa yangu, Nataka niondoke nimuachie kila kitu

    Sio mbaya ukimuachia mali hizo watatumia waliobaki, we ishia zako!
  5. Dksalas

    Tanzania yashuka viwango vya FIFA, yashika nafasi ya 125

    Wacheza makirikiri hawana isu!
  6. Dksalas

    My weather kaniacha mdomo waz

    Kuwa na mmoja ni woga wa matumizi
  7. Dksalas

    Hizi hapa bei mpya ya vifurushi vya azamtv

    Mh! maisha yanaendrlea kubana Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Dksalas

    Hongereni TBC kwa kuboresha muonekano

    Huenda! Lkn ikiwa ni tv ya umma wajitahidi kuboresha kama ZBC2 inayotufurahisha sana kwa vipindi mubashara vya michezo, bigup ZBC 2! Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Dksalas

    Diaspora karudi Kitaa baada ya miaka 30 nje, anashangaa!

    Ajiulize yeye kaifanyia nini TZ mpaka akute imemjengea barabara!
  10. Dksalas

    Natafuta mume

    Weka picha na interest zako ni nini!
  11. Dksalas

    UTAMBULISHO

    Ok, you're welcome!
  12. Dksalas

    Malipo ya King'amuzi cha DSTV na thamani ya shilingi ni changamoto

    Ni kipindi ambacho kwa sasa watanzania wengi nyakati za jioni wamekuwa wakitawanyika katika majumba ya starehe ikiwemo baa na vibandani kushuhudia mashindano ya Afcon yanayoendelea pale nchini Gabon. Pamoja na hilo, naendelea na utafiti mfupi huku nikiwa na hoja ya msingi kuwa: je watanzania...
  13. Dksalas

    Vimbwanga na vitisho vya nyumba niliopanga

    Hapo hapakufai tena, umeshavurugwa kisaikolojia tafuta eneo lingine uishi!
  14. Dksalas

    Mugabe asweka ndani mashoga hadi washike ujauzito

    Kama inakuhusu utasikika tu ukilalama!
  15. Dksalas

    Kadiri uncle anavyobana zaidi ndio akili zetu zinavyochanganya zaidi

    Dah, wakubwa mnatisha kwa ubunifu wenu, nadhani mnapaswa kuigwa kuliko kutegemea mbinu za zamani tu!
  16. Dksalas

    Suzuki Escudo mil 11 tu namba D

    Onyesha shoo ya mbele
  17. Dksalas

    Alinisaliti, nilichomfanyia hatokaa anisahau daima

    Yes, the best revenge is to forgive, but don't forget!
  18. Dksalas

    Zijue faida za Mmea wa Mlonge, Jitibu magonjwa 300 kwa kutumia mlonge

    Ni sawa mkubwa hata mbegu za mlonge ni tiba nzuri ya kisukari
Back
Top Bottom