Search results

  1. howard

    Mh. Kikwete mtikisiko mkubwa wa 4 nchini unakuja kama maagizo haya hayatafuatwa

    Hivi buberwa huyu sio yule wa dawa za meno kweli?sikumbuki jina la dawa zenyewe za kienyeji.
  2. howard

    Yamato band na skylight perfomance Leo

    Jamani nimesikia tangazo ila sikusikia wapi inafanyika Leo yamoto band na skylight band wanapiga show pamoja naomba aliyesikia Hilo tangazo inafanyika wapi please
  3. howard

    Ufisadi wa 200 bilioni Ikulu

    Jason is back, vitu hot
  4. howard

    Mwigulu afuta Malipo ya Wajumbe Waliotoroka Bungeni, azuia Mabenki yasiwalipe!

    Hivi jamani bunge linakoma tar.25 April,mbona malipo mpk tar.30?
  5. howard

    Huyu ndo wife material

    Kweli bana
  6. howard

    Car Clearing Costs

    Ameuliza port charges jamani,mwambie agent akipata invoice ndio ukalipe.usimpe kwanza hiyo wanafanya calculations bandari wenyewe na ICD. Mara nyingi kwa TI ni 250,000 mpk 270,000
  7. howard

    Toyota ist

    Milioni 6 IST hupati mjini hapa,budget ndogo utauziwa mbovu bure
  8. howard

    mtu mwenye CPA anahitajika

    Jamani mtu mwenye CPA anahitajika experience ya hata 2 years yatosha kuwa chief accountant sehemu.mwenye interest please call me kwa maelezo.0655385400 pa kupeleka cv na ukaonane na nani
  9. howard

    Kwa yoyote anaijua toyota bravis....naitaji kuinunua naomba maoni au ushauri

    Zipo za cc 2490,very luxurious spare bei za kawaida,mafuta wasichakschue inachagua mafuta kwa ufupi.peleka petrol station za kueleweka.taa ya check engine inaweza kuwaka bure.
  10. howard

    Carina bei cheap!!

    beba fasta kabla hajabadili mawazo
  11. howard

    huyu mrembo nikweli nitampata?

    kimbia haraka muda sio mrefu unaibiwa achana nae ni wasanii hao.ni email zinatumwa kwa watu wengi sana,wizi mtupu
  12. howard

    Live Updates: Morocco Vs Tanzania leo, 8 June 2013 uwanja wa Stade de Marrakech

    Naangalia lvive hii game tushapigwa jamani 2 - 1 dakika za mwisho
  13. howard

    ONYO kwa wanaonunua simu humu

    Unauzaje hiyo iPHONE 4S?
  14. howard

    Kimenuka: Lady jay Dee afunguka, Atoa wosia wake siku akifa

    Mwisho WA hiyo radio unakaribia.hivi kumbe zamaradi kazaa na kusaga?hii kwangu ni breaking news
  15. howard

    Upendeleo wa wazi kwa makatibu muhtasi wa idara ya uhamiaji

    duh na majina unataja? huwa wanasoma JF hao?
  16. howard

    Uingizaji wa magari nchini yaliyo chini ya Miaka 10.

    mimi nimepigwa za kichwa maana nimeingiza gari baada ya 1st july sasa sijui watarudishia au ndio imekula kwetu, bongo vituko
  17. howard

    Ushauri: Ununuaji wa magari

    Ingia kwenye mtandao wa TRA upate RSP ya hiyo gari Caldina then ingiza kwenye calculator yao ikupe CIF Value according to TRA then ingia fanya calculation
Back
Top Bottom