Search results

  1. apolycaripto

    Uchaguzi 2020 Linapokuja suala la kuiondoa CCM madarakani, wakazi wa Jiji la Dar es Salaam ni kikwazo

    Watanzania kipindi hiki wanachagua maendeleo, wamechoka na blah blah. Kuulaumu leo Mkoa wa Dar es Salaam ni kukosa fadhila kisiasa. 2015 Jiji la Dar es Salaam liliongoza kwa kuwapa wabunge 6 (Mtulia, Mdee, Kubenea, Mnyika, Waitara na Mtolea) na madiwani lukuki..lakini kipi cha ajabu...
  2. apolycaripto

    Tanzania tuna la kujifunza: Kenya hali ni Tete uchumi umeporomoka vibaya sana na wagonjwa wanaongezeka sana

    Nasoma bandiko hili na kauli ya Rais Uhuru aliyoitoa hivi punde ya kuongeza siku 21 kibano cha kutokutoka ama kuingia katika baadhi ya miji kama Nairobi, Mandera, Mombasa, Kilifi... Tuache kutunga vitu...kwa mihemko ya kisiasa...ninyi ndio mnasababisha forum hii ionekane ya malofa kwa kuleta...
  3. apolycaripto

    Mafanikio ya Stephen Julius Masele, Mbunge wa jimbo la Shinyanga Mjini

    Aliyekutuma mwambie hapa si mahali pake, asubiri wakati ukifika ataenda kutetea nafasi yake kupitia utaratibu uliowekwa na chama na pia mchakato mzima kama akipita katika chama. InshaAllah.
  4. apolycaripto

    Uchaguzi Serikali za Mitaa: Ni huzuni, aibu, fedheha na si afya kwa Chama cha Mapinduzi(CCM)

    Tamko la kimaslahi, mimi ni nwanachama hai wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) hivyo ni takayo yawasilisha hapa ni kwa manufaa ya ustawi wa chama changu CCM na Taifa letu kwa ujumla. Nimefatilia kwa umakini mchakato mzima wa uchaguzi wa viongozi wetu katika ngazi ya Serika za Mitaa. Hakika...
  5. apolycaripto

    NYUMBA NZURI INAUZWA MUSOMA MJINI

    Nyumba inauzwa Musoma Mjini: Eneo la Rwamlimi, jirani na shule ya chekechea ya Kanisa Katoliki, barabara ya kuelekea kiwanda cha nguo (MUTEX): Vyumba sita vya kulala ila kimoja wapo ni Master Bedroom (kina choo chake) Sebule ya Chakula (Dining Room) Sebule ya Kupumzikia (Sitting Room) Choo cha...
  6. apolycaripto

    Nyumba nzuri inauzwa musoma mjini

    Nyumba inauzwa Musoma Mjini: Eneo la Rwamlimi, jirani na shule ya chekechea ya Kanisa Katoliki, barabara ya kuelekea kiwanda cha nguo (MUTEX): Vyumba sita vya kulala ila kimoja wapo ni Master Bedroom (kina choo chake) Sebule ya Chakula (Dining Room) Sebule ya Kupumzikia (Sitting Room) Choo cha...
  7. apolycaripto

    Kujiuzulu kwa kumuunga mkono Rais

    Ufuasi wa siasa katika vyama hujengwa katika misingi ya itikadi. Swali la kujiuliza ni Je, wanaojiuzulu kwa kumuunga mkono rais kisha wanaenda kuchukua kadi za chama (ambacho kinaongozwa katika misingi ya itikadi) ni sahihi? Hivi huyu Rais atakapomaliza muda wake, hawa watu watamuunga mkono...
  8. apolycaripto

    CHADEMA kugawa kura za CUF Kinondoni kama ilivyokuwa Segerea?

    Kuna kitu ambacho Wanabodi hamkijui katika uchaguzi wa sasa. CUF ya Seif iliyopo ndani ya UKAWA haina nafasi ya uteuzi ndani ya Tume ya Uchaguzi (NEC). Hii inamaana CUF ya Lipumba (ambaye si muumini wa UKAWA) ndiye mwenye nafasi kutokana na kutambulika kwake ndani ya Msajili wa Vyama vya Siasa...
  9. apolycaripto

    Watanzania walioshiriki mjadala wa Barrick ni muhimu sasa kujitokeza na kujibu hoja tatanishi

    Tunaipongeza Serikali yetu kwa jitihada ilizochukua katika kufanikisha majadiliano haya dhidi ya Barrick. Kwakuwa kumekuwa na maswali mengi kuliko majibu hasa baada ya taarifa ya makubaliano kutolewa, ni muhimu sasa Serikali yetu pendwa kutoa ruhusa ya walioshiriki katika majadiliano kujitokeza...
  10. apolycaripto

    Bagamoyo Port: Serikali imewapa hisa zote wawekezaji wa Kichina

    Bado nawasiwasi na utekelezaji wa huu Mradi. Sijamsikia Rais akigusia chochote juu ya mipango ya mradi huu hata alipokuwa katika ziara yake ya uzinduzi wa viwanda katika mkoa wa Pwani. Kwa manufaa ya Mradi huu, Rais wetu kamwe asingesita kuelezea chochote juu ya Mradi huu. Bila shaka kuna mengi...
  11. apolycaripto

    Tetesi: Sakata la Makonda, Clouds na Nape kutua Bungeni na kupotelea huko

    Vyanzo vinadai kuwa kulipeleka swala hili mahakamani, litanyima fursa ya Bunge kulizungumzia. Binafsi sitegemei jipya kupitia Bunge hili na kama ikitokea basi utakuwa muujiza wa kwanza wa Bunge letu katika Serikali hii "tata". Hoja ya "collective responsibility" ni changamoto katika mhimili huu...
  12. apolycaripto

    Nashauri tuufunge mjadala juu ya teuzi 10 za rais

    Kwanza naomba kutamka wazi kuwa Rais wetu pendwa, pasipo kutarajia amejikuta ndani ya mgogoro wa kikatiba katika teuzi zake. Ni kweli Mkuu wetu amevunja katiba ama yuko katika tishio la kuvunja katiba, na hili halina ubishi kwani ibara ya 66.- (1) (e) iko wazi na haina utata wowote...
  13. apolycaripto

    Usahihi wa Uteuzi wa wabunge wa kuteuliwa na Rais

    KATIKA HILI BILA KUJALI CHAMA CHANGU, MAKONGORO YUKO SAHIHI: RAIS WETU AMEPOTOSHWA (Kwa lugha ya kistaarabu na kitaasisi), KATIBA IMEVUNJWA na HAKUNA NAMNA INABIDI UTEUZI WA MMOJAWAPO UTENGULIWE ili KUILINDA KATIBA japo HESHIMA YA U-RAIS kama TAASISI ITATIKISIKA kidogo HASA UKIZINGATIA HALI YA...
  14. apolycaripto

    Meya wa Kinondoni aungana na Meya wa Jiji kumpinga Makonda

    Huyo Mkuu wa Mkoa, kabla hajawa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni alikuwa ana kazi gani?
  15. apolycaripto

    Waziri Charles Mwijage awasimamisha kazi Mkurugenzi wa TBS pamoja na Meneja wa Fedha

    Sio tetesi, ni kweli! Meneja wa Fedha katumbuliwa na Mhasibu Mkuu kachukua cheo chake.
  16. apolycaripto

    Tatizo la Madawati kuwa historia Manispaa ya Kinondoni

    Nimesoma kwa makini mchanganuo wa zabuni hizi zenye jumla ya shs. 1.6 b, japo kunaweza kuwa na mashaka, hasa katika Taifa ambalo "deal" ni jambo la kwanza kabla ya mambo mengine. Viongozi wetu wanaweza kuwa Waadilifu na Waungwana sana ila Wafanyabiashara (Wazabuni) wakawa na makandokando yao...
  17. apolycaripto

    Nitamshangaa sana mwanachama yeyote wa CHADEMA atakayempinga Rais wa Burundi

    Mawazo duni haya sijapata kusikia. Hivi "Katitu" uko vizuri upstair? Nani mwenye jukumu la kuandaa Viongozi? Hivi Mbowe ni kiongozi bora kuliko wengine waliomo ndani ya Chadema? Ikiwa ni hivyo, basi hamstahili kabisa sio kushika tu bali hata kuwaza kushika dola.
  18. apolycaripto

    Kumbe 'Friends of Lowassa' ni mafisadi ambao ndio wanufaika wakubwa wa Rasilimali za Nchi

    Ni vizuri ungeweka na majina yao japo baadhi ili tuwajue hawa Friends of Lowassa.Team Lowassa hatuna shida nao maake hawa ni "vidagaa" tu, tupe majina ya hao "nyangumi"
  19. apolycaripto

    Maazimio ya Kamati Kuu ya CHADEMA: Pazia la kuchukua na kurejesha fomu za kugombea lafunguliwa

    Nduka sidhani kama kuna watu wenye akili timamu wanawasapoti hawa jamaa. Yaani ni usanii to the highest level. Pengine niijue hiyo Kamati Kuu ni ya watu gani, vinginevyo nitakuwa nawaonea hawa viumbe.
  20. apolycaripto

    Maazimio ya Kamati Kuu ya CHADEMA: Pazia la kuchukua na kurejesha fomu za kugombea lafunguliwa

    Maharage ya Mbeya kwa Sugu! Je, wewe mwenzangu viroba vya wapi?
Back
Top Bottom