apolycaripto
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 644
- 225
Nyumba inauzwa Musoma Mjini: Eneo la Rwamlimi, jirani na shule ya chekechea ya Kanisa Katoliki, barabara ya kuelekea kiwanda cha nguo (MUTEX):
Hali ya Nyumba: Nyumba imekamilika ikiwa na umeme na maji, ina hati na haidaiwi popote.
Bei ni Milion 45 bila dalali. Mawasiliano piga 0713 172 395/ 0766 024 628 (Mwenye Nyumba)
MUHIMU: Mteja kujitahidi kufika eneo husika na kuona kwanza nyumba ama kumtumia mtu aliyekaribu na eneo husika yaani Musoma Mjini na ushirikiano atapewa wa kutosha.
- Vyumba sita vya kulala ila kimoja wapo ni Master Bedroom (kina choo chake)
- Sebule ya Chakula (Dining Room)
- Sebule ya Kupumzikia (Sitting Room)
- Choo cha jumuia (Public Toilet)
- Stoo
- Jiko
- Kiwanja ni kikubwa kwa maana ya kuweza kujenga nyumba nyingine kama hiyo na kubaki (Medium Density)
Hali ya Nyumba: Nyumba imekamilika ikiwa na umeme na maji, ina hati na haidaiwi popote.
Bei ni Milion 45 bila dalali. Mawasiliano piga 0713 172 395/ 0766 024 628 (Mwenye Nyumba)
MUHIMU: Mteja kujitahidi kufika eneo husika na kuona kwanza nyumba ama kumtumia mtu aliyekaribu na eneo husika yaani Musoma Mjini na ushirikiano atapewa wa kutosha.