Sina mengi ila mungu hutoa kiongozi..na amekwenda upinzani ni mpango wa mungu..kuufumua mfumo uliopo ili uwe wa kuwatumikia watu na sio watu kuwatumikia..nchi ipo sehemu ya kuanza kuwajibishana..lowssa ukawa mungu kishapiga tick
i mis these type of speech long after th death of mwl nyerere dokta i can read you internal u have my suport and my vote.hakuna mbadala sio ccm wala lowasa has ths brain.bahat mbya kuna watu wenye chuki tu na pia wachagua sura na povert.ila u shal remain immortal
naomba nkujibu umesema uongoz ni kama ndoa mbna zito kavunja ndoa ambayo yeye aliijua vyema katiba na kanun za chadema alizijua fika.waz iwweje atoke?swala lingne kiongoz wa umma tena mpinzan lazima uwe na maono je kuanzisha act ndo kunaujenga upinzan kwa faida ya taifa ama ni kuijenga ccm?mi...
Iringa itoe.hapa weka dar uswahilin.pwani.dodom.lindi.mtwra.tanga.tabora.ni fulu nyuma.dar upinzani unapata kura toka kwa wasomi na walohamia mjin.wamewasukuma wenyeji nao wanasogea na ccm yao hahaa
Then kutahiriwa hapa wiki ilopita nliona maandalizi kwanza wanapiga ngoma za kienyeji na nyimbo na vigelegele mtaa mzima wanakua wanajua kuna jando kwa vijana wenyewe wakubwa teyar kama umri wa miaka kumi na saba nenda juu..na zawad watapewa ng"ombe ama nyingne na kutairiwa hakutakua na ganzi...
Mi mgeni kweli mimi nipo maeneo ya butiama,buswege.butugur.sabasaba.kwa mkono huku kuhusu ujasir nadhan wanaume hawwana tofaut na wengne.washkaji wapo poa sana wanatoa tano kww mgeni ijapo wanapenda kilugha sanasana
kuna wadau wametoa maoni kulingana na hali ya maisha ye2,iv unathan nakunywa kiroba coz napenda?yamenitokea na ni kweli,nimemuaga 2 kiupole nimeenda kujiua pengne
Heshma kwenu.
Hivi mwanaume umekaa bar na mpenzi wako unakata kiroba nae anapga sodabanakuja kidume mwingne anakata serengeti bt kila dakika mchumba wako anatoa jicho kwa mshkaji,kila akicheka anamtizama mshkaji.
Hivi we mwanaume unafanyaje?
Najua huku wapo watu wenye kupata taarifa za uhakika,tafathal nijuzen ajira ya ualimu awamu ya pili yatatoka lini mana mwanzo nimekosekana,pls mwenye taarifa anijuze
wanasiasa huwa mnapenda sana kuwatenga watz kwa kuwagawa ili mzidi kufaid na mbaki madarakan..na hlo limekua ndo lengo la nape na mwigulu na ccm..ukitizama mtari wa mwisho wa mada yako mwerevu anaelewa ujinga unaotaka kusema..NAJUA MTAFANIKIWA KUWADANGANYA WATANZANIA KWA KIPIND FLAN ILA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.