ICHANA
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 4,766
- 3,583
Huko si kuzimia aisee, imagine ndo kamuona, thats too much tamaa!
Kama ni mimi, nakugeuzia kiti kabisaa ili muangaliane, mkonyezane nk!
Mi nna yangu tu.. baada ya hapo, kila mtu abebe njia yake kabisaa na tusikutane tena!
Ha ha mtaachana kila mtu na njia yake kama sio mkeo or huna future nae..je akiwa ni mkeo?
Huyu mwanamke ni kweli too much tamaa na jamaa sioni sababu ya kuendelea nae
1: huenda kaona jamaa anakunywa serenget wangu kiroba means mpenda pesa huyu
2:kataman physical appearance six packs while wake hana
Just imagine wapo wote je kama asingekuwepo huyu jamaa angepewa papuchi bila kutongoza .