Kwanini Zitto nisikuite msaliti?

hodi wanajukwaa zitto cdm imekujenga sana kisiasa mpaka hapo ulipo sasa bila cdm watu wengi wasingekujua, mabadiliko unayoyatafta ungeweza kuyaleta pindi kuwa cdm na pia ungeweza kujiita mzalendo ndani ya cdm, inawezekanaje kuleta mabadiliko na uzalendo nje ya cdm wakati ulikuwa naibu katibu mkuu? ulishindwa nini kujenga hoja na ushawishi ndan ya vikao vya chama? wewe ni mjamaa je,ndani ya cdm ulikuwa nani? kwa ulewa wangu mdogo viiongoz waliowengi duniani waliweza kuleta mabadlko kupitia vyama vyao eg. jk nyerere, nm madiba, ym gaguta, mugabe na wengine wengi. kwa mtazamo wangu unasumbuliwa na uroho wamadaraka, ndan ya cdm ulikuwa unautka uenyekti nje ya cdm hautaki unataka uongoz mkuu mkuu wa chama, hii imekaaje? ina maana ndani chama chenu kuna wenyeviti wa wawili? na katiba yenu nasema hivyo? kama kipiengere hichi hakipo inabidi mkiongeze ndo nitakuuelewa,kwaulewa wang mdogo kokote duniani hakuna chama chenye viongoz wakuu wawili wala taasisi yoyote HAIPO! kisiasa sasa zitto umekwisha. Noya!

mlitak mabadilik msingemfukuza
 
Kwa nilivyomsikiliza zitto jana. Nimeamini zitto ni mbinafsi ile mbaya. Muda wote alikuwa anajisifu yeye hotuba yake yote. Sijui kule act wanamvumiliaje.
 
ndugu mleta mada,

sidhani kama ni mbaya tukijadiliana haya with common sense:

1. Wewe ukiwa katika kampuni flani unafanya kazi baada ya miaka kadhaa kwa sababu moja au nyengine ukaona kabisa hapa sina maisha marefu kazini kutokana na yaliyotokea. At that particular moment ukiwa unasubiria lile swala uliloliona kwa mtazamo wako la kufukuzwa kazi wewe unafanya nini? Unasubiri barua ya kufukuzwa kazi ije uichukue uende nyumbani ukaangaliane na mkeo nyumbani? Is that real in life?

nionavyo: kama ni mimi na naamini wengi watakuwa hivo wakikutana na situation kama hiyo jambo la msingi ni kuhangaika kutafuta kazi kabla barua unayoitegemea haijakufikia rasmi.sina haja ya kueleza yote yaliyotokea kwa zzk koz yanajulikana na kama nilivyosema source ya yote ni pale zzk alipoamua kuonyesha nia ya kugombea uenyekiti mengine yaliyofuata ni yatokanayo,so kama mwanasiasa hakuwa na jinsi baada ya kuona kufukuzwa kwake kukija zaidi ya kuangalia option ya kisiasa huku akiwa anasubiria ufukuzwaji rasmi wa wenye chama.

2. swala la kiongozi mkuu wa chama kuwa juu ya mwenyekiti: Huo ni mfumo tu ambao chama na wanachama wamejiamulia,na kama kwao haina shida iweje iwe na shida kwako au kwa kuwa nafasi ya juu amekaa mtu unayemchukia?,koz mfumo wa utawala ni makubaliano,ni kama ndoa,sasa wanandoa wamekubaliana waishi hivi wewe inakuuma does that make sense?

3. chama cha upinzani kufadhiliwa na ccm: ingekuwa vizuri ukizungumza jambo kama hilo ungeweka wazi na evidence ya hicho unachokizungumza ili watanzania waweze kujua ukweli sio kutoa tu maneno ya mdomoni yasiyo na mashiko ukitegemea watanzania wakuamini,ni sawa na pale chadema walipoiita cuf ni ccm-b bila vigezo,kwa wenye akili walipuuza na kuendelea kuamini kuwa cuf ni upinzani halisi usio na uhusiano na ccm,too bad leo chadema hao hao wamekuja ku proof kuwa cuf is a genuine opposition.kwahiyo hoja kama hii inahitaji evidence kuwa na mashiko.

4. hoja ya wanachama wa act kuwa wa chama tawala: maelezo yake yanafanana na ya 3 hapo juu: Ndugu are you sure you are in the right place? Jf ni valley ya great thinkers usiigeuze kijiwe cha kahawa.

5. kuamua kumuita zzk msaliti: hiyo ni haki yako kikatiba hakuna anayekukataza,nimeshakupa mfano hapo juu,chadema waliamua kuiita cuf ni ccm-b lakini kilichotokea na kuendelea leo itabaki kuwa historia.

Kwa hiyo wewe uliyeamua kumuita zzk ni msaliti uko sawa kama walivyo sawa wale ambao mpaka dakika hii wanaomuona kuwa shujaa na mkombozi na mtetezi wa wanyonge katika taifa hili.

By: Independent-mind

naomba nkujibu umesema uongoz ni kama ndoa mbna zito kavunja ndoa ambayo yeye aliijua vyema katiba na kanun za chadema alizijua fika.waz iwweje atoke?swala lingne kiongoz wa umma tena mpinzan lazima uwe na maono je kuanzisha act ndo kunaujenga upinzan kwa faida ya taifa ama ni kuijenga ccm?mi nlidhan bs angejiunga cuf ama nccr kama ana nia ya dhat na taifa
 
unataka kusema kuwa ya kuwa mkuu wa chama endapo atachanguliwa kuwa raisa hatafanya kazi za chama? na hatahudhulia vikao vyachama? achani kuwandanganya watz waleo tuko macho sana walahatudanganyiki kilarahsi ivo, kama ni ubunifu wa ngaz zauongozi hapo umefail, huo ni uroho wa madaraka tu hakuna lolote,hiyo katiba itakuwa nikatili sana kwa mwanachama yeyote wa ACT, inamaana kwa jnsi ilivyo zitto ataagombea milele nafasi ya urais mpaka hapo mwenyez mung atakapo muita hii nihatari sana, kwamwanachama yyte ndan ya act anatakiwa kupinga vikali kipengele hicho,kinanyima fursa watu wengne makini ndani ya chama na huo ni udikteta mbaya sana na haujawahi kutokea duniani kote ndani ya chama nio a ACT pekee.
 
- Sijawahi ona kokote siasa inakofanywa mwanachama wa chama kimoja kwa wakati huohuo ni mwanzilishi wa chama kingine cha siasa, sijawahi.

- Sijawahi kuona mtu anajiunga na chama fulani baada ya siku tano anapewa uongozi mkuu wa chama hicho, sijawahi

- Sijawahi kuona popote siasa inapofanywa, mwenyekiti wa chama yupo chini ya mtu fulani. Yahani kikatiba kabisa kuna mtu yupo juu ya mwenyekiti, hii pia sijawahi kuona.

- Sijawahi kuona popote pale chama cha upinzani kukipinga chama cha upinzani na si chama tawala. AGAINST CHADEMA TANZANIA(ACT). Kwa maneno au hata vitendo. Chama kinafanya sherehe kikipata wafuasi wa upinzani kuliko wa chama tawala.

- Sijawahi kuona chama cha upinzani kinafadhiliwa na chama tawala kiuchumi na kimikakati. Tumefanya uzinduzi wa chama chako Zuberi kwa gharama kubwa sana, air time ITV, chakula, ukumbi expensive, na mbwembwe nyingi. Lakini mbona hujawahi kuchangisha pesa toka kwa wanachama wako? Kama kuna mtu anachangia ni nani huyo? Mtamlipaje baadae?

- Sijawahi ona chama cha upinzani popote pale siasa inapofanywa, wafuasi wake ni wale wanachama na wafuasi wa chama tawala. Le mutuz, laki si pesa, musa alani n.k, hii nayo sijawahi ona.

Kwa yote hayo juu Zuberi kwa nini nisikuite kwamba wewe ni msaliti halisi wa demokrasia hapa nchini. Kama kweli wewe siyo msaliti mbona hujawahi kujitokeza na kukataa zile namba za simu walizozitoa chama chako cha zamani kuwa zilitumika katika ufisadi? Mbona sijasikia kuikana ile akaunti ya benki wa yule dada kule ujerumani?

UKINIJIBU HAYO KWA UFASHA WEWE KWELI SI MSALITI.

Muite tu msaliti....kwani kuita kunashida gani!!!! tumeanza kuzoea huo msamiati..tunajua fika chadema ni CCM C
 
Zito anawafanya wachaga na saccos yao pale ufipani hapakaliki,mbege hazinyweki sikuhizi walizoea kutafuna ruzuku mwisho wao umefika.
 
Ndugu mleta mada,

Sidhani kama ni mbaya tukijadiliana haya with common sense:

1. Wewe ukiwa katika kampuni flani unafanya kazi baada ya miaka kadhaa kwa sababu moja au nyengine ukaona kabisa hapa sina maisha marefu kazini kutokana na yaliyotokea. At that particular moment ukiwa unasubiria lile swala uliloliona kwa mtazamo wako la kufukuzwa kazi wewe unafanya nini? unasubiri barua ya kufukuzwa kazi ije uichukue uende nyumbani ukaangaliane na mkeo nyumbani? Is that real in life?

Nionavyo: Kama ni mimi na naamini wengi watakuwa hivo wakikutana na situation kama hiyo jambo la msingi ni kuhangaika kutafuta kazi kabla barua unayoitegemea haijakufikia rasmi.Sina haja ya kueleza yote yaliyotokea kwa ZZK koz yanajulikana na kama nilivyosema source ya yote ni pale ZZK alipoamua kuonyesha nia ya kugombea uenyekiti mengine yaliyofuata ni yatokanayo,so kama mwanasiasa hakuwa na jinsi baada ya kuona kufukuzwa kwake kukija zaidi ya kuangalia option ya kisiasa huku akiwa anasubiria ufukuzwaji rasmi wa wenye chama.

2. Swala la Kiongozi mkuu wa chama kuwa juu ya mwenyekiti: Huo ni mfumo tu ambao Chama na wanachama wamejiamulia,na kama kwao haina shida iweje iwe na shida kwako au kwa kuwa nafasi ya juu amekaa mtu unayemchukia?,koz mfumo wa utawala ni makubaliano,ni kama ndoa,sasa wanandoa wamekubaliana waishi hivi wewe inakuuma does that make sense?

3. Chama cha upinzani kufadhiliwa na CCM: Ingekuwa vizuri ukizungumza jambo kama hilo ungeweka wazi na evidence ya hicho unachokizungumza ili watanzania waweze kujua ukweli sio kutoa tu maneno ya mdomoni yasiyo na mashiko ukitegemea watanzania wakuamini,ni sawa na pale Chadema walipoiita CUF ni CCM-B bila vigezo,kwa wenye akili walipuuza na kuendelea kuamini kuwa CUF ni upinzani halisi usio na uhusiano na CCM,too bad leo CHADEMA hao hao wamekuja ku proof kuwa CUF is a genuine Opposition.Kwahiyo hoja kama hii inahitaji evidence kuwa na mashiko.

4. Hoja ya wanachama wa ACT kuwa wa Chama tawala: Maelezo yake yanafanana na ya 3 hapo juu: Ndugu are you sure you are in the right place? JF ni Valley ya Great Thinkers usiigeuze kijiwe cha kahawa.

5. Kuamua kumuita ZZK msaliti: Hiyo ni haki yako kikatiba hakuna anayekukataza,nimeshakupa mfano hapo juu,Chadema waliamua kuiita CUF ni CCM-B lakini kilichotokea na kuendelea leo itabaki kuwa historia.

Kwa hiyo wewe uliyeamua kumuita ZZK ni Msaliti uko sawa kama walivyo sawa wale ambao mpaka dakika hii wanaomuona kuwa shujaa na mkombozi na mtetezi wa wanyonge katika Taifa hili.

BY: Independent-Mind
Kaka asante kwa ufafanuzi mzuri lakini ungewakumbusha uchaguzi unakaribia wache kumkomalia zzkk na wajadili sera za kuwaeleza watanzania na si kuendekeza uzushi wa kufikirika
 
naomba nkujibu umesema uongoz ni kama ndoa mbna zito kavunja ndoa ambayo yeye aliijua vyema katiba na kanun za chadema alizijua fika.waz iwweje atoke?swala lingne kiongoz wa umma tena mpinzan lazima uwe na maono je kuanzisha act ndo kunaujenga upinzan kwa faida ya taifa ama ni kuijenga ccm?mi nlidhan bs angejiunga cuf ama nccr kama ana nia ya dhat na taifa
Mlipoambiwa zito ni zaidi ya cdm mlibisha sasa mnaweweseka mini alaf ongea kama MTU mwenye akili timam nani amekwambia kua kuanzisha chama ni dhmbi na bado mbege hainyweki mwaka huu
 
Hivi na zile hela za sabodo kwenda chadema tuziiteje? Hakuna asiyejua kuwa sabodo ni ccm na anapenyeza hela kwa akina mboweTE=TAWA;12395548]- Sijawahi ona kokote siasa inakofanywa mwanachama wa chama kimoja kwa wakati huohuo ni mwanzilishi wa chama kingine cha siasa, sijawahi.

- Sijawahi kuona mtu anajiunga na chama fulani baada ya siku tano anapewa uongozi mkuu wa chama hicho, sijawahi

- Sijawahi kuona popote siasa inapofanywa, mwenyekiti wa chama yupo chini ya mtu fulani. Yahani kikatiba kabisa kuna mtu yupo juu ya mwenyekiti, hii pia sijawahi kuona.

- Sijawahi kuona popote pale chama cha upinzani kukipinga chama cha upinzani na si chama tawala. AGAINST CHADEMA TANZANIA(ACT). Kwa maneno au hata vitendo. Chama kinafanya sherehe kikipata wafuasi wa upinzani kuliko wa chama tawala.

- Sijawahi kuona chama cha upinzani kinafadhiliwa na chama tawala kiuchumi na kimikakati. Tumefanya uzinduzi wa chama chako Zuberi kwa gharama kubwa sana, air time ITV, chakula, ukumbi expensive, na mbwembwe nyingi. Lakini mbona hujawahi kuchangisha pesa toka kwa wanachama wako? Kama kuna mtu anachangia ni nani huyo? Mtamlipaje baadae?

- Sijawahi ona chama cha upinzani popote pale siasa inapofanywa, wafuasi wake ni wale wanachama na wafuasi wa chama tawala. Le mutuz, laki si pesa, musa alani n.k, hii nayo sijawahi ona.

Kwa yote hayo juu Zuberi kwa nini nisikuite kwamba wewe ni msaliti halisi wa demokrasia hapa nchini. Kama kweli wewe siyo msaliti mbona hujawahi kujitokeza na kukataa zile namba za simu walizozitoa chama chako cha zamani kuwa zilitumika katika ufisadi? Mbona sijasikia kuikana ile akaunti ya benki wa yule dada kule ujerumani?

UKINIJIBU HAYO KWA UFASHA WEWE KWELI SI MSALITI.
[/QUOTE]
 
naomba nkujibu umesema uongoz ni kama ndoa mbna zito kavunja ndoa ambayo yeye aliijua vyema katiba na kanun za chadema alizijua fika.waz iwweje atoke?swala lingne kiongoz wa umma tena mpinzan lazima uwe na maono je kuanzisha act ndo kunaujenga upinzan kwa faida ya taifa ama ni kuijenga ccm?mi nlidhan bs angejiunga cuf ama nccr kama ana nia ya dhat na taifa

Zitto hajavunja ndoa,waliovunja ni Mbowe,Lissu au Uongozi wa chadema In general,kwani ZZK alikwenda mahakamani kufanya nini si kuzuia kujadiliwa na kufukuzwa bila kufuata taratibu? Nyie hamkujali sasa aliyevunja ndoa nani hapo? kama ZZK alikuwa na matatizo ni sawa na ndoa zinavokuwa na matatizo sasa nyie hamkutaka kusolve mkaona solution ni kutoa Talaka.
 
Wana JF,
Kwa elimu aliyonayo na mambo anayoyafanya hivi ni vitu viwili tofauti kabisa.

Tangu alipochaguliwa awe M/Kiti wa PAC hapo ndipo nilijua mwisho wa siasa za Uadilifu kwa ZZK umewadia.

uZito amekuwa mjanja mjanja tu anaanzisha jambo hutaona ukamilifu na mwisho wa dhamira ya kweli,Mfano:-Suala la walioweka fedha nje ya Nchi Uswisi,Zito Kabwe alilimaliza suala hili kiaina tu kwa mtindo wa kujipatia Umaarufu tu na sio kumaliza kiini cha tatizo.

Ametumika kuvunja nguvu za CHADEMA NA UPINZANI,kwa ujumla mpaka sasa hilo nalo hajafanikiwa.

ZITO ni bilionea amezitoa hizo fedha wapi???
Tukisema ni fisadi mnatoa macho kaa mchusi kabanywa na mlango.

Uadilifu wa Zito ni Sifuri tena yenye masikio.
Ni mpenda Madaraka sana na yuko tayari apokee fedha za Aibu na kuwatelekeza wenzake.

ZITO SIO MPAMBANAJI WA KWELI,
Anatumika kufifisha na kuua Demokrasia ya Vyama vingi Nchini.

Kwa hili ZITO ZUBERI KABWE anatia aibu sana,ni bora tu angejiunga na CCM hio ingetufanya tujue yeye sio mpinzani,kuliko sasa kubadilibadili rangi kaa Kinyonga hakufai na haitamsadia lolote.

WATANZANIA TUNA AKILI TIMAMU HATUDAGANYIKI.
SASA TUMEKUJUA JINSI ULIVYO,
POLE SANA.

Nawasilisha kwenu!!!
 
Umemjua ww kama mtanzania peke yko sio wote .ktk Tanzania ya leo ni vigumu kuwapata wanasissa makini na wenye siasa safi kama zitto. Tena ni mwanasiasa anayeheshimika kila kona ya tanzania anajua anafanya nn na wakat gani, pia kama ungekuwaga mfuatiliaji mzuri wa kila kikao cha bunge hata usingembeza zitto kwa akili zako ndogo hizo. MUNGU ibariki tanzania MUNGU mbariki Zitto cku moja aje kuliongoza taifa hili amina
 
Mods unganisheni au futeni threads kama hizi. Au iwekwe thread moja ya anti Zitto ili kuondoa utitiri wa threads zinazomshutumu ZZK
 
Back
Top Bottom