Warioba Anataka Nini Hasa?

Serikali mbili ni mafanikio sana kwako. Ndiyo maana hulalamiki.
Kwa hili naona unatofautiana na Jakaya wetu?!

Mimi namwomba WJM anisaidie kujibu haya atakapokuwa anaandika makala yake kwenye JamboLeo ya Jumapili ijayo:
-Katiba ya JMT haikuvunjwa na yale mabadiliko yaliyofanywa kwenye Katiba ya Zanzibar mwaka 2010 na Jakaya wetu akakaa kimya?
-Bunge la Jamhuri ya Muungano lilichukua hatua gani baada ya kuona mlinzi namba moja wa Katiba ya JMT kakaa kimya?

-Kuna uwezekano wowote wa kuirekebisha Katiba ya Zanzibar ili iondoe marekebisho yale ya 2010?
 
Warioba mimi nampuuza tu kama ninavyowapuuza watu wengine wenye malengo ya kuingiza nchi kwenye matatizo kama anavyofanya warioba.

Na mimi nakupuuza wewe na upuuzi wako unaotaka usikilizwe ptuuuu!!!
 
- Kuna swali moja linanitatanisha sana kwamba exactly Warioba anachokitaka hasa ni nini? Ameteuliwa kuongoza tume ya kukusanya maoni na sio siri badala ya kukusanya maoni ametengeza maoni na kuwa shujaa wa kutupasua Taifa, sasa ameshakabidhi maoni lakini kila siku kwenye vyombo vya habari kushindana na wasiotaka Serikali 3 WHY? Jana kuna mahali kwa maneno yake mwenyewe amesema kuna sehemu ambazo alijua kwamba Viongozi wa CCM wamepitia kwa hiyo maoni ya wananchi wake hakuyasikiliza kwa sababu aliamini wameambiwa cha kusema, sasa huo utaalamu Warioba ameutoa wapi na ni kweli Sheria ya Tume ilimruhusu kuamua achukue maoni ya nani na aache ya nani?

- Warioba nminataka kuamini ni msomi amewakilisha maoni yake kama alivyoombwa na Taifa, sasa vita ya nini hasa na wasiokubali maoni yake? Kwa kweli ninapata taabu sana kumuelewa sijawahi kusikia wala kuona something like this before, Warioba aliongoza Kamati kama hii ya Rushwa chini ya utawala wa Mkapa, kwanza hata ile ripoti sijui iliiishia wapi na sijawahi kumsikia Warioba akilalamika au akitetea ile ripoti, sasa kwenye hili la kulilia Serikali ya Tanganyika mbona ana vita vikubwa sana na Taifa kwamba ni lazima wote tukubali mawazo yake tu?

- AT SOME POINT SASA CCM TUKAE CHINI NA KUTAFAKARI EXCATLY HUYU MZEE ANATAKA NINI KWENYE CRIMINOLOGY TUNASEMA THERE IS SOMETHING BIGGER THAT WHAT WE ARE SEEING HERE WITH OUR EYES, HAIWEZEKANI NA NINASHINDWA KUAMINI KINACHOENDELEA, Warioba ameshawakilisha maoni ya supposedly tume yake na kwamba ndio maoni ya wananchi, mjumbe wa Bakwata amesimama bungeni na kusema wazi kwamba kilichosemwa kwenye Tume ya Warioba sicho walichomwambia, tunaambiwa kwamba kuna sekta nyingi sana za Serikali ambazo zilitaka Serikali 2 Warioba wala hakuweka maoni yao kwenye Rasimu, I mean why all these from one man?

- HIVI KWELI CCM MPAKA TUMEJIRIDHISHA KWAMBA WARIOBA NI ONE MAN DOING ALL THESE OPPOSITION? HAPANA MIMI SIAMINI KABISA KUNA SOMETHING BIGGER THAN WHAT WE ARE SEEEING WITH OUR EYES WHAT IS THAT? WHAT IS THAT? WHO IS INVOLVED? WHERE? WHY? WHAT?

- I MEAN CCM NA WALE WOTE TUNAOTAKA SERIKALI 2 NI LAZIMA TUKAE CHINI NA KUTAFAKARI ZAIDI YA TUNAVYOFANYA SASA, SOMETHING IS A MISS HERE LAZIMA KUNA A BIGGER PICTURE BEHIND ALL THESE!!

- SOMA GAZETI LA JAMBO LEO JUMAPILI I WILL BREAK DOWN THESE THINGS KAMA KAWAIDA WARIOBA ANATAKA NINI HASA?

Le Mutuz System

Mzee Warioba ni kichwa na anaona mbali kuliko wazee waliosalia kama Mzee Baba yako Malecela wanafiki
 
Serikali mbili ni mafanikio sana kwako. Ndiyo maana hulalamiki.
Kwa hili naona unatofautiana na Jakaya wetu?!

Mimi namwomba WJM anisaidie kujibu haya atakapokuwa anaandika makala yake kwenye JamboLeo ya Jumapili ijayo:
-Katiba ya JMT haikuvunjwa na yale mabadiliko yaliyofanywa kwenye Katiba ya Zanzibar mwaka 2010 na Jakaya wetu akakaa kimya?
-Bunge la Jamhuri ya Muungano lilichukua hatua gani baada ya kuona mlinzi namba moja wa Katiba ya JMT kakaa kimya?

-Kuna uwezekano wowote wa kuirekebisha Katiba ya Zanzibar ili iondoe marekebisho yale ya 2010?
 
- Kuna swali moja linanitatanisha sana kwamba exactly Warioba anachokitaka hasa ni nini? Ameteuliwa kuongoza tume ya kukusanya maoni na sio siri badala ya kukusanya maoni ametengeza maoni na kuwa shujaa wa kutupasua Taifa, sasa ameshakabidhi maoni lakini kila siku kwenye vyombo vya habari kushindana na wasiotaka Serikali 3 WHY? Jana kuna mahali kwa maneno yake mwenyewe amesema kuna sehemu ambazo alijua kwamba Viongozi wa CCM wamepitia kwa hiyo maoni ya wananchi wake hakuyasikiliza kwa sababu aliamini wameambiwa cha kusema, sasa huo utaalamu Warioba ameutoa wapi na ni kweli Sheria ya Tume ilimruhusu kuamua achukue maoni ya nani na aache ya nani?

- Warioba nminataka kuamini ni msomi amewakilisha maoni yake kama alivyoombwa na Taifa, sasa vita ya nini hasa na wasiokubali maoni yake? Kwa kweli ninapata taabu sana kumuelewa sijawahi kusikia wala kuona something like this before, Warioba aliongoza Kamati kama hii ya Rushwa chini ya utawala wa Mkapa, kwanza hata ile ripoti sijui iliiishia wapi na sijawahi kumsikia Warioba akilalamika au akitetea ile ripoti, sasa kwenye hili la kulilia Serikali ya Tanganyika mbona ana vita vikubwa sana na Taifa kwamba ni lazima wote tukubali mawazo yake tu?

- AT SOME POINT SASA CCM TUKAE CHINI NA KUTAFAKARI EXCATLY HUYU MZEE ANATAKA NINI KWENYE CRIMINOLOGY TUNASEMA THERE IS SOMETHING BIGGER THAT WHAT WE ARE SEEING HERE WITH OUR EYES, HAIWEZEKANI NA NINASHINDWA KUAMINI KINACHOENDELEA, Warioba ameshawakilisha maoni ya supposedly tume yake na kwamba ndio maoni ya wananchi, mjumbe wa Bakwata amesimama bungeni na kusema wazi kwamba kilichosemwa kwenye Tume ya Warioba sicho walichomwambia, tunaambiwa kwamba kuna sekta nyingi sana za Serikali ambazo zilitaka Serikali 2 Warioba wala hakuweka maoni yao kwenye Rasimu, I mean why all these from one man?

- HIVI KWELI CCM MPAKA TUMEJIRIDHISHA KWAMBA WARIOBA NI ONE MAN DOING ALL THESE OPPOSITION? HAPANA MIMI SIAMINI KABISA KUNA SOMETHING BIGGER THAN WHAT WE ARE SEEEING WITH OUR EYES WHAT IS THAT? WHAT IS THAT? WHO IS INVOLVED? WHERE? WHY? WHAT?

- I MEAN CCM NA WALE WOTE TUNAOTAKA SERIKALI 2 NI LAZIMA TUKAE CHINI NA KUTAFAKARI ZAIDI YA TUNAVYOFANYA SASA, SOMETHING IS A MISS HERE LAZIMA KUNA A BIGGER PICTURE BEHIND ALL THESE!!

- SOMA GAZETI LA JAMBO LEO JUMAPILI I WILL BREAK DOWN THESE THINGS KAMA KAWAIDA WARIOBA ANATAKA NINI HASA?

Le Mutuz System
na jumatatu ijayo anaendelea kwenye dakika 45, mtamkoma. labda mfanye kama mlivyomfanya dr.
 
Mbona chadema walifanya mikutano ya hadhara karibu nchi nzima kueleza wanachama wao na wapenzi wao nini wanachotakiwa kusema.hilo warioba hakuona..?
 
Kwa hili naona unatofautiana na Jakaya wetu?!

Mimi namwomba WJM anisaidie kujibu haya atakapokuwa anaandika makala yake kwenye JamboLeo ya Jumapili ijayo:
-Katiba ya JMT haikuvunjwa na yale mabadiliko yaliyofanywa kwenye Katiba ya Zanzibar mwaka 2010 na Jakaya wetu akakaa kimya?
-Bunge la Jamhuri ya Muungano lilichukua hatua gani baada ya kuona mlinzi namba moja wa Katiba ya JMT kakaa kimya?

-Kuna uwezekano wowote wa kuirekebisha Katiba ya Zanzibar ili iondoe marekebisho yale ya 2010?
Ndugu yangu kila mtanganyika anayejua kusoma na kuandika kiswahili (asilimia 78) wanajua vizuri huu msumari wa moto (marekebisho ya katiba ya 2010) kwa ustawi wa Tanganyika hata Ole Sendeka ila ushabiki wa usimba na uyanga ndio unatupumbaza. Hebu tuache unafiki sasa. Mfano kwa nini JK achaguliwe na Wazanzibar wakati hatambuliki Zanzibar. Kwa nini JK awe small boy Zanzibar katika sherehe za Kizanzibari, kwa nini maamuzi ya Bunge yapate baraka katika BLW wakati katika bunge hilo hilo lina wawakilishi wengi sana toka Zanzibar (ukilinganisha ukubwa wa majimbo) na hata BLW lina mwakilishi wake. Kwa nini Mawaziri wote wa fedha ni wazanzibari etccccccccc
 
W.J.Malecela kwa maelezo yako hapo juu ole wenu tusikie "WARIOBA KAFA",Hapo patachimbika ndani ya nchi hii sababu mmezoea upuuzi wa kila mwanaCCM kuimba wimbo wa kijinga hata kama hauna maslahi kwa wanananchi.MLITAKA MUIPOTOSHE RASIMU KWA WATANZANIA HUKU WARIOBA AKAE KIMYA?TAMBUA HUYU NI MWENYEKITI WA ILIYOKUWA TUME YA MABADILIKO YA KATIBA NA ANAONGEA KWA NIABA YA TUME!
 
- Sasa wewe mtoto mdogo unayenyonya maziwa ya mama, I meean ufafanuzi kila siku kwa faida ya nani hasa? Hivi Warioba amesoma siasa au nini hasa hivi kweli anaamini kweli anaisukuma hoja mbele kwa anayoyafanya kila siku kulumbana na watawala kwenye vyombo vya habari? I mean I am lost!

Le Mutuz System

Hivi kumbe Tanzania ina watawala, mi nilidhani ina viongozi!
 
Mimi warioba hanishangazi sana siku zote ni mtu wa hila na kupenda sifa bandia....muulize mwinyi na wassira wanamjua warioba

Wote hao ulo wataja c wala rushwa wazur tu ndo maana wanamjua warioba kuwa ni mwadilifu anachukia rushwa
Wasira alikamatwa na rushwa enz hzo yuko NCCR akafungiwa kugombea kipndi hcho aligombea na Warioba
Mwinyi ni mzee wa ruksa unafikir rushwa iliibukia wap ka sio enzi zke
Muulze mzee kingunge ndo anamjua vzr Warioba ndio maana anawakemea watu kama nyinyi muache kumkashifu yle mzee Warioba
 
W.J.Malecela kwa maelezo yako hapo juu ole wenu tusikie "WARIOBA KAFA",Hapo patachimbika ndani ya nchi hii sababu mmezoea upuuzi wa kila mwanaCCM kuimba wimbo wa kijinga hata kama hauna maslahi kwa wanananchi.MLITAKA MUIPOTOSHE RASIMU KWA WATANZANIA HUKU WARIOBA AKAE KIMYA?TAMBUA HUYU NI MWENYEKITI WA ILIYOKUWA TUME YA MABADILIKO YA KATIBA NA ANAONGEA KWA NIABA YA TUME!

Kumbe Warioba anatakiwa aishi milele? Nilikuwa sina taarifa wakuu!! Hivi Warioba kumbe hana taarifa kama Tume ya Mabadiliko ya Katiba ilishavunjwa?
 
Eti usikose kusoma gazeti la JamboLeo,,Nani mwenye akili timamu asome gazeti la JamboLeo?Hilo gazeti labda unipe nikafungie vitumbua vya kunywea chai.
 
jibu swali acha ujinga,halafu kuna jamaa pale juu kasema unatembea na noah ukipiga mziki mkubwa je kweli?kwanza sitaki kuamini

Ni kweli lina noah fulani hivi lina machata ya kumwaga na huwa linapiga mziki kama limbukeni fulani
 
Kama unaweza kusoma nyakati na wwe ni mwana CCM najua u can see somthing coming ahead na nawahakikishia Mapinduzi yatakayotokea yatakuwa makubwa kuliko yale ya kumwondoa sultani Zanzibar.
 
-
- Halafu uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana ungakuwa mkubwa ungeelewa kwamba hakuna mjumbe yoyote wa Tume ya Rasimu anyehangaika zaidi ya Warioba tu WHY?

Le Mutuz System

Ungemalizia kwa kusema na ndie Mjumbe wa tume anayetukanwa kuliko wote!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom