Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mada zingine ni kuchoshana akili tu.
Kulaleki it means wewe sio type yake
Anamzimia huyo jamaa wa serengeti
we unajua mana hata mi sa hv nataka nisepe
Heshma kwenu..ivi mwanaume umekaa bar na mpenz wako unakata kiroba nae anapga soda..anakuja kidume mwingne anakata serengeti bt kila dakika mchumb wako anatoa jicho kwa mshkaji,kila akicheka anamtizama mshkaji..iv we mwanaume unafanyaje?
mada zingine ni kuchoshana akili tu.
najua ndo kinachokutokea right now
kwani lazima amalize soda hiyo konyagi inabebeka
beba muondoke
Kulaleki it means wewe sio type yake
Anamzimia huyo jamaa wa serengeti
nimekukubali wengne wanaponda 2 hawaijui hali na shda maani n
Heshma kwenu..ivi mwanaume umekaa bar na mpenz wako unakata kiroba nae anapga soda..anakuja kidume mwingne anakata serengeti bt kila dakika mchumb wako anatoa jicho kwa mshkaji,kila akicheka anamtizama mshkaji..iv we mwanaume unafanyaje?