Dogo mmoja akiwa road akiwa kavalia kandambili chakavu zilizo na mishono zaidi ya mia moja.
Gafla kandambil hzo zilikatika. Dogo akiwa anaangaika kuzitengeneza mara atatokea babu mmoja ambaye dogo alimuomba amsaidie kuzitengenez.
Baada ya babu huyo kuzchek nakunna ni vgumu kutengenezeka...
Inasikitisha pale rais wetu mpenda jk anapozdi kuwakumbatia na kuwapa nyazifa viongoz waliomwagwa na kukataliwa na wana nch katika mchakato wa uchaguz 2010.
Mfano Kamala aliyekua mbungd wa nkenge, malmo.
Kwani hakuna wa2 wengine wanaoweza kukaim nafasi hyo?
Selikar ya Tz bwana! Inategemea miujiza katika kuboresha elimu. .
Baada ya matokeo ya la saba serikal yatoa tamko kwamb mwanafunz aliye fauru na hajui kusoma na kuandika hasripot katka shule aliochaguliwa. Swali ni kwamba kwanini serikal ilifuta mchujo wa darasa la nne. Kupitia mitihni hii...
Hivi kwanini wanasiasa uwa wanaamini kuwa hoja zao ni za ukweli kuliko za watu wengine.
Hebu kumbuka selina kombani aliposema hakuna haja ya katiba mpya iliyopo inatosha. Alikua sahihi kwel?
Heti waziri wa elimu anashnikiza wanafunzi wa elimu ya juu waandamane kushinikiza wahtim warudishe hela ya mkopo.
Kwanini hawakuwashawish wanafunz na wananch wa kawaida waandamane kushnikiza mafisad wa EPA warudishe fedha za serikar z2mike kwa maendeleo ya nch na watu wake?
Hiv inaingia akilini , watu wamekaa sehem miaka 50 then anatokea mtu heti mwekezaji anadai sehemu niyake miaka 50 iliopita then anaakuwabomolea wakaz nyumba zao.
Inamaana wakolon wanarud kutumia ardh yao walioacha kabla ya uhuru?
Wingereza wanachekesha sana.
Tanzania tuliwafukuza waingereza na 2kajipatia uhuru mwaka 1961.
Sasa leo hii 2nasherekea miaka 50 ya uhuru na kauli ya waziri mkuu wa wingereza kwamba nchi zilizo wah kutawaliwa na Mwingereza zikubali sheria ya ndoa ya jinsia moja lasivyo itazinyimwa misahada...
Jaman watz nadhani mmejionea dhahir kuwa serikali ye2 kupitia ccm haina nia ku2nusuru sis watz dhid ya maish mabov 2nayokumbana nayo kila kukich bali wanaangaika kikinusur chama cha ccm.
Watawafumbiaje macho mafisadi wanaosababish hal ya watz na taifa kwa ujumla kuwa duni then waangaike na...
Eti wana jf kuna ulazima gani kwa mawazir wa serikali yetu jukumbushwa majukum yao? Na aliyewateua pale akigundua hawawezi kazi c awatimue? Wewe unahisi na ki2 gana kinawafanya wa2 hawa wakajisahau?
Mwalimu mmoja wa CBE alijikuta akinyanganywa gari lake na denti baada ya denti kumuomba tcha huyo amtnlee sap kwani alikuwa mwaka wa mwisho kimasomo. Ticha alikubali lakini kwa shariti kuwa sup hiyo itolewe gest.
Dent alikubali ila siku ya 2kio aliwaandaa rafiki zake ambao aliwaelekeza haina ya...
Hivi nikwanin dada zetu wakichaga shep zao huwa azielewek? Make miguu midogooo! Alafu kifuani wamejaliwa then hips do magumash na miondoko yao ya ajabuajabu
Jamani watanzania naomba kuwauliza kama kuna m2 aliyewahi kusikia tamko kwa rais kuhusu Dowans na bilion 90?
Mwenzenu najiuliza swali, kama katiba yetu inamruhusu rais kutoa msamaha kwa mtu mwenye hatia,kubadilisha adhabu iliyotolewa na mahakama je kwanin raisi wetu asitoe tamko kuhusu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.