Hivi nikwanin dada zetu wakichaga shep zao huwa azielewek? Make miguu midogooo! Alafu kifuani wamejaliwa then hips do magumash na miondoko yao ya ajabuajabu
Hivi nikwanin dada zetu wakichaga shep zao huwa azielewek? Make miguu midogooo! Alafu kifuani wamejaliwa then hips do magumash na miondoko yao ya ajabuajabu
wewe kama sio mpare basi ni msambaa!Wamekosa lishe bora, wanashindia ndizi, ndo maana siku hiz kuna tofauti ya wale mjin na wale uchagani.
Unauhakika hapo ulipo ni uchaggani au umevuka mpaka uko Kenya???
kenye kuna Vihunde ile mbaya wakiongozwa na First Lady wao.
Ni utani tu!!Nahisi umenyimwa mambo na mmoja wao, ndo ukaamua kulipiza kwa kuja hapa jf na kuandika utumbo wako. Jiheshimu aisee utaumia!!
Tehetehete heeeeh!!Unauhakika hapo ulipo ni uchaggani au umevuka mpaka uko Kenya???
kenye kuna Vihunde ile mbaya wakiongozwa na First Lady wao.
mie nawapongeza wanawake wa kichaga kwa kuwa na sura nzuri Tanzania nzima.miguu ni tatzo la milima iliyopo kilimanjaro,ila siku zote mwanamke reception shepu majaliwa.mwanamke sura,shepu hata kwa mchina ipo.Hivi nikwanin dada zetu wakichaga shep zao huwa azielewek? Make miguu midogooo! Alafu kifuani wamejaliwa then hips do magumash na miondoko yao ya ajabuajabu
mie nawapongeza wanawake wa kichaga kwa kuwa na sura nzuri Tanzania nzima.miguu ni tatzo la milima iliyopo kilimanjaro,ila siku zote mwanamke reception shepu majaliwa.mwanamke sura,shepu hata kwa mchina ipo.
Hivi nikwanin dada zetu wakichaga shep zao huwa azielewek? Make miguu midogooo! Alafu kifuani wamejaliwa then hips do magumash na miondoko yao ya ajabuajabu
Jamani mbona wachagga tu kila siku mbona hamsemi totoz za kizigua, kibondei, wanyaturu, wamasai wafipa wagogo, wapogoro? eeenh daily wachaga tuuu mpaka sie tulieoa uchagani sasa tunaboreka agrrrrrrrrrrrrrrrrr