Wingereza wanachekesha sana.
Tanzania tuliwafukuza waingereza na 2kajipatia uhuru mwaka 1961.
Sasa leo hii 2nasherekea miaka 50 ya uhuru na kauli ya waziri mkuu wa wingereza kwamba nchi zilizo wah kutawaliwa na Mwingereza zikubali sheria ya ndoa ya jinsia moja lasivyo itazinyimwa misahada na Tanzania ikiwemo.
Sasa watz tuchague moja kukosa misahada ya waingereza au kualalisha ushoga?
Tanzania tuliwafukuza waingereza na 2kajipatia uhuru mwaka 1961.
Sasa leo hii 2nasherekea miaka 50 ya uhuru na kauli ya waziri mkuu wa wingereza kwamba nchi zilizo wah kutawaliwa na Mwingereza zikubali sheria ya ndoa ya jinsia moja lasivyo itazinyimwa misahada na Tanzania ikiwemo.
Sasa watz tuchague moja kukosa misahada ya waingereza au kualalisha ushoga?