Rasta barabara ya Bagamoyo eneo la kuanzia Baobab, Kibosha, Mapinga shule hadi Kerege CCM ni kero kwa magari.
Ziwekwe alama nyingine za tahadhari kwa sasa.
Baada ya siku tano mpaka leo tar. 24 Oktoba maji hayatoki hususani eneo la Kerege CCM. Sijui maeneo mengine.
Meneja bagamoyo ufafanuzi tafadhali.
Nimeuliza wanasema ni tatizo la umeme kwenye mitambo. Hivi gesi ya mtawra inafanya nini?
Inaudhi unatoka kulitumikia taifa unarudi nyumbani unakuta...
NIKIWA KATIKA MATEMBEZI YANGU KUYAFAHAMU MAENEO HUKO KEREGE BAGAMOYO NILIFIKA ENEO MOJA LINAITWA NYAKAHAMBA. UNAWEZA PITIA KEREGE CCM DISPENSARY KWA PIKIPIKI NI TSHS. 2000 TU. NILISHANGAA KUONA WATANZANIA WAMEJITOA KATIKA UWEKEZAJI WA KILIMO CHA MITIKI AMBAYO IPO KWA MAHEKTA. LAKINI...
Umri----18-28
jinsia----ke
elimu-- secretarial course at least awe ana speed ya kuchapa kazi
sifa nyinginezo--- awe na heshima, muaminifu na mchapakazi.
Awe anaishi maeneo ya tegeta/ bunju-----
unaweza nitafuta humuhumu jamvini.
Naomba yeyote mwenye kuhitaji nafasi hiyo FIND ME ON .
0714128855...... ni maeneo ya Bunju A. Ninategemea kufungua mwezi ujao. awe ana speed ya kuchapa kazi awe mwaminifu na awe anakaa maeneo ya Tegeta, au Bunju.
Cwt ingejaribu kujitanua kwa wadau wake kwa kujiunga na mitandao ya kijamii.
Faida ni kuwawezesha walimu vijana ambao wengi wao wamejiunga na mitandao hii kuweza kupata in depth details za shughuli za chama hicho. Lakini pia itakiwezesha chama kupata maoni na response ya walimu katika madai...
references: Should be uploaded, if you do not have them available now, you should take the following action:
- as part of this application form you can request that the University to contactyour referees by email, or
- you, or your referee, can submit a reference by forwarding to the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.