samoramsouth
Senior Member
- Jan 16, 2011
- 191
- 30
Cwt ingejaribu kujitanua kwa wadau wake kwa kujiunga na mitandao ya kijamii.
Faida ni kuwawezesha walimu vijana ambao wengi wao wamejiunga na mitandao hii kuweza kupata in depth details za shughuli za chama hicho. Lakini pia itakiwezesha chama kupata maoni na response ya walimu katika madai mbalimbali kwani kwa kutumia namba ya uanachama maoni mbalimbali yanaweza kutolewa na hivyo chama kinaweza kujua ni watu wa aina gani kinawasimamia na mitazamo yao.
Nawasilisha.
Faida ni kuwawezesha walimu vijana ambao wengi wao wamejiunga na mitandao hii kuweza kupata in depth details za shughuli za chama hicho. Lakini pia itakiwezesha chama kupata maoni na response ya walimu katika madai mbalimbali kwani kwa kutumia namba ya uanachama maoni mbalimbali yanaweza kutolewa na hivyo chama kinaweza kujua ni watu wa aina gani kinawasimamia na mitazamo yao.
Nawasilisha.