Fatwa Kutoka: ‘Allaamah Swaalih Ibn Fawzaan Al-Fawzaan
Swali:
Tunataka uwape vijana Nasaha kuhusiana na kuchunga wakati wao katika Ramadhaan?
Jibu:
Waislamu wote sawa Vijana na wengine wote wanatakiwa kutumia wakati wao katika kumtii Allaaah – wala Ramadhaan isiwajie kwa ghafla, au ikawakuta...
kama wewe ni mfuatiliaji wa minanda au mchiriku utakuwa unawajua magwiji kama Mpogo, Jangwa, 7 Surviver na wengine kibao naomba tupeane ladha kupitia uzi huu kwa kuweka minanda nami nitajitahidi kila siku kuweka zaidi kadri nitakavyofanikiwa kuinasa
Jagwa, Ngoma inakwenda kwa jina la Asha...
Vipimo
Tambi za Mchele - Pakti 1 (400 mg)
Tui la nazi - Kikombe 1
Sukari - Nusu kikombe, ukipenda ongeza kidogo
Maziwa ya kopo (evaporated) - Nusu kikombe
Samli - Kijiko 1 cha supu
Zabibu kavu - ¼ Kikombe
Liki - ¼ kijiko cha chai
'Arki (rose flavour) - Matone matatu au zaidi
Namna Ya Kutayarisha...
Utamu ni ngoma ya Dully Imetoka 2012 lakini bwana mmoja huko india ameitolea remix yake 2015 mwenyewe amejieleza kwenye maelezo ya video yake huko youtube video yenyewe hii hapa chini
Lakini kuna ngoma nyingine ya hawa wasichana wakuitwa Mask Girls inaitwa sina hali icheki hapa na hawa pia...
Habari za kufurahisha na kusisimua katika ulimwengu wa teknolojia ni kuwa sasa hakuna haja tena ya kutumia WhatsApp wala Telegram kwani sasa tuna App yetu tuliyoipa jina la POA APP.
Hii ni zaidi ya WhatsApp, ijaribu sasa kwani hii ni bora zaidi itakuwezesha kumtumia rafiki yako Video, audio...
1. KUPUUZA SAIKOLOJIA YA MWANAMKE
Kitu muhimu sana anachotakiwa kukifahamu mwanaume katika uhusiano ni suala la saikolojia ya mwanamke na kujua kuchagua muda muafaka wa tendo. Mwanamke hufurahi na kuhisi amani pindi anapohisi au kuona kuwa mume anamjali na anajali hali yake ya kisaikolojia...
Vyama tisa vya siasa kati ya 14 vilivyosiriki uchaguzi Mkuu mwaka jana vimeungana na CUF kutoshiriki uchaguzi wa marudio uliopangwa kufanyika machi 20, hadi utakapo patikana muafaka wa kumaliza mgogoro wa kisiasa.
Mratibu wa umoja wa vyama hivyo, Kasim Bakari Ali Alisema jana kuwa Vyama hivyo...
habari wa JF leo nimekuja na biashara nauza blog yangu adress yake ni hii www.swahili-news.com imetembelewa na watu zaidi ya 25000 bei ni poa Tsh 45000 imeshatengenezwa muonekano bomba wasiliana nami whatsapp +255759202132
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.