Wandugu habarini za jioni, kwa mujibu wa hotuba ya mkulu jana kasema sio kweli kuwa ajira zilisitishwa, bali ajira zinaendelea kutolewa. Nmejaribu tembelea ile website ya ajira za serkali nlichokutana nacho ni hichi apa
Wanajukwaa ile nmb ya zaman kweli sio ya sasa naona wanajiweka sawa kwa ushindani na kuboresha huduma lkn kwa hili wamenikumbusha mbali saana, zaidi ya miaka kumi na tano iliyopita; hakuna kitu nlikua nnapenda kama kwenda na mzee bank lakini leo bank ya nmb inaaccount kwa ajili ya Watoto. Kwa...
Sio msomaji saana wa hili gazeti, lkn leo limenchekesha asubuhi asubuhi kwa hivi vichwa viwili vya habari, kimoja-wapo "Hakuna tofauti ya Mrema wa NCCR na Lowasa waCHADEMA" Mrema alipata kuvuma kwa maamuzi na umakini kupelekea hata Mzee Mwinyi kumtengenezea cheo cha Naibu wazir mkuu...
Wanajamvi kwa mujibu wa gazeti la nipashe leo linasema Shein kaongeza mishara watumishi kwa asilimia 100, inamaana mwalimu wa zenji analipwa tofauti na wa Tanganyika? Na je kama ni kweli, hili limekaaje kwani ikiwa ni kisingizio cha ugumu wa maisha, suala la sarafu ni la muungano hivyo wote...
Nimepokea taarifa za majambazi kuvamia na kuua mtu mmoja pale Kitahana Center Wilayani Kibondo. Naungana na wanafamilia kuwapa pole kwa msiba huo lakini tunawaombea majeruhi na wote waliothirika na tukio hilo wapone haraka. Sasa natoa wito kwa serikali kuchukua hatua kali na za dharula kwa...
Idadi ya watumishi hewa yazidi kuongezeka kutoka 270 na kufikia 350 mkoani Arusha.
Idadi ya watumishi hewa katika mkoa wa Arusha imeongezeka kutoka 270 na kufikia 350.
Akikabidhi taarifa ya matokeo ya uchunguzi wa Tume iliyoundwa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Daud Felexs Ntebenda, Katibu Tawala...
Wataalam naomben maelekezo ya namna naweza fanya installation ya whatsapp kwenye ipad nmejaribu kwa namna ya kawaida lkn inakataa kuoperate. Mwenye mwanga zaid. App nyingine km viber, jamii forums, imo etc. zinaoprate bila tatzo
Mkuu wa mkoa wa Arusha, Felix Ntibenda amekanusha taarfa zilizo lipotiwa na baadhi ya magazet wiki ilopita kuhusu utumiaji wa vilevi, kuwa wananchi wanauhuru wa kutumia vilevi baada ya muda wa kaz na si vinginevyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.