We ndo huna akili. Anacho maanisha jamaa nikwamba , kwanini akina janabi wasiifanyie utafiti mizizi husika na kuuhabarisha umma kuhusu uganisi wake kuzuia NCD, kwa maana hiyo akina janabi et al (scientists) wanashindwa na wamasai
Hebu jibu hoja hii. Kuna millions of people wanakunywa pombe Sanaa lakini wanazeeka bila magonjwa ya Figo Wala moyo. Wajapani wanaongoza kwa idadi ya wazee lakini wanakunywa pombe sana huku kwetu wanywaji wakasome, unaielezeaje hiyo.
Nakumbuka mwaka 1996 pale Tunduma , ujambazi ulikua unafanywa na polis. Mitaa ilikua inafungwa saa nne usiku. Waliletwa polis Toka makao makuu kuja kukomesha matukio ya uhalifu, polis kadhaa walidakwa.
Mbunge wenu Yuko busy na matamasha ya Ngoma za jadi , subirini. Nashangaa kwenye andiko lako hujamtaja. Huyo ndo mbunge anahangaika na vitu vidogo vidogo visivyo na tija kwa wananchi na kuacha mambo ya mhimu
Imagine, zilungana Zanzibar na Tanganyika kuunda seeikali ya Muungano, lakini zanzibari ime retain taifa lake wakiwa na katiba, raisi, wimbo wa taifa, bunge, Baraza la mawaziri, wimbo wa taifa, bendera huku Tanganyika ikifutika. Hilo ndio KERO kuu isiyo ongelewa
Nawaza tu angekuwa kiongozi wa BAVICHA au ACT Wazalendo katoa lugha au vitisho au kauli ya uvunjifu wa amani kama iliotolewa UVCCM kiongozi mkoa wa Kagera.
Polisi wangemkamata kwa kosa la lugha ya uchochezi
Angeteswa na kuzungushwa huku na huko vituo vya polisi
Ungesikia hata msajili wa viama...
Achana na hayo ya marekani , Rudi kwenye hoja yangu, kwanini palestina wapigane upande wa amini dhidi yetu ? Kisha miaka mingi baadaye wanamuua mtanzania mwenzetu pamoja na kujitetea kwamba ni mtanzania ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.