VIFAA VYA STATIONARY
Jipatie bidhaa za stationary kwa bei nafuu zaidi kwa bei ya jumla tupo kariakoo mtaa wa lindi karibu na msikiti wa lindi pia tunafunga ODA kwa watu wa mikoani kwa uaminifu mkubwa
0756278000
0712773424 namba zote zipo whatsapp
Jamani nimekuja kwa mara nyingine tena . Hali imekuwa tete natafuta kazi. niko tayari kufanya kazi popote elimu yangu kidato cha nne. Umri miaka 26 naishi Keko Mwanga.
Kazi za awali nilizo wahi kufanya
1. Kuongoza mashine ya kusaga nafaka mahindi kwa miaka 7.
2. Nimekuwa afisa mikopo kwa...
Naitwa Isaya Joseph Natafuta kazi yoyote ukuweza kujikimu kimaisha. Elimu yangu ni Form Four
Kazi nilizowahi kuzifanya awali ni kama ifuatavyo-:
Stationary miezi 6
Mashine za kusaga nafaka miaka 2
Afisa mikopo kwa wajasiliamali wadogo wadogo mwaka 1
Uwakala wa m-pesa, tigopesa mwaka mmoja...
Nahitaji kazi viwandani Kama Kunamtu nafahamu kiwanda Chochote kilicho dar ambapo naweza kupata Nafasi Kama kibarua anisaidie kunifahamisha Mimi Nipo keko mwanga 0693019398
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.