Search results

  1. Isaya mwakyoma8

    Bidhaa za stationary

    VIFAA VYA STATIONARY Jipatie bidhaa za stationary kwa bei nafuu zaidi kwa bei ya jumla tupo kariakoo mtaa wa lindi karibu na msikiti wa lindi pia tunafunga ODA kwa watu wa mikoani kwa uaminifu mkubwa 0756278000 0712773424 namba zote zipo whatsapp
  2. Isaya mwakyoma8

    Natafuta kazi, nina elimu ya Kidato cha nne

    Jamani nimekuja kwa mara nyingine tena . Hali imekuwa tete natafuta kazi. niko tayari kufanya kazi popote elimu yangu kidato cha nne. Umri miaka 26 naishi Keko Mwanga. Kazi za awali nilizo wahi kufanya 1. Kuongoza mashine ya kusaga nafaka mahindi kwa miaka 7. 2. Nimekuwa afisa mikopo kwa...
  3. Isaya mwakyoma8

    Natafuta kazi, elimu yangu ni Form Four

    Ahsante father nitafanya hivyo
  4. Isaya mwakyoma8

    Anahitajika Secretary Wa kupiga na kupokea simu

    VP mkuu nafasi hii bado IPO?
  5. Isaya mwakyoma8

    Natafuta kazi, elimu yangu ni Form Four

    Naitwa Isaya Joseph Natafuta kazi yoyote ukuweza kujikimu kimaisha. Elimu yangu ni Form Four Kazi nilizowahi kuzifanya awali ni kama ifuatavyo-: Stationary miezi 6 Mashine za kusaga nafaka miaka 2 Afisa mikopo kwa wajasiliamali wadogo wadogo mwaka 1 Uwakala wa m-pesa, tigopesa mwaka mmoja...
  6. Isaya mwakyoma8

    Nahitaji kazi viwandani

    Nahitaji kazi viwandani Kama Kunamtu nafahamu kiwanda Chochote kilicho dar ambapo naweza kupata Nafasi Kama kibarua anisaidie kunifahamisha Mimi Nipo keko mwanga 0693019398
  7. Isaya mwakyoma8

    Natafuta kazi yoyote, elimu yangu ni Form Four

    Natafuta kazi yoyote elimu yangu ni Form Four, napatikana Dar es Salaam, Kariakoo. Popote naweza kufanya uaminifu ni kipaumbele namba moja kwangu.
Back
Top Bottom