Kimahesabu, CCM ndio washindi wa Uchaguzi Mkuu wa 2020 kabla hata ya mwenda kwenye Box la Kupigia kura.
Ushindi huu wa CCM ambao umetokana na utekelezaji kabambe wa miradi mbali mbali chini ya serikali ya awamu ya tano.
HESABU ZA KISIASA zinaonesha majimbo yafuatayo ya Upinzani yanakwenda...
Mh Rais anasubiri Muda wake ufike apumzike, HOFU yenu ni nipi???
Ameshasisitiza yeye atafanya kazi katika kipindi chake na atapisha, TATIZO mnadeal na kesi ndogondogo
Je unajisikiaje tutumie mabilioni kushindania nafasi ambayo mshindi tayari ameshapatikana kwa yale anayoyafanya na watu kumuunga mkono?Maslahi Binafsi ni kufuja fedha za Umma wakati tunaweza kuziokoa
WanaJf, Kwa haya yanayoendelea nchini (uchapaji kazi wa Rais magufuli) na hasa kukubalika sana kwa wanachi wa kawaida na hata wa kipato cha kati na juu (Machinga, wakulima, Mamantilie, Wafanyabishara n.k) ambao asilimia 90 ndio wapiga kura katika nchi yetu, JE SI UUNGWANA NA MATUMIZI BORA ya...
Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi, Mh.Mwigulu Lameck Nchemba amemuagiza Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Simon Sirro kuunda timu ya kuchunguza vitendo vya kikatili wanavyofanyiwa wanasiasa ikiwemo mauaji yaliyotokea Kinondoni Jijini Dar es salaam.
Waziri Nchemba ametoa maagizo hayo akiwa...
Nilipomuona jana Dr.Slaa nikakumbuka nyakati na majira yale nilipokuwa karibu naye katika kazi za kisiasa.
Amerejea nchini akiwa na afya njema,amerejea nchini akiwa na msimamo wake uleule kwamba KINACHOMPETA PAMOJA kati yake na JPM ni mapambano chanya dhidi ya Ufisadi, Majizi na kila aina ya...
Zika na NIMR
Dk. Mwele Ntuli Malecela leo si Mkurugenzi tena wa Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR). Ikulu leo imemtangaza Profesa Yunus Mgaya kuwa mbadala wake.
Kwanini Mwele kaondolewa? Nimeulizwa hili swali na baadhi ya watu nami nikauliza hapa na pale ili kupata majibu. Na...
Copy and paste kutoka uzi kama huu Mwigulu anasema,
Ndg wana jf.
Salaam. Naandika kujibu uzushi wenye malengo ya kuchafuana kisiasa na usiozingatia maadili ya uongozi kwenye uzi wenye kichwa cha habari hapo juu.
Kwanza maelezo yanasema nimemtuma RC Kone akazime maazimio ya madiwani yenye...
Nyota ya Mwigula yazidi kung'ara urais
*Vijana wataka chama chake kimpe nafasi
Claudia Kayombo
WAKATI vyama vya siasa havijatangaza majina ya wagombea urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu, vijana mbalimbali wameanza kutoa maoni ya nani anafaa kumrithi Rais Jakaya Kikwete...
CCM ina bahati kuwapata Kinana,Mwigulu
Na Angela Kiwia
KATIKA kipindi cha mwaka mmoja sasa tumeweza kuona ni kwa jinsi gani viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) walivyoweza kusimama kidete katika kumtetea Mtanzania kupatiwa haki yake ya msingi kuanzia ngazi za vijijini.
Tumeweza kumshuhudia...
Mwigulu akisikiliza kwa makini maombi ya Bibi huyu(Hakufahamika jina) katika kijiji cha Kibaya Jimboni Iramba.
Mh.Mwigulu Nchemba akimsikiliza kwa makini mmoja ya wazee katika kijiji cha Mtekente Jimboni Iramba.
Mh:Mwigulu Nchemba akisikiliza kwa makini hitaji la kijana huyu mlemavu wa miguu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.