TUNTEMEKE
JF-Expert Member
- Jun 15, 2009
- 4,587
- 579
WanaJf, Kwa haya yanayoendelea nchini (uchapaji kazi wa Rais magufuli) na hasa kukubalika sana kwa wanachi wa kawaida na hata wa kipato cha kati na juu (Machinga, wakulima, Mamantilie, Wafanyabishara n.k) ambao asilimia 90 ndio wapiga kura katika nchi yetu, JE SI UUNGWANA NA MATUMIZI BORA ya nafasi kwa vyama vya upinzani kuokoa bajeti ya uchaguzi wa Rais ili fedha zielekezwe kwenye miradi ya maendeleo.
Rais Magufuli apite bila kupingwa, lakini kwa Madiwani na wabunge tuchuane kwenye kampeni na boksi la kura?
Kwa Mtizamo wangu na kwa niaba ya Mtizamo wako ni wazi JPM atashinda kwa Kimbunga 2020.
Wenu, Mjukuu
Rais Magufuli apite bila kupingwa, lakini kwa Madiwani na wabunge tuchuane kwenye kampeni na boksi la kura?
Kwa Mtizamo wangu na kwa niaba ya Mtizamo wako ni wazi JPM atashinda kwa Kimbunga 2020.
Wenu, Mjukuu