Taarifa za awaliyeye alishafanya uchunguzi na kujua kuwa ni wahamiaji haramu.je hao wahamiaji haramu hawako na haki na sheria gani Tanzania unayosema kuwa wahamiaji wauwawe?na leo kenya wakisema kuwa kuna watu wanatafutwa kisha wakasikia kuwa wameuawa tz kwasababu ni wahamiaji haramu je ni sawa Mr madeluuu.
swissme
huko na benni hapo?tunakufuatilieni mienendo.Taarifa za awali
Rudia kusikiliza alichokizungumza...Mh nchemba ulifanya uchunguzi au ulipotezea ?
Wale ni binadamu the same like you.
First suspect ni wahamiaji haramu alisema kwa sababu..wiki iliyopita wahamiaji haramu zaidi ya 81walikutwa hoi poli la bagamoyo wakiwa hawajitambui.Mbona Haeleweki? Si alisema ni Waamihaji haramu? au Alikuwa bado hajafanya uchunguzi?
Kwa hiyo wameifukua (exhume) hiyo miili ili kufanya uchunguzi?Leo asubuhi nimemsikia Mh Mwigulu Nchemba MWN, kwamba maiti zilizoopolewa toka mto Ruvu uchunguzi unafanyika pamoja na kwamba first suspect ni wahamiaji haramu.
Source: Radio Morning breakfastView attachment 445607
nani aliwatia kwenye sandarusi?First suspect ni wahamiaji haramu alisema kwa sababu..wiki iliyopita wahamiaji haramu zaidi ya 81walikutwa hoi poli la bagamoyo wakiwa hawajitambui.
Kwa hiyo wakiwa wahamiaji haramu wanazikwa halafu ndo uchunguzi uendelee? Hiyo ndo crime investigation protocol?First suspect ni wahamiaji haramu alisema kwa sababu..wiki iliyopita wahamiaji haramu zaidi ya 81walikutwa hoi poli la bagamoyo wakiwa hawajitambui.
Hao waliowafikisha toka mpakani hadi kuwafikisha hapo Bagamoyo na kuwatia KWENYE mifuko ya Sandarusi ndio watafutwe.nani aliwatia kwenye sandarusi?
hivi hawa wakimbizi hawana haki ?
tutajuaje kama ni wakimbizi kweli?
kwanini hawajapima vinasaba?
Inaonekana wewe fahamu ndiyo zinakurudia mida hii. Tuliokuwepo tangu haya yanaanza alisikika na kuonekana live akisema kuwa miili ile ni ya wahamiaji haramu.First suspect ni wahamiaji haramu alisema kwa sababu..wiki iliyopita wahamiaji haramu zaidi ya 81walikutwa hoi poli la bagamoyo wakiwa hawajitambui.